Hasara itokee isitokee mambo aliyofanya Magufuli hata vipofu wameyaona


Yaani hela iliyotumika kukusomesha ni bora ingetumika kuboresha lishe ya wale mbwa wenu pale nyumbani...
You didn't deserve to be in classrooms for all that long!
 
Kinachozungumziwa hapa ni INTEGRITY & VALUE FOR MONEY kwenye utekelezaji wa hayo. Do not purposely narrow your mind. SILLY !!!!
 

uongo hutangulia ila ukweli huja nyuma taratibu.
 
 
Watu kama nyie mpo tu sikuzote ila kadiri muda unavyokwenda mnaanza kubadilika....Wanyonge
 

Msoga wanalipa kisasi sasa
 
Huko mtaani hata hotuba za kina Hitler ukiuza zitanunuliwa. Hizo za Magu za watu kutokujana na mavi mjini tutaachaje kununua kukumbuka kejeli zake?

na maelekezo pia,unabeba mavi ukanyee standa na hela huna,mbona huwa mnakula nyumbani kama mfuko hauko sawa!!!
 
Hata hivyo hakufanya maendeleo kwa ajili ya wanaoona.

Hii ndio sababu waonao wasubiri wamtakae yu aja wampokee kwa shamrashamra.
Avatar yako tu inapicha ya zombie, hiyo inadhihirisha jinsi mindset yako ilivyo ya kishetani
 
Mbona kijiji changu hakina Hospital.

Au unaongelea vijiji cha chato?
Meko keshakufa. Mataga huamini?

hata kijiji chenu kuna watu hawaijui chadema,hiyo sio sababu kwamba chadema haina wafuasi.

meko kashakufa,ila kazi aliyoifanya hata mtoto anaijua.
 
Maombolezo gani tena wewe bibie? Mbona msiba ulishakwishwa siku ya Tatu tangu marehemu alipo hifadhiwa!
Maombolezo ni siku 21, kwani zimeisha?? Au mnataka kumdhulumu Hayati πŸ€”πŸ€”
 
hata kijiji chenu kuna watu hawaijui chadema,hiyo sio sababu kwamba chadema haina wafuasi.

meko kashakufa,ila kazi aliyoifanya hata mtoto anaijua.
Kafanya kazi hatujakataa ila hajajenga hospitali kila kijiji
 
Maombolezo ni siku 21, kwani zimeisha?? Au mnataka kumdhulumu Hayati πŸ€”πŸ€”
Hayo ni maombolezo ya kuzishusha tu bendera nusu mlingoti kutokana na hadhi ya marehemu! Ila kwa sisi wanyonge, tunaendelea na maisha yetu kama kawaida! Kula maisha wewe! πŸ˜‡
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…