Hasara za kulipa kisasi kwa mtu aliyekukosea

Hasara za kulipa kisasi kwa mtu aliyekukosea

realMamy

JF-Expert Member
Joined
Apr 28, 2024
Posts
3,925
Reaction score
8,853
Wakuu Habari zenu?

Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.

Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.

Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano

Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.

Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.

Tusamehe mambo yaendelee.
 
Wakuu Habari zenu?

Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.

Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.

Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano

Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.

Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.

Tusamehe mambo yaendelee.
Kisasi ni haki na wajibu wangu
 
Inategemeana ...
Host : mr putin unaweza msamehe mtu aliyekukosea
Putin: ndio lakini sio msaliti msaliti hasameheki
MUNGU PIA ALIMCHAPA SHETATANI MSALITI
Hivyo sio kila kosa ni la kusamehe 😎😎
😅
 
Wakuu Habari zenu?

Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.

Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.

Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano

Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.

Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.

Tusamehe mambo yaendelee.
Sawa mkuu
 
Jirani kujisamehe mwenyewe ndio muhimu,. Hawa vidampa wengine ukiwasamehe samehe sana wanakuona kama huna cha kuwafanya😬😬

For real uje unipe muongozo buana,. I really need it🥹☺️
Amini kwenye NGUVU YA MSAMAHA utakuwa na amani ila yy deeply atateseka.!!
Jilazimishe kuachilia trust me utaona amani utakayokuwa nayo.!!

Nimekucheck tayari njoo pm
 
Back
Top Bottom