Nyanya mbichi
JF-Expert Member
- Nov 10, 2011
- 3,716
- 2,218
haya wale mashabiki wa kiba msio na king'amuzi cha azam tv, huu ndio muda muafaka wa kukinunua ili muweze kushuhudia star wenu akichukia jiko huko mombasa,kenya.
mambo ni [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji116] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122] [emoji122]
View attachment 747900
hongera kwa azam tv kwa kutuweka karibu na star wetu siku anayofunga ndoa.
wateja elfu kumi na tatu na 19 wanunue kifurushi siku hiyo ambayo watazamaji watadumu kuangalia kwa Mwezi mzima malipo yote yatakuwa ya King Kiba
Ahahaaaaaaaaaaah...hahaaaa haaaa...dawa imeingia bila shaka
Mzee sipo katika huo u team "" ila nilitia hiyo statement kwakuwa "" huyo Jamaa aliyejibiwa ile hoja "" alikuwa anatoa hoja dhaifu sana""Ahahaaaaaaaaaaah...
Ina maana na wewe unaamini kuwa azam wanamlipa Kiba milioni 200+ kwaajili ya kurusha matukio ya harusi yake tu..!?
Hizi team zina maajabu sana..!!!
Endelea kuamini..!MZee sipo katika huo u team "" ila militia hiyo statement kwakuwa "" huyo Jamaa aliyejibiwa ile hoja "" alikuwa anatoa hoja dhaifu sana""
yap " naamini ndio"" hebu nipe sababu zako wewe ambazo zinakufnya usiamini""?
haaha kwahiyo hapa ndio umejibu hoja " duuuh""Endelea kuamini..!
Sio wivu hizi ni hesabu tu,MO kanunua 50% kwa Bilioni 20 ,inamaa nyingine zilizobaki ni hisa 50% ni bilion 20 ,jumla thamani ya Simba ni Billion 40,bado wathamini wengine au hujajifunza hesabu eka za darasa la saba .Madrid upande wa mavazi anakula pound mil 85 (sawa na dola 140+) kwa mwaka ,gawanaya na dola milion 25 alilolipwa Mayweather unakuja gundua mayweather anaingia mara approx 6 si umeona utofauti.Sawa apply this technic to Kiba and Simba kama hujapata hela aliyolipwa KIBA haivuki mil 20.THAMANI ya kitu ndio indetermine ulipwe sh ngapi mimi sina roho hiyo unayosema ww ,ila nimekataa kudanganyana hapa na nimechambua hapo kimahesabu zaidii na si kiushabiki kama ww unavyotizama.Hicho hicho ndio nilikua nakitaka ili uje useme nachanganya, wewe ndo unataka kuniambia ulikua huchanganyi kuja kusema MO kanunua hisa Simba kwa bilioni 20, thamani ya hisa za simba iliingiliana vipi na Ali Kiba. Watanzania tuna wivu sana yaani unaona jamaa kafaidi sana kupewa hiyo hela na unataka kujifanya wewe unaijua sana thamani yake ndio maana unataka kumlinganisha na vitu ambavyo hata haviendani.
Kwa vile unaongea mambo ukisukumwa na wivu naomba nisiendelee ku argue na wewe, wewe unajua ku rate thamani za watu so unaijua thamani ya Kiba basi tufanye hajalipwa.
king acha watu wafanye biashara halali kwa kupitia brand za majina yao.Mbona hii harusi ina promo zisizo na kichwa wala miguu? Hivi huyo ndio wa kwanza kuoa?
Wqjinga ndo waliwaoKawadanye wenzio ndugu yangu,mimi Azam nawafaham vizuri,but if you have any document to prove that he got $90K,just put it here.Simba na Yanga ni brand kubwa msimu wa sita huu wanakula mil 100,mechi zaidi ya 25 hilo tukio la masaa manne upewe $90k,sio Azam hao.
Mna hasira kama una share kwny hiyo hela. Tatzo team kiba kila kitu mnatakaga kushindana na domo, domo hizo hela anatengeneza daily kupitia mikataba yake mbali mbali. Kama joti harusi ilionyeshwa kupitia Azam iweje kwa kiba iwe kitu cha kushangza. Umeombwa ushahid wa maneno yako siyo kubwabwaja.Basi wewe ndo Bakheresa, wewe ndo Mzee Tido, wewe ndo yahaya Mohamed unajua Kila kitu Boss. Tuufunge huu Mjadala maana sina sababu ya kukupa ushahidi, wewe Kama Ndo Boss wa Azam. Naona mmepanic na Kiki zenu za Video za Kitoto Huyo ndo Alikiba Amewapiga za Chembe. Hii Inaitwa KO. Tayari Makampuni 19 yamesha sign Mkataba Kubrand na Sponsorship ya Hiyo Event , Achilia Mbali Full sponsorship ya Governor wa Kaunti ya Mombasa Mr. Joho. Achilia Mbali Mgeni Rasmi kua Jakaya Kikwete. Kuna Surprise ya Msanii Mkubwa wa Kike Kutumbuiza on that day. Nikushauri tu Acha Dawa waingie vizuri ili mpone utoto wenu.
Funguka kaka wamepltuchosha na mauongo yao.Sifanyi kazi azam nina lundo la washkaji wapo pale ,wanapiga kazi na ndio maana nakukatalia na najua mpaka payment ya baadhi ya vipindi pale,usitake nifunguke sana.
Hapendagi SHOW OFF
HahahaaaRuhusu ubongo wako ufanye kazi yake japo kidogo mkuu..!
Acha uongo hiyo show Alikiba alipwi chochote kile hahahahhaha hana hadhi ya kulipwa hiyo hela....Azam Media weingia Makubaliano na Management ya Alikiba Kurusha Live Tukio la Harusi yake Litakalo anzia Mombasa Kenya Mpaka Dar es salaam Tanzania. Mkataba huo ni wenye Thamani ya Milioni 234,330,500/= Unamfanya Alikiba kua Msanii wa Kwanza Kufanya Tukio la Kipekee kama Hilo. Ndoa hiyo inatarajiwa kufungwa hivi Karibuni wiki hii. Hongera kwa Management nzima ya Alikiba na Wasaidizi wake.
Uongo wa nn acha wivu Kiba ameingia mkataba na Azam tv wa $ 90,000 ambazo ni sawa na izo ml 200Acha uongo hiyo show Alikiba alipwi chochote kile hahahahhaha hana hadhi ya kulipwa hiyo hela....