Hasara itokee isitokee mambo aliyofanya Magufuli hata vipofu wameyaona

Hasara itokee isitokee mambo aliyofanya Magufuli hata vipofu wameyaona

Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.

Yaani hela iliyotumika kukusomesha ni bora ingetumika kuboresha lishe ya wale mbwa wenu pale nyumbani...
You didn't deserve to be in classrooms for all that long!
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Kinachozungumziwa hapa ni INTEGRITY & VALUE FOR MONEY kwenye utekelezaji wa hayo. Do not purposely narrow your mind. SILLY !!!!
 
Nilichojifunza ukiwa madarakani hata ufanye nn ila ukifanya kosa la kuminya uhuru wa watu kukosoa na kupata uhuru wa habari basi siku utakapotoka madarakani legacy yko inaweza zidiwa na maneno ya watu waliokuwa wakishindwa kukosoa wakati upo hai...mzee kazikwa juzi tu ila maneno yaukosoaji ni mengi mno hata angali ajaoza...JK na mwinyi waliacha uhuru wa kukosolewa na habari, walipostafu watu hawakuwa na mengi yakukosoa maana vifua vilikuwa vyepesi madudu yte watu waliyakosoa wakati wakiwa madarakani sahvi wamestafu kwa amani

uongo hutangulia ila ukweli huja nyuma taratibu.
 
Hakuna jambo gumu kuficha kama UKWELI.

Hata ufanyaje, kuna wakati ukweli utakuwa wazi tu.

Vinapita hata vizazi kisha ukweli unajulikana. Kama mtu ni mwovu wakati wake utafika, hata serikali yote na nchi ikaamua kumpamba ila wakati utafika ukweli utajulikana.

Kama ni mwema hata akichafuliwa vipi wakati utafika UKWELI utashinda.
 
Ndio basi tena his legacy will live forever.

Ni kwamba eti

Hasara itokee isitokee
Mambo aliyofanya Magufuli katika kipindi chake kifupi hata vipofu wameyaona. Vipofu nao wanasimulia Mambo aliyofanya. Mabubu nao pia wanasimulia.

Ndio hivyo ndugu zangu.

Kama unaumia
Nenda kabomoe Ubungo na Tazara interchange.
Ukiona haitoshi kabomoe hosipitali zilizojengwa kila kijiji.
Ukiona haitoshi kabomoe lile bwawa letu la umeme.
Ukiona haitoshi kabomoe ikulu yetu pale Dodoma.
Ukiona haitoshi kabomoe barabara zilizojengwa huko.
Ukiona haitoshi kabomoe reli yetu ya standard gauge.
Ukiona haitoshi kabomoe na reli yetu ya umeme.

Ukishindwa kachukue kamba ujinyonge tu.

Itoshe tu kusema his legacy will live forever.
Watu kama nyie mpo tu sikuzote ila kadiri muda unavyokwenda mnaanza kubadilika....Wanyonge
 
kuna nguvu kubwa sana inataka kuchafua sifa ya mzee,bahati mbaya jahzi linawaelemea.

maana ni huku jf na twitter,huko mtaani hotiba za jpm zimeanza kuuzwa kwa warusha nyimbo[emoji16][emoji16].

Mama tafadhali,kama unataka kusafisha chawa na kunguni wa jpm,basi hakikisha hukaribishi utitiri na mende kutoka msoga,weka watu wako wengine kabisa.

Msoga wanalipa kisasi sasa
 
Huko mtaani hata hotuba za kina Hitler ukiuza zitanunuliwa. Hizo za Magu za watu kutokujana na mavi mjini tutaachaje kununua kukumbuka kejeli zake?

na maelekezo pia,unabeba mavi ukanyee standa na hela huna,mbona huwa mnakula nyumbani kama mfuko hauko sawa!!!
 
Hata hivyo hakufanya maendeleo kwa ajili ya wanaoona.

Hii ndio sababu waonao wasubiri wamtakae yu aja wampokee kwa shamrashamra.
Avatar yako tu inapicha ya zombie, hiyo inadhihirisha jinsi mindset yako ilivyo ya kishetani
 
Mbona kijiji changu hakina Hospital.

Au unaongelea vijiji cha chato?
Meko keshakufa. Mataga huamini?

hata kijiji chenu kuna watu hawaijui chadema,hiyo sio sababu kwamba chadema haina wafuasi.

meko kashakufa,ila kazi aliyoifanya hata mtoto anaijua.
 
hata kijiji chenu kuna watu hawaijui chadema,hiyo sio sababu kwamba chadema haina wafuasi.

meko kashakufa,ila kazi aliyoifanya hata mtoto anaijua.
Kafanya kazi hatujakataa ila hajajenga hospitali kila kijiji
 
Maombolezo ni siku 21, kwani zimeisha?? Au mnataka kumdhulumu Hayati 🤔🤔
Hayo ni maombolezo ya kuzishusha tu bendera nusu mlingoti kutokana na hadhi ya marehemu! Ila kwa sisi wanyonge, tunaendelea na maisha yetu kama kawaida! Kula maisha wewe! 😇
 
Back
Top Bottom