Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😹😹😹 Nilikusoma akili yako muda, nikajua lazima utaniletea u kiranga wako hapa.!!😂😂😂Nilitegemea utanijibu duniani 🤣🤣Any way bwana halipizi kisasi yupo yupo tu kama haoni vile ndio anatusababisha tunachukua hatua wenyewe
Hivyo yanKuna makosa ya kusamehe, na kuna makosa ya kumburuza mtu, kumuua nk.
Ila nikilipiza namuachia maumivu zaidi ili siku nyingine asije nizoea hovyo ,,ujue ukiwa unatoa msamaha sana unaonekana kama nyumbu kichaaaKwanza ukisamehe utamuachia maumivu aliyekukosea. Hatakuwa na amani.
Nikikosewa vitu ninavyopenda kufanya ni kulipa kisasiUnaweza kujikuta kwenye matatizo
Ukitoka hapo nenda kafanye vitu unavyovipenda na sahau kuhusu kukosewa.
Mmh! Hapo pagumu. Ninaomba kila mtu abaki na mtazamo wakeSum
unaweza kubadili mtazamo wako kuanzia sasa.
Maana utalipa kisasi kwa watu wangapi sasa?Kusamehe siyo rahisi hivyo,nilipokuwa mdogo nilikuwa nadhani kusamehe ni rahisi sana,labda ni Kwa sababu sikuwa ninayafaham maumivu ni kitu gani,Sasa hivi nimeyajuwa maumivu ni nini,na sitamani mtu apitie maumivu hayo maana unaweza kuchukuwa uamuzi usio wa kawaida na ukaishia gerezani,lakini hata hivyo hakuna ambaye yupo duniani atahepa maumivu, ni lazima upitie katika maumivu ili ujifunze bila hivyo maisha hayana maana,Cha msingi kukubaliana na Hali na moyo wa msamaha hapo hapo ndio njia Bora zaidi.
Mleta mada alianza kunishawishi nimsamehe yule kiumbe,, ila wewe tena umenkumbusha jambo😎🤏🏾Sometimes kusamehe samehe mda mwingine tunaonekana wapuuzi,.. saizi wacha tuende tu hivihivi Jino kwa jino😏😏
Watu washenzi sana sikuizi,. Mimi saizi sitaki kabisa mahubiri ya mtu kuhusu msamaha,. Yaani hapa bado tu sijapata mganga wakueleweka nimroge mtu na kizazi chake chote manina😏,..Mleta mada alianza kunishawishi nimsamehe yule kiumbe,, ila wewe tena umenkumbusha jambo😎🤏🏾
😂😂😂Basi jaman aaah,,hua wanasema kosa ni kurudia kosa,,huyo tumshughulikie tu kwakwelWatu washenzi sana sikuizi,. Mimi saizi sitaki kabisa mahubiri ya mtu kuhusu msamaha,. Yaani hapa bado tu sijapata mganga wakueleweka nimroge mtu na kizazi chake chote manina😏,..
Mtu anakutapeli mara mbili mfulilizo huyo ni wa kumuacha kweli eti??🤔
Yaaani😬😂😂😂😂Basi jaman aaah,,hua wanasema kosa ni kurudia kosa,,huyo tumshughulikie tu kwakwel