Harusi ya Haji Manara

Harusi ya Haji Manara

Haji keshakuambia dada ni inteligent.

Sijui wamesema marketing officer aaa sikumbuki bwana weeee kazi yake

Lakini kameenda enda shule.
Mbwembweeee zimeanza.

Ningeshangaa

Sasa ila oddo marketing officer kweeeli au isije kama wale XS Marketing.
Ila huu uzi mi utanikosesha mbingu.
Nshajiona.
 
Watu wa mjini wanasema jamaa anapenda “midume” sijui kuna ukweli
 
Kwa ushauri wa haraka Manara asingeoa kabisa na kama kuoa angeoa Mwanamke mkubwa above 35 au forty. Why
Manara ana kisukari kikali sana hivyo hawezi kumridhisha mke hasa mdogo kama huyo na ndio sababu kubwa ya kuachwa na mke wa kwanza.
Mwanamke mwenye umri mkubwa i.e 35 years na kuendelea hua na high sex drive mzee
 
Ndo maana vijana wengi wanapendaga sana wadada wakubwa wakubwa au wake za watu sababu katika umri huo kama mwanaume hajiweki fiti vizuri mke kuchepuka ni rahisi sana sababu anakua anataka deile...
I know.
Ni balaa
 
Back
Top Bottom