Prince Kesh Jr
JF-Expert Member
- Jul 21, 2018
- 652
- 1,573
Jaman jaman😂😂sema jamaa ana mdomo kama ni kweli mhhAtamzalishaje wakati wanasema haidindi kwasababu ya kisukari?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jaman jaman😂😂sema jamaa ana mdomo kama ni kweli mhhAtamzalishaje wakati wanasema haidindi kwasababu ya kisukari?
Sasa wewe unakereka Nini Mimi kumuuliza yeye Dada(kwa heshima tu nakuuliza) ? Maana aliniquote nikamuuliza huoni Kama yalikuwa ni mazungumzo yetu sisi we unaingilia ya nini badala ya kuendelea na mambo yako? kwani Nimekwambia nimepata shida? Nauliza kwa upole tuUnapata shida na kuuliza kuhusu mwanamke huyu ,je huyu,je Huyu, je yule.
Kapige kazi mdogo wangu utajua huko huko yupo inakuwaje na yupi inakuwaje.
Hizi zaweza kuwa theories tu, which mpk uziprove ndo utapata majibu.
Sasa heb kazana na practical.
Haya nimekuacha kwa upole tu.Sasa wewe unakereka Nini Mimi kumuuliza yeye Dada(kwa heshima tu nakuuliza) ? Maana aliniquote nikamuuliza huoni Kama yalikuwa ni mazungumzo yetu sisi we unaingilia ya nini badala ya kuendelea na mambo yako? kwani Nimekwambia nimepata shida? Nauliza kwa upole tu
Hii mambo ni kama choir, kupokezana sauti sio.😂😂😂😂😂😂😂😂
Jishkilie.
Ni kama tu we sa hiz unavyochapa kwa binti mdogo zaid yake.
Haya mambo huenda tu hivo.
Af baaadaeeee atatulia.
We ukishapata pensheni unarudia tens historia.
Nashangaa anataka kutumia logic kwenye umbea.Wee bana weww kaa hapa tupige umbea,umbea na critical thinking haviendani kabisa.
sijawahi chepuka, i like wakubwa wenzanguWe huchepukagi na vibinti vidogo? I
HaswaaaaUko sahihi sana vibinti shida tupu hata ukisimamia show kinazingua ila over age ni balaa utabomba mpaka ukimbie mbunye
Basi mbwa tu kala mbwa.sijawahi chepuka, i like wakubwa wenzangu
Baada ya kula shavu alihama akaenda kupanga mikocheni.Kwahiyo anaishi kwao?
Kwamba ni brand!!Baada ya kula shavu alihama akaenda kupanga mikocheni.
Dah!Hata na hii itakufa tu haifiki 2022.
Eeee sasa hivi si anaweza kuwabambia wakina Sepetu na Mobetto.Kwamba ni brand!!
Hahahhahahha na hivi harusi imejiwa na kina Kikwenga, nEeee sasa hivi si anaweza kuwabambia wakina Sepetu na Mobetto.
Anakaa meza moja na Moo.
Uswekeni magomeni si hadhi yake tena.
Ila Odo we mbea ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nasema shiiiiiiida tutakuwa nayo mjini.
Tujiandae
Weeeee Oddo Haji atatunyooooshaa nakwambia.Ila Odo we mbea ujue [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kujenga sio goti best kuwa kila mtu awe anakoUmri huo hajajenga?au ndio maisha ya umaarufu upange kwa wanene