Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwelie?Inategemea ntu na ntu
Waligeuza soko nyumba ya ibada akamindKuna siku yesu alifurusha vitu vya watu hekaluni inawezekana ni ukame nini?
Ee mbeekwelie?
Uongo, cute wife anafanya kila siku lakini yote hayo anayo
Unataka tufanye? Sema mapema nijiandaeTunafanyaga wote? Wewe si ulisema hawala yako wa jf kasema hapendi unitaje, hivyo kakushauri uache! Vipi umeshindwa kuvumilia?
Unataka tufanye? Sema mapema nijiandae
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji174]Mbona Yesu hakuumwa kichwa
Hongera sanaMbona mimi sijakutwa na hiyo hali coz kwa mwaka huwa nafanya mapenz mara moja kwa ajili ya kukeep energy
[emoji28]Mapadri wengi wanajichua[emoji4]
PoleKwamba ufanye mapenzi hata kama hauna mtu sahihi? Wacha pazibe tu.
Sawa itakavyo kuwa iwe hivyo staki tena kuchosha moyo wangu wacha iwe ivo tu wacha nifate njia itakayo nipa furaha haijalishi itachelewa kiasi gani.
Oh kichwa kuuma?? Pamoja nakunywa maji chupa 3 kwa siku kichwa kwa mbali kinauma.
Anyway hata hivo Mungu asante kwa uzima.
'ADWAM'
Like sir Isaac NewtonMbona kunawatu makini sana wamepita katika hii Dunia na kufanya maajabu ya kisayansi na taarifa zao zina sema mapenzi kwao sio ishu hawakuwa wanapoteza umakini katika kazi?
Aisee mpungaze zinaa kizazi kibaya na Cha zinaa.
na unaambiwa ameishi miaka yote hiyo kwa sababu hajanyanduliwa inasemakana pia kunyanduana sana hupunguza umri ndio maana vijana ukifika 60 bahat
Yesu alikuwa na hasira sana ndio maana hadi mitume wake wakaidhinisha kwamba hasira inaruhusiwa lakini usitende Dhambi, unajua walijifunza wapi, Kwa Yesu mwenyewe Waefeso 4:26a "Mwe na hasira ila msitende Dhambi"Na hakuwa na hasira za hovyo