[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Pamoja na ukubwa wa shughuli ila kama kawaida yetu watu weusi sehemu zote unajihudumia utakavyo ila kwenye nyama na vinywaji lazima kuwepo na mgawaji sijui kwanini hatuaminiani kwenye mambo haya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]We unafikiri John Pombe akistaafu anaweza kualikwa kwenye sherehe yoyote??
Si atakua analia lia tu kama Kova anasema toka amestaafu hata akiwapigia simu wale waliokua marafiki zake kipindi ni Kamanda wa Kanda Maalum hawapokei siku simu zake....
Kuna maisha baada ya kazi na vyeo...sasa hayo ndo maisha sio mnapata vyeo mnajiona kama mtaishi milele....
Kwa hiyo unamzimia superwoman Kiria?haka kabibi harus kamebeba ugonjwa wangu..(MWANYA)
Kwahyo wataka niambia wanawake wasioolewa wote ni wenye chura?Nani kakuambia kuw wenye chura wanaolewaga?
Dah! umenifanya nicheke hadi basiWe unafikiri John Pombe akistaafu anaweza kualikwa kwenye sherehe yoyote??
Si atakua analia lia tu kama Kova anasema toka amestaafu hata akiwapigia simu wale waliokua marafiki zake kipindi ni Kamanda wa Kanda Maalum hawapokei siku simu zake....
Kuna maisha baada ya kazi na vyeo...sasa hayo ndo maisha sio mnapata vyeo mnajiona kama mtaishi milele....
Ivi kumbe kwa mjomba kuna urithi eeh?utajiri wenyewe kaurithi kutoka kwa mjomba wake
Yanii noma sana mwanangu!Mwanaume unaoa lakini unaweza jioni kama wewe ndio unaolewa
mkuu naona unaingilia ndoa za yangu angalia sanaAsante mungu wengi hawakuamini kama naweza kumwoa mtoto wa kishua sasa ni wangu
Mkuu tucheke tu kwakua tunashindwa kulia ila sio mambo ya kuchekesha....Dah! umenifanya nicheke hadi basi
Nilifanikiwa kuhudhuria ilikuwa ya aina yake,watu ukumbini walikula mpaka mwingine wakabeba kwenye rambo
Aah wapi!! Ngosha ni jiwe linalokataliwa na wezi wanaowaibia wa TZhuyo ngosha wako anasumbuliwa na poverty mentality. hiyo hali ikimtoka utaona balaa lake. ni suala la mda tu.
Mkuu ugonjwa wako unafanana na wangu, na nahisi huu ugonjwa utaniua!haka kabibi harus kamebeba ugonjwa wangu..(MWANYA)
Mkuu nchi hii ina vichaa wengi sanaAlafu huyu anayemlaumu Dangote eti kaacha kiwanda kinakufaaa...anadhani Kujenga kiwanda ni kazi ya siku moja....na amesahau kuwa sherehe ya harusi ni kitu cha siku moja...dah! Kweli akili ni Mali