Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Asanteehongera Kama hujawahi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Asanteehongera Kama hujawahi
Mbwembweeee zimeanza.Haji keshakuambia dada ni inteligent.
Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake
Lakini kameenda enda shule.
Umkute sasa anavojimwambafaiKwani unafikiri wakati anakaa na mama yake alikuwa mtoto?
Yaani kaolea kwao watoto kazalia kwao.
Mjomba kama vile unasahau akili za watoto wa magomeni.
Yan kwa kifupi alikuwa na wake wawili akiwa kwao.Daaah watoto nao wataolewa kwa babu n bibi,sasa jamaa showoff zote kumbe hana nyumba
Haji hua ana umri gani
Kama wa Le mutuz!Haji hua ana umri gani
HAKUNA muislamu maskinii dunia hiiiWaislam maskini ndo huwa na ujinga ujinga.
Odo, amka leo tupo honeymoon.Ila mimi acha nilale.
Huu uzi naona kabisa unavotishia safari yangu ya Sayuni.
Hakiii.
#NIMEOKOKA
Le Mutuz ana miaka 64Kama wa Le mutuz!
Ya kitu gani?Manara atunukiwe PhD
Mwanamke mwenye umri mkubwa i.e 35 years na kuendelea hua na high sex drive mzeeKwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Mwenyewe ndo anajua kuna afadhali.Mwanamke mwenye umri mkubwa i.e 35 years na kuendelea hua na high sex drive mzee
Ndo maana vijana wengi wanapendaga sana wadada wakubwa wakubwa au wake za watu sababu katika umri huo kama mwanaume hajiweki fiti vizuri mke kuchepuka ni rahisi sana sababu anakua anataka deile...Mwenyewe ndo anajua kuna afadhali.
Angejuuuuaaa
So funny[emoji1][emoji1][emoji1][emoji3][emoji3][emoji3]Kasema ana watoto watatu. Afu watu bwana mtu kashakaa ndoani miaka kibao, leo anapewa mawaidha ya ndoa khaaa
I know.Ndo maana vijana wengi wanapendaga sana wadada wakubwa wakubwa au wake za watu sababu katika umri huo kama mwanaume hajiweki fiti vizuri mke kuchepuka ni rahisi sana sababu anakua anataka deile...
We Le mbebez ni mkubwa kwa Haji. Mzee Manara Kasema Haji ana 43Kama wa Le mutuz!