Hasara za kuwa baba wa kambo

Hasara za kuwa baba wa kambo

Miaka ya nyuma ipi mkuu, unataka turudi nyuma?

Haya twende taratibu, miaka ya nyuma unakumbuka elimu haikuwa kipaumbele? Unakumbuka mabinti walikuwa wanaolewa na miaka mingapi?

Miaka ya nyuma unayoisemea binti alikuwa akishavunja ungo, anapelekwa unyagoni kisha anatafutiwa mume anaolewa?

Vijana wa kiume nao ivoivo, walikuwa wakishabalehe, wanapelekwa jandoni, wakirudi wanakuwa tayari kuoa.

Siku hizi elimu inawafanya mabinti na vijana wafikishe miaka 23, 24, 25, 26 wakiwa hawana mbele wala nyuma. Meanwhile wameshabalehe na kuvunja ungo, unatagemea wataacha kufanya kisa hawajaoa au kuolewa?
Kama Unazo Akili Utagundua Elimu Inajaribu Kupambana Na Nature Na Ndio Maana Unaliona Anguko La Mtoto Wa Kike.

Automatically Mtoto Wa Kike Ni Kama Tunda likishaiva Ni Lazima Liliwe Na lisipoliwa Litaoza.
Leo Hii Walimwengu Wanatuaminisha Kwamba Mtoto Wa Kike Kufundishwa Elimu Kuhusu Ngono Sio tatizo Kushiriki Ngono Wakiwa Mashuleni Sio Shida Na Hadi Elimu Ya Uzazi wa Mpango Wanapewa Ili Kujikinga Na Mimba.
Shida Kwao Wao Ni Pale Binti Huyo Kuolewa Na Ataitwa Mtoto Ila Wanasahau Wameshamfundisha Jinsi Ya Kungonoka Wameshamfunza Jinsi ya Kuepuka Mimba Ila Kwenye Ndoa Ghafla Anageuka Mtoto.
Hichi Kitu Ndo Kiwanda Cha Masingle Mama.
Ajenda Ya Kualibu Kizazi Hiki Imejificha Kwenye Kichaka Cha Elimu
Tutafakari Kwa Pamoja.
 
mkuu ana chafua vipi hadhi ya mwanaume akati kila mtu ana mwili na heshima yake?

azizi k ni mtu mzima aliye fanya maamuzi kwa akili na utashi wake, hizi mambo za kakosea sisi hazi tuhusu as long as ana uhuru wa kuchagua na kuamua yupi ni bora kwake.
Ccm Oyeeeee.
 
Bado natafsiri kama uoga wa wanaume mlio wengi wala sio kuwasanua simps au niaje.

Na pia mimi sitetei wanawake, na hapo ndipo ninyi wanaume wengi msiojiamini mnajifichia, mtu akiwapinga moja kwa moja mnakimbilia ati "unatetea wanawake" ila hapana mi naandika uhalisia.

Yaani wanaume wengi mmekua kama wanawake, hamjui mnataka nini. Wewe ni kiongozi wa familia, kama waislam wanaoa mpaka wake 4 na wote anawacontrol yeye bila kujali kaoa single maza au niaje. Ajabu ninyi vijana wa sasa mnawaandama singo maza bila hata sababu za msingi sometimes.

Yes wanazingua sana tu ila sio sababu ya wao kutoolewa, kutolea watoto wao ati watakuona "simp" bro where did you get this?? Baba ni yule anaprovide bro, always iko hivyo.

Cha kuwashauri wanaume ni kua watumie akili na sio hisia. Lakini pia wasikalili maisha mambo hubadilika.

Unapomsanua mwamba atumie akili hata maamuzi yake atatumia akili, atamlipia ada mtoto wa Me mwenzie sio kwa kumshawishi mama yake akupende ila ni kutoa msaada tu, asaini prenup kama ana mali nyingi, adiversify uchumi wake nk.
Ndo Leo Najua Kumbe Ni Wale Wa Kunyonyesha.
Hii ID ilikaa Kibabe Kama kweli!
 
Bado natafsiri kama uoga wa wanaume mlio wengi wala sio kuwasanua simps au niaje.

Na pia mimi sitetei wanawake, na hapo ndipo ninyi wanaume wengi msiojiamini mnajifichia, mtu akiwapinga moja kwa moja mnakimbilia ati "unatetea wanawake" ila hapana mi naandika uhalisia.

Yaani wanaume wengi mmekua kama wanawake, hamjui mnataka nini. Wewe ni kiongozi wa familia, kama waislam wanaoa mpaka wake 4 na wote anawacontrol yeye bila kujali kaoa single maza au niaje. Ajabu ninyi vijana wa sasa mnawaandama singo maza bila hata sababu za msingi sometimes.

Yes wanazingua sana tu ila sio sababu ya wao kutoolewa, kutolea watoto wao ati watakuona "simp" bro where did you get this?? Baba ni yule anaprovide bro, always iko hivyo.

Cha kuwashauri wanaume ni kua watumie akili na sio hisia. Lakini pia wasikalili maisha mambo hubadilika.

Unapomsanua mwamba atumie akili hata maamuzi yake atatumia akili, atamlipia ada mtoto wa Me mwenzie sio kwa kumshawishi mama yake akupende ila ni kutoa msaada tu, asaini prenup kama ana mali nyingi, adiversify uchumi wake nk.
Umesema kutoa msaada wa ada umenikumbusha kuna mzee wetu mmoja aliamua kumlipia stranger ada ya chuo mpaka akamaliza.

Kijana walikutana tu mtaani katika kuongea akamwambia anapambana kutafuta ada, mzee akaguswa akamwambia kuanzia sasa hivi ada ntakulipia mimi. Kijana kamaliza mwaka jana nadhani.
 
Kama Unazo Akili Utagundua Elimu Inajaribu Kupambana Na Nature Na Ndio Maana Unaliona Anguko La Mtoto Wa Kike.

Automatically Mtoto Wa Kike Ni Kama Tunda likishaiva Ni Lazima Liliwe Na lisipoliwa Litaoza.
Leo Hii Walimwengu Wanatuaminisha Kwamba Mtoto Wa Kike Kufundishwa Elimu Kuhusu Ngono Sio tatizo Kushiriki Ngono Wakiwa Mashuleni Sio Shida Na Hadi Elimu Ya Uzazi wa Mpango Wanapewa Ili Kujikinga Na Mimba.
Shida Kwao Wao Ni Pale Binti Huyo Kuolewa Na Ataitwa Mtoto Ila Wanasahau Wameshamfundisha Jinsi Ya Kungonoka Wameshamfunza Jinsi ya Kuepuka Mimba Ila Kwenye Ndoa Ghafla Anageuka Mtoto.
Hichi Kitu Ndo Kiwanda Cha Masingle Mama.
Ajenda Ya Kualibu Kizazi Hiki Imejificha Kwenye Kichaka Cha Elimu
Tutafakari Kwa Pamoja.

Umenisoma.vzr sana mkuu..

Jana kuna binti nilikuwa naongea naye, ana 21 yrs, ameshamaliza diploma, yuko tu nyumbani. Amelelewa kimayaimayai, ajira hataki kuapply, lipolipo tu. Imagine jitu zima la miaka 21 limemaliza chuo ila kufuata vyeti lilisindikizwa na mama yake.

Sasa tukawa tunaongea mambo ya mahusiano, nikamuambia ukipata kijana anataka kuoa, basi olewa, muda ndo huu. Eti kananijbu muda bado, ngoja kwanza nifikishe miaka 25 hivi, ili nami nijipange angalau hata niwe nimesimama nina cha kwangu.

So, unaona kabisa mabinti wameshaharibiwa mentality, wanachojua wao kuolewa na miaka 20,21,22,23 ni mapema sana, wakati ndiyo muda sahihi wa binti kuzaa watoto wenye afya..

Wanashindwa kujua kwamba wao kwa sasa wana miaka 20 huku mama zao wakiwa na miaka 40+, ina maana mama zao waliolewa na mapema na miaka 19 na kuendelea.
 
SABABU ZA VIJANA KUOA SINGLE MOTHERS
Najua wenye vichwa ngumu watabisha na kujifariji ila zifuatazo ndio sababu za vijana kuoa single mothers
1. Kijana kutaka mwanamke cheap
Kuzaa kabla ya ndoa huwa kunaishusha thamani ya mwanamke. Hivyo mwanamke aliyezaa mahari yake huwa ni ndogo kuliko ambaye hajazaa. Sasa vijana kwa kupenda kitonga huwa wanakimbilia huko ili wapate punguzo la mahari (kwa sababu wao ni waokoa jahazi)

2. Kuanza maisha ya pamoja kabla ya ndoa
Wanawake wengi waliozaa kabla ya ndoa kwa kutambua kuwa thamani zao zimeshuka huwa wako tayari kuanza maisha ya kinyumba kabla ya ndoa. Hivyo vijana wapenda vitonga huwa wanakubali kuanza kuishi na hawa wanawake ili waanze kufaidi matunda ya ndoa kwa gharama ndogo kabla ya ndoa yenyewe.

3. Kusaidiwa mahari ya kuolea
Mara nyingi vijana wanaooa single mothers mahari ya kuolea huwa ni tatizo kwao. Hivyo huwa wanakubali kuanza maisha na single mothers ili wasaidiane kutafuta mahari. Japo wengi huwa wanalikataa hili ila ukweli ni kwamba direct/indirect huwa wamesaidiwa na single mothers kutafuta mahari.

4. Kusaidiwa harusi
Kwasababu harusi zimekuwa ni gharama kubwa hasa kwa wakristo. Vijana wengi wapenda vitonga huwa wanakimbilia kuoa single mothers, kwasababu mara nyingi single mothers tayari wanakuwa wameingia kwenye utafutaji, wako kwenye vikundi vya kinamama na vikundi vingine vya kijamii hivyo huwa wanawasadia kuchangisha michango ya harusi na kujigharamia maandalizi ya harusi kama shera, saluni n.k. Tukumbuke harusi ni jukumu la bwana harusi na familia yake. Bibi harusi na familia yake wanapaswa kushughulikia kitchen party na send off, siyo harusi.

5. Kijana kutaka kusaidiwa maisha kwa kigezo cha mipango na uchakarikaji wa mwanamke.
Kama nilivyotangulia kusema hapo kwenye #4 mara nyingi kutoka na burden ya maisha single mothers wanalazimika kuwa wachakarikaji na mipango mingi, wakati wale ambao hawajazaa wengi huwa huwa bize na urembo na fasheni. Hivyo vijana wapenda vitonga huwa wanawaona single mothers ni fursa kwao ili wasaidiane maisha (mipango na uchakarikaji)

6. Kijana kutaka upendo na utiifu cheap
Kwasababu wanawake ni hypergamy in nature, huwa wanawapenda na kuwatii wanaume ambao wako juu yao kiumri, kiuchumi, kifikra kimaamuzi, wenye uzoefu wa n.k.
Mwanamke anapozaa kabla ya ndoa na thamani yake kushuka huwa analazimika kupunguza vigezo na demands zake kwa mwanamume. Pia ili wakubalike huwa wanaamua kuonyesha upendo na utii bandia wa kiwango Standard gauge. Hapo ndipo single mothers wanapogeuka kuwa kimbilio la vijana ili vijana wajipatie upendo na utii kwa gharama nafuu.

N.B
i. Hz sababu zote nilizozitaji single mothers huwa wanazijua, wazikubali na kuzitii japo kwa shingo upande ili wafanikishe mambo yao.

Hii inasababisha single mothers wengi waishi maisha ya vifungo na wanaume ambao hawawavutii, kuwataka wala kuwapenda. Hivyo inapotokea tu single mother akajipata kimaisha na akapata mwanaume anayemvutia na kumpenda (mara nyingi huwa ni wale waliowazalisha hapo kabla) hakuna rangi utaacha kuona. Utabaki kutulialia bila sababu.
Ukijakunililia nakuchana makavu kabla ya kukupa ushauri ama msaada.

ii. Bila kujali single mother ni mama yangu mzazi, dada yangu wa tumbo moja ama binti yangu sababu nilizozitaja zinabaki kusimama mahali pake.

HAKUNA SINGLE MOTHER ANAYEFURAHIA KIJANA WAKE AU KAKA YAKE KUOA SINGLE MOTHER
Hakika
 
Siyo wanawake Wote Mkuu!
Kubwa ni hiyo no.4 tu! Kwamba USIOE kabisa mwanamke ambaye baba mtoto wake yupo!
Kama ni MJANE sawa!
Hayo mengine hayana athari sana kama na yanarekebishika kama ulikubali kumuoa akiwa na mtoto ili mradi umpenda mtoto.
Nimeshuhudia ndoa nyingi za watu wa jinsi hiyo wakiishi vizuri kabisa tena kwa amani.
 
Umesema kutoa msaada wa ada umenikumbusha kuna mzee wetu mmoja aliamua kumlipia stranger ada ya chuo mpaka akamaliza.

Kijana walikutana tu mtaani katika kuongea akamwambia anapambana kutafuta ada, mzee akaguswa akamwambia kuanzia sasa hivi ada ntakulipia mimi. Kijana kamaliza mwaka jana nadhani.
Bora huyo anajua kuwa ana msaidia kama msamalia kulikoni kuwajibishwa kulipia ada matoto ya wanaume wazembe then unatengenezewa zengwe ugombane na mwanamke baada ya kumaliza hayo majukumu.

Kama mkeo wa ndoa anafika point anakuwa anakuona kero kwenye maisha yake anataka uhuru baada ya wewe kupambania maisha kumpa yeye hifadhi na kumsitiri miaka yote ila siku akijua kazi hauna na kipato kimeshuka wewe ghafla unakuwa ni wa kazi gani na hataki ukaribu wa kimahaba tena.
 
Bora huyo anajua kuwa ana msaidia kama msamalia kulikoni kuwajibishwa kulipia ada matoto ya wanaume wazembe then unatengenezewa zengwe ugombane na mwanamke baada ya kumaliza hayo majukumu.

Kama mkeo wa ndoa anafika point anakuwa anakuona kero kwenye maisha yake anataka uhuru baada ya wewe kupambania maisha kumpa yeye hifadhi na kumsitiri miaka yote ila siku akijua kazi hauna na kipato kimeshuka wewe ghafla unakuwa ni wa kazi gani na hataki ukaribu wa kimahaba tena.
Mkuu, upo sawa, ila hata wanao wa kuwazaa wanaweza kukutenda sivyo. Mwanaume pamoja na kutimiza majukumu usisahau kujiandalia maisha yako ya uzee. Kuwa na kabalance kako ka kula bata maana huwezi jua nini kitakukuta. Iwapo halitatokea huna ulilopoteza tofauti na likitokea la kutokea.
 
Mkuu, upo sawa, ila hata wanao wa kuwazaa wanaweza kukutenda sivyo. Mwanaume pamoja na kutimiza majukumu usisahau kujiandalia maisha yako ya uzee. Kuwa na kabalance kako ka kula bata maana huwezi jua nini kitakukuta. Iwapo halitatokea huna ulilopoteza tofauti na likitokea la kutokea.
Mimi hadi sasa kila mpango ninao andaa unanihusu mimi kwa asilimia 90% hiyo 10% nimewawekea watu wa ziada wakiwamo wanawake kama sadaka. Nikiwa na laki atapata mgao wao 10,000 si zaidi.

Ambaye atanifanya ni chenji pesa yangu ni bi mkubwa sababu huruma yake kwangu nimeiona. Ameshajitoa sana kwangu. Hawa wengine ni ziada sana na sotegemei huruma yao maana najua namna wanadamu wa sasa tulivyo umbwa.

Watoto ni sehemu ya maisha yangu nawapambania waweze kusimama na sio kuja kuwa uwekezaji wa baadae kwa faida yangu no.
 
Siyo wanawake Wote Mkuu!
Kubwa ni hiyo no.4 tu! Kwamba USIOE kabisa mwanamke ambaye baba mtoto wake yupo!
Kama ni MJANE sawa!
Hayo mengine hayana athari sana kama na yanarekebishika kama ulikubali kumuoa akiwa na mtoto ili mradi umpenda mtoto.
Nimeshuhudia ndoa nyingi za watu wa jinsi hiyo wakiishi vizuri kabisa tena kwa amani.
Single mother na mjane ni vitu viwili tofauti
 
Kama unataka sure ya kuwa anazaa, si unampa mimba kwanza, japo siyo busara kijamii.
 
Back
Top Bottom