Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.
maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].
Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
Usingekuwa na jina la kiume kwenye username yako, ningedhani wewe ni Hadija Koppa, Malkia wa Mipasho! Bara na Visiwani.Ndio basi tena his legacy will live forever.
Ni kwamba eti
Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.
Ndio hivyo ndugu zangu.
Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.
Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.
Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Kama Mungu alimleta shetani atashindwa kumleta Magu? Grow up, ni mtawala gani katika ulimwengu huu hajawahi ua na kutesa watu?Mungu alituletea muuaji, mtekaji, mtesaji, ?
Mwamba alithubutu kwa ukatili wa hali ya juukama mungu alimleta shetani atashindwa kumleta magu? grow up, ni mtawala gani katika ulimwengu huu hajawahi ua na kutesa watu?
pamoja na madudu yake yote huyu mwamba alithubutu kiasi chake kwenye baadhi ya mambo.
Alithubutu mambo ganikama mungu alimleta shetani atashindwa kumleta magu? grow up, ni mtawala gani katika ulimwengu huu hajawahi ua na kutesa watu?
pamoja na madudu yake yote huyu mwamba alithubutu kiasi chake kwenye baadhi ya mambo.
Hah hah haa. Utawala dhalimu kamwe hauwezi kutoka kwa Mungu.kama mungu alimleta shetani atashindwa kumleta magu? grow up, ni mtawala gani katika ulimwengu huu hajawahi ua na kutesa watu?
pamoja na madudu yake yote huyu mwamba alithubutu kiasi chake kwenye baadhi ya mambo.
Samahani kama umekwazika kwa kauli hiyo bt muda ni mwalimu mzuri utatufunza kitu soon.Hah hah haa. Utawala dhalimu kamwe hauwezi kutoka kwa Mungu.
Shetani ni mungu wa dunia hii, naye pia hugawa vyeo na mamlaka na utajiri na fahari za dunia. Nakushauri tu uache dharau na kuwaambia wenzako "grow up"
![]()
Mathayo 4:9 kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.” | Neno: Bibilia Takatifu 2014 (NEN) | Pata programu ya bure ya Bibilia sasa hivi.
kisha akamwambia, “Nitakupa hivi vyote kama ukinisujudia na kuniabudu.”www.google.com
MATAGA ndio mmeamua hivyoNdio basi tena his legacy will live forever.
Ni kwamba eti
Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.
Ndio hivyo ndugu zangu.
Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.
Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.
Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Hakuna jambo gumu kuficha kama UKWELI.kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.
maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].
Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
Kaka mbona hasira hivyo? Hiki ni kipindi cha Kwaresma!!Ndio basi tena his legacy will live forever.
Ni kwamba eti
Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.
Ndio hivyo ndugu zangu.
Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.
Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.
Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Hii ina mixer na mchiriku, bado hajaingia studio anatafuta bwana wa kumshughulikia kwanza.Hii taarabu umerekodi studio gani?
Siku nyingine kunywa chai Kwanza ndipo uanze kuimba nyimbo zako za kijinga
Nilichojifunza ukiwa madarakani hata ufanye nn ila ukifanya kosa la kuminya uhuru wa watu kukosoa na kupata uhuru wa habari basi siku utakapotoka madarakani legacy yko inaweza zidiwa na maneno ya watu waliokuwa wakishindwa kukosoa wakati upo hai...mzee kazikwa juzi tu ila maneno yaukosoaji ni mengi mno hata angali ajaoza...JK na mwinyi waliacha uhuru wa kukosolewa na habari, walipostafu watu hawakuwa na mengi yakukosoa maana vifua vilikuwa vyepesi madudu yte watu waliyakosoa wakati wakiwa madarakani sahvi wamestafu kwa amanikuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.
maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].
Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.
Haina upinzani hii mkuuNdio basi tena his legacy will live forever.
Ni kwamba eti
Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.
Ndio hivyo ndugu zangu.
Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.
Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.
Itoshe tu kusema his legacy will live forever.