Harusi ya binti wa Dangote yafana! Yahudhuriwa na vigogo wakiwemo Bill Gates na Jakaya Kikwete

ni kweli, watoto wa kishua wana occasion zao ambazo huwakutanisha.

mwenzangu na mimi utabiki kupishana na kina mwajuma ndala ndefu mtaani kwenu.
Kina Mwajuma ndala ndefu wamejazana Manzese kwa mfuga fisi mtoto wa Dangote katulizana Kempisk watameet saa ngapi!! At least tuvie kale ka Udom
 
Duuuh harusi yangu na Mimi nitaalika wakuu wa vijiji na vitingoji,nna imani itafana sana
 
Unasema anaacha Kiwanda chake kinakufa?? Kwa tarifa Yako $ 300m. Ambayo ni total value ya hicho kiwanda, Kwa dangote ni kama peanut,yeye Ana karibu 90× ya hiyo amount. Hata kikifa haja lose kitu.
 
 
Harusi ya mtoto wa Bilionea Dangote imeonekana imehudhuriwa na watu Mashuhuri Dunian akiwemo Bill gate na Jakaya Kikwete Raisi Mstaafu wa JMT
Hoja yangu hadi nimeandika Uzi Huu ni
L kutaka kuuliza Kuwa Unadhani Tajiri Dangote alivyonana na Jk tena shughulini unafikiri waliongea Nini kuhusu kiwanda cha kutengeza saruji kilichopo Mtwara
 
Rais wetu mpendwa hakupata mwaliko??
 
Huyo dada kafanana sana na baba yake.

Putin alishawahi kumwambia Markel kuwa haijalishi uvae gauni la aina gani siku ya harusi ila usiku kwenye honey moon kazi itakuwa ni moja. Kutiwa
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] Markel kamaindi putin ye katabasam.
 
Bi harusi kapendeza lakini baada ya ndoa anapigwa nje,

Mume naye kibamia...
Halafu ndoa ya kifahari hivyo. [emoji1] [emoji4] [emoji119]
 
anaacha kiwanda cha cement kinakufa songea huko yeye anakula harusi. akili za waafrika sijui nani katulaani. nasasa amedrop sana

Pole kwa kuuumia na lisilo kuhusu!Ukweli ni kwamba sie tunajua kiwanda cha Mtwara cha saruji!Hiko cha Songea kilijengwa lini mkuu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…