Harusi ya Nandy na Billnas ni Juni 25, 2022

Basi Chain itakuwa Ni kubwa mno,hadi yule wa mabango kuona kasitirika sna Mzee wa Subaru mabwePande
 
Aiseee....dunia itasimama kwa hiyo harusiii

Ova
 
SI wanasema jasiri muongoza njia alishaungua kitambo Sasa nandy hajaungua au zana zilihusika mda wote?
Ni mwendo wa kuungwa REA tyuuh kwa 27k [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Huyu mchaga amepania kuchukua Mali za nandy, inabidi waandikishane kabisa kwamba hizo Mali hazitahusika na Bili Nanasi
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] mie hapana kwa kweli,
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe sijakuzoea hivi, umepata rafiki mpya anakifundisha roho mbaya ee..?
 
Nampenda Sana Nandy, nadhani ndo mwanamke mzuri kuliko wote Tanzania kwa mtazamo wangu.Hongere kijana Billnass
Weeee weeee ni nini uliona....? Lile li pichu lilikuchanganya?

Lakini ni mtazamo wako

Mrs. Balvejmumt embu uje akulinganisha aone [emoji849]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Wewe sijakuzoea hivi, umepata rafiki mpya anakifundisha roho mbaya ee..?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hapana jomoneeeeh rafiki, uwiiiiiih

Sent from my Infinix X652C using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…