Hasara itokee isitokee mambo aliyofanya Magufuli hata vipofu wameyaona

Hasara itokee isitokee mambo aliyofanya Magufuli hata vipofu wameyaona

Hashimu lwenje

JF-Expert Member
Joined
Oct 2, 2017
Posts
415
Reaction score
361
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hospitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
 
Kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee, bahati mbaya jahzi linawaelemea.

Maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].

Mama tafadhali, kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
 
kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.

maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].

Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
Warusha nyimbo?

Mataga hamtaki kuamini kuwa mzee kafa.

Kafanya yote mazuri hatujakataa
 
kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.

maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].

Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
JPM ni kiongozi aliyeletwa na Mungu kamwe hatoweza kuchafuliwa.
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Tena hivyo cha mtoto...

Nenda kafufue watu waliouwawa na kutupwa na sandarusi....

Ukishaijua thamani ya uhai wa binadamu ilivyo ndogo, ndo utajua kweli jamaa alikuwa jiwe....

Itoshe tu kusema apumzike alipojiandalia makao....
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.

Hata wale weusi huko kusini waliokuwa wanaandamana wakiongozwa na Mandela, waliona miradi aliyojengwa na Kaburu Pieter Botha. Je umewahi kusikia hao weusi au waafrika hususan watanzania wakimsifu Kaburu Pieter Botha kwa ile miradi ya maendeleo zaidi ya kuponda udhalimu wake?
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Legacy ya wizi, uporaji, ukandamizaji na wizi wa chaguzi. Bora amewahi kwenda
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Truth will always prevail...no matter how hardly they are trying to hide it.
His legacy shall always be there..
We understand and acknowledge that some of us(including me) were a little bit shaken economically during his tenure, but it was for the sake of our beloved country following the mega projects he initiated. The mega projects would have been a backbone of our economy following their completion. I am skeptical of their completion right now and it will be a big loss and naive decision if that happened.
May his soul Rest in eternal peace (my beloved late president..)
 
Back
Top Bottom