Hasara za kuwa baba wa kambo

Hasara za kuwa baba wa kambo

Halafu hiyo ada anamlipia nani
Ukishaolewa mumeo ndie anaewajibika na gharama zako pale ambapo haujiwezi sababu ndie mwenzako. Kama baba yako ataendelea kukusomesha pia ni jambo zuri sababu bado ni wanandoa wachanga mnajipanga.

Ndio maana huwa tunasema anaesomeshwa ni mke sio mchumba au demu tu.
 
Umenisoma.vzr sana mkuu..

Jana kuna binti nilikuwa naongea naye, ana 21 yrs, ameshamaliza diploma, yuko tu nyumbani. Amelelewa kimayaimayai, ajira hataki kuapply, lipolipo tu. Imagine jitu zima la miaka 21 limemaliza chuo ila kufuata vyeti lilisindikizwa na mama yake.

Sasa tukawa tunaongea mambo ya mahusiano, nikamuambia ukipata kijana anataka kuoa, basi olewa, muda ndo huu. Eti kananijbu muda bado, ngoja kwanza nifikishe miaka 25 hivi, ili nami nijipange angalau hata niwe nimesimama nina cha kwangu.

So, unaona kabisa mabinti wameshaharibiwa mentality, wanachojua wao kuolewa na miaka 20,21,22,23 ni mapema sana, wakati ndiyo muda sahihi wa binti kuzaa watoto wenye afya..

Wanashindwa kujua kwamba wao kwa sasa wana miaka 20 huku mama zao wakiwa na miaka 40+, ina maana mama zao waliolewa na mapema na miaka 19 na kuendelea.
Mpe 2yrs Anakwenda Kuwa Singeli Mama.
 
Mimi hadi sasa kila mpango ninao andaa unanihusu mimi kwa asilimia 90% hiyo 10% nimewawekea watu wa ziada wakiwamo wanawake kama sadaka. Nikiwa na laki atapata mgao wao 10,000 si zaidi.

Ambaye atanifanya ni chenji pesa yangu ni bi mkubwa sababu huruma yake kwangu nimeiona. Ameshajitoa sana kwangu. Hawa wengine ni ziada sana na sotegemei huruma yao maana najua namna wanadamu wa sasa tulivyo umbwa.

Watoto ni sehemu ya maisha yangu nawapambania waweze kusimama na sio kuja kuwa uwekezaji wa baadae kwa faida yangu no.
Ok boss.
 
Lea watoto wa wenzako bila kinyongo hata mungu atakubariki
 
Siyo wanawake Wote Mkuu!
Kubwa ni hiyo no.4 tu! Kwamba USIOE kabisa mwanamke ambaye baba mtoto wake yupo!
Kama ni MJANE sawa!
Hayo mengine hayana athari sana kama na yanarekebishika kama ulikubali kumuoa akiwa na mtoto ili mradi umpenda mtoto.
Nimeshuhudia ndoa nyingi za watu wa jinsi hiyo wakiishi vizuri kabisa tena kwa amani.
Single maza na mjane ni makundi mawili tofauti kabisa, hata ukifatilia sababu za wao kujikita katika hali iyo huwa zinakua tofauti kabisa. Mjane kafiwa na mumewe, single maza ni matokeo ya maamuzi mabovu ya mwanamke
 
Umesema kutoa msaada wa ada umenikumbusha kuna mzee wetu mmoja aliamua kumlipia stranger ada ya chuo mpaka akamaliza.

Kijana walikutana tu mtaani katika kuongea akamwambia anapambana kutafuta ada, mzee akaguswa akamwambia kuanzia sasa hivi ada ntakulipia mimi. Kijana kamaliza mwaka jana nadhani.
Mzee wangu ashawapiga tafu stranges kibao tu, hata mimi sitohofu kumpiga tafu mtoto wa mtu hata kama dingi yake yupo hai(kama nina hiyo nafasi na huo uwezo)..

Baba ni malezi.
 
  • Thanks
Reactions: Tsh
Faida ya kuoa singo maza ni sure bet katika kupata watoto (uzao wako) imagine wewe ni MKRISTO na unaoa mwanamke TASA...na ndoa haivunjiki mpaka kifo kiwatenganishe...!! Utajiona boya kiasi gani?

Pia singo maza anakuja kwako akiwa kashajifunza makosa yake yaliyopita hivyo hawezi yarudia tena kwako.


Pia unapata mwanamke ambaye kashapevuka kiakili anajua nini maisha
Jidanganye hivyo hivyo
 
Yaani unamlipia ada mtoto wa mwanaume mwezio ambaye huna nasaba nae kwa kigezo kuwa unatoa msaada, wakati ndugu zako kibao wanateseka hawana uhakika wa kula, makazi wala mavazi achilia mbali kusomesha
Wengine mmetelekeza mpaka wazazi wenu lakini mnalea mabao ya wanaume wenzenu.

Muulize mama yako mzazi kama anafurahia wewe kuoa single mother ndio utaelewa kuwa tunazungumzia uhalisia na nyie simp mnatumia hisia za mapenzi kuliko akili
😂😂😂😂 Kijana utaweza kuusaidia ukoo wako mzima??
Hizi akili unazotumia hapa ni za kihisia zaidi na sio akili za kiume..

Mpaka unaamua kumsomesha means uwezo unao na haikupunguzii kitu.

Na mimi sioi ili kumfurahisha mama, unaona hizi akili zenu ninyi watu. Mnaangalia nani atanionaje, nani atasema nini na sio mimi/wewe unataka nini!!
Sasa hata kujua mke yupi anafaa yupi hafai hadi umefika umri huo ni mpaka umuulize mama, utaoa kweli mzee!!

Kwa akili hizo sio single maza tu hata hao wasomi mnaowadiss daily huwawezi. Changamkia mabekitatu, hao wengine tuachie sisi watata.
 
Hapo namba 3 feminism pia inasababisha iyo circle kuendelea. Feminist wamewaaminisha mabinti wadogo kwamba wanalingana na mwanaume kwenye kila kitu. Kumbe huku field mambo ni tofauti na nature haitambui izo mbaga za 50/50 na feminism. Mwanamke akijiweka kwenye wrong place at wrong time nature itambamiza tu.
Right kabisa.
 
Mzee wangu ashawapiga tafu stranges kibao tu, hata mimi sitohofu kumpiga tafu mtoto wa mtu hata kama dingi yake yupo hai(kama nina hiyo nafasi na huo uwezo)..

Baba ni malezi.
Hapa unatafuta sababu ya kuhalalisha usimp wako. Hakuna ndugu zako wanahitaji kupigwa tafu mpaka ukampige tafu mtoto wa single maza. You're just simping for the reward of pvssy, you're pvssy driven hakuna cha kupiga tafu wala nini hapa. You are a man not a boy, think by using your head not your dick.
 
😂😂😂😂 Kijana utaweza kuusaidia ukoo wako mzima??
Hizi akili unazotumia hapa ni za kihisia zaidi na sio akili za kiume..

Mpaka unaamua kumsomesha means uwezo unao na haikupunguzii kitu.

Na mimi sioi ili kumfurahisha mama, unaona hizi akili zenu ninyi watu. Mnaangalia nani atanionaje, nani atasema nini na sio mimi/wewe unataka nini!!
Sasa hata kujua mke yupi anafaa yupi hafai hadi umefika umri huo ni mpaka umuulize mama, utaoa kweli mzee!!

Kwa akili hizo sio single maza tu hata hao wasomi mnaowadiss daily huwawezi. Changamkia mabekitatu, hao wengine tuachie sisi watata.
Uyo mtoto wa single maza hana mjomba, shangazi, babu n.k mpaka wewe uingilie kati?

Embu tu-switch upande wewe una mtoto, hauna kazi(kama unayo haitoshelezi mahitaji yako na mtoto), kwa kifupi bado unataabika kimaisha. Halafu uyo single maza ambae unam-sponser yeye na mtoto ake ndio mambo yake yapo vizuri, unafikiri angekupokea na shida zako na kumsaidia mtoto wako?

Inasikitisha sana kuona tupo kwenye kizazi cha wanaume ambao mmezidiwa akili na wanawake. Again, think by using your head not your dick.
 
Uyo mtoto wa single maza hana mjomba, shangazi, babu n.k mpaka wewe uingilie kati?

Embu tu-switch upande wewe una mtoto, hauna kazi(kama unayo haitoshelezi mahitaji yako na mtoto), kwa kifupi bado unataabika kimaisha. Halafu uyo single maza ambae unam-sponser yeye na mtoto ake ndio mambo yake yapo vizuri, unafikiri angekupokea na shida zako na kumsaidia mtoto wako?

Inasikitisha sana kuona tupo kwenye kizazi cha wanaume ambao mmezidiwa akili na wanawake. Again, think by using your head not your dick.
Hata kama sina mtoto niko mwenyewe na niko na hali ngumu sidhani kama mwanamke anaweza kunisaidia achilia mbali niwe na mtoto kabisa.

Jinsia Ke kuish na Me ambae ni apechealolo yaani Ke ndie awe provider kwao ni ngumu mno, miezi michache mbele utachapiwa na dharau zitakua nyingi. Sasa ndo uje na mwanao ati mwanamke ndio akulelee mwanao basi utakua na wazimu, hawanaga hiyo hao.

Mkuu wewe ni mdau wa 50/50??
 
Hapa unatafuta sababu ya kuhalalisha usimp wako. Hakuna ndugu zako wanahitaji kupigwa tafu mpaka ukampige tafu mtoto wa single maza. You're just simping for the reward of pvssy, you're pvssy driven hakuna cha kupiga tafu wala nini hapa. You are a man not a boy, think by using your head not your dick.
Punguza jazba mjomba, ndivyo dunia ilivyo.
Huyo singo maza nikimuoa anakua mke wangu, wa ubani, mbavu yangu ya kushoto, msiri wangu na mengine mengi.
Sasa niache kumsaidia huyu ati kisa mtoto wa binamu yake mjomba ana shida fulani?

Imagine huyo single maza kanizalia wana, niache kumpiga tafu kwa dogo lake moja ilhali wote ni watoto tu.

Kama nilivyokwisha kuandika awali, kama uwezo wako ni wa ngama kama wangu huwezi toa chochote na ni kheri uache, lakini kama uwezo unao toa tu.

Usimp haupimwi kwa maandishi bali vitendo, ukatili na roho mbaya ya kibandidu sio ishara ya kua wewe ndio mwanaume bora, matendo ya huruma, misaada na upendo sio ishara ya usimp, usichanganye hayo.
 
Back
Top Bottom