Harusi ya Haji Manara

Harusi ya Haji Manara

Talaka, harusi, Maziko(simple) na kuoa wake wengi Ni vitu kuntu Sana kwa wenzetu
 
Unapata shida na kuuliza kuhusu mwanamke huyu ,je huyu,je Huyu, je yule.

Kapige kazi mdogo wangu utajua huko huko yupo inakuwaje na yupi inakuwaje.

Hizi zaweza kuwa theories tu, which mpk uziprove ndo utapata majibu.
Sasa heb kazana na practical.
Sasa wewe unakereka Nini Mimi kumuuliza yeye Dada(kwa heshima tu nakuuliza) ? Maana aliniquote nikamuuliza huoni Kama yalikuwa ni mazungumzo yetu sisi we unaingilia ya nini badala ya kuendelea na mambo yako? kwani Nimekwambia nimepata shida? Nauliza kwa upole tu
 
Sasa wewe unakereka Nini Mimi kumuuliza yeye Dada(kwa heshima tu nakuuliza) ? Maana aliniquote nikamuuliza huoni Kama yalikuwa ni mazungumzo yetu sisi we unaingilia ya nini badala ya kuendelea na mambo yako? kwani Nimekwambia nimepata shida? Nauliza kwa upole tu
Haya nimekuacha kwa upole tu.
Ila umenichekeshaaaa😂😂😂😂😂
 
😂😂😂😂😂😂😂😂
Jishkilie.
Ni kama tu we sa hiz unavyochapa kwa binti mdogo zaid yake.

Haya mambo huenda tu hivo.
Af baaadaeeee atatulia.
We ukishapata pensheni unarudia tens historia.
Hii mambo ni kama choir, kupokezana sauti sio.
 
Eeee sasa hivi si anaweza kuwabambia wakina Sepetu na Mobetto.
Anakaa meza moja na Moo.

Uswekeni magomeni si hadhi yake tena.
Hahahhahahha na hivi harusi imejiwa na kina Kikwenga, n
Full mzee Billal.


Kharooos imepewa airtime kwenye Tv
Ah tutamtambuuuuua uzuuur, Haji.
Tutamtambuuuuuuuaaaaaaaaaa.
 
Ila Odo we mbea ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Weeeee Oddo Haji atatunyooooshaa nakwambia.
Tutakalia makumbi ya moto wallahi.

Simpaaaatiiiii pichaaaaa

We utaonaa
 
Nishaanza kupata homa na interview za Haji Manara baada ya kutoka Honeymoon.

Uuuuwih.
Af paap Simba iwe na mechi ishinde.
Enh yarrabi Haji atatunyooooosha na pasi ya makaa ya maweee
 
Back
Top Bottom