chrstopher
JF-Expert Member
- Sep 28, 2020
- 275
- 558
mambo mengine yanakera hayavumiliki baba kama vp ishi nae ubaya ubaya tu mzee
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
NdioU
Ushawahi muona Bwana analipiza kisasi?
njoo huku mtaani kwetu gongo la mboto uibe uone kama hupigwi tairi mzeeUsifanye hivo please
Wapi hapo ?Ndio
Wakuu Habari zenu?
Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.
Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.
Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano
Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.
Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.
Tusamehe mambo yaendelee.
TanzaniaWapi hapo ?
Je unajua anayependwa sana ndo anayeumiza mtu sana? Mtu kama huyo anaweza chukulia kwa ukubwa akiumizwa kihisia maana hakutarajia.Kitu cha kwanza ni kutokulichukulia kosa lake kwa ukubwa huo.
Kusamehe kuna kuja na muda. Husamehi hapo fast ukasahau. So take time eventualy pain will go away, but hiyo mtu hutomchukulia the samwWakuu Habari zenu?
Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.
Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.
Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano
Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.
Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.
Tusamehe mambo yaendelee.
kulipa kisasi ni kama kunywa sumu halaf huyo mtu afe, utaumia wewe. Let it go and karma will serveWakuu Habari zenu?
Kwa maisha ya kawaida hapa duniani kukosana kupo kwenye haya maisha.
Lakini ni kwa kiasi gani unaweza kubeba maumivu ya kile ulichokosewa na ukaamua Kusamehe.
Kisasi kinaweza kumpa mtu hasara kwa namna moja ama nyingine Mfano
Kwanza mtu aliyekosewa kukosa utulivu wa mawazo.
Lakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.
Tusamehe mambo yaendelee.
Hebu kuwa serous kidogo ndugu. Yani usichukulie kosa la mtu aliyekukosea kwa ukubwa? Labda kama siishi dunianiKitu cha kwanza ni kutokulichukulia kosa lake kwa ukubwa huo.
Wewe nadhani una mawazo kama yangu,. Wanadam wa sikuizi washenzi sanaUko sahihi kabisa. Lkn Amani na utulivu wa akili unaupata baada ya kuona aliyekuumiza kapatwa na baya zaidi. Ukihisi hawezi kupata ndo Unaamua kuisaka hiyo amani na utulivu kwa kumsababishia hilo baya.
fanya maamuzi sahihi either mbadilishane majumba ya kiselikali jela au mochwariKitu cha kwanza ni kutokulichukulia kosa lake kwa ukubwa huo.
😂😂😂Nilitegemea utanijibu duniani 🤣🤣Any way bwana halipizi kisasi yupo yupo tu kama haoni vile ndio anatusababisha tunachukua hatua wenyeweTanzania
Unaweza kujikuta kwenye matatizoJe unajua anayependwa sana ndo anayeumiza mtu sana? Mtu kama huyo anaweza chukulia kwa ukubwa akiumizwa kihisia maana hakutarajia.
Usipochukulia kwa ukubwa ina maana unaididimiza hisia zako kitu ambacho si kizuri kwa afya yako ya akili. Ni heri hasira ziwake, chuki ikushike ili sasa utafute njia za kujitibu.
Ukitoka hapo nenda kafanye vitu unavyovipenda na sahau kuhusu kukosewa.Hebu kuwa serous kidogo ndugu. Yani usichukulie kosa la mtu aliyekukosea kwa ukubwa? Labda kama siishi duniani
Hapa nimezungumza km ninavyohisi Mimi na ninahisi siyo Mimi tu, hata wewe unaweza kuwa unaamini ktk kumuumiza aliyekuumiza ili uhisi kutulia kiujumlaLikikupata wewe je?
Hii nikulingana na kosa kama mtu nina muweza kwanini asikipate ila kama simuwezi hapo hakuna jinsi bali kusameheLakini pia mtu anaweza kuishia pabaya endapo utaamua kulipa kisasi.