Naby Keita
JF-Expert Member
- Oct 20, 2011
- 12,893
- 20,089
Raisi na huyu wa sasa kaenda na mashoga wangapi,,,,,,Netanyahu aje tu atangulie hata na mashoga wa huku kwanza na inajulikana wako ukanda upiWakati anatangulizwa atakua anasindikizwa na mashoga zaidi ya miamoja ambao nao watakua wametangulia kwa baba.
Warumi waliwapiga chenga la macho wampiganie kamanda wao baadae wao wale bata sistine chapelYes, Jibu ninalo. Mtashangaa sana mtakapofika huko na kukuta kumbe hakuna cha mabikra wala mito ya pombe mtahuzunika sana.
Wasafi classic anakuja......huyu hawajamfanyia Installation ya pdidy operating system kweli
Ingekua vema ungesema Hashim ameingizwa katika orodha ya watu watakaouawa na mazayuni.Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Unaelewa kweli kingereza?
View: https://x.com/Osint613/status/1840107032583479641
Kuna taarifa zinasema ameshaliwa kichwa if so, basi anayewauza Hezbollah ni serikali ya Lebanon
Kufa unaogopa wewe na hao wazayuni. Watu washajitolea kufa kwajili ya kupigania Haki.Ingekua vema ungesema Hashim ameingizwa katika orodha ya watu watakaouawa na mazayuni.
Huyu hana hata miezi 2 atamfuata kiongozi wao!
Tayari wameshakula kichwa πππKabla ya Christmas nae atakuwa pamoja na Haniye & Nasrallah
πππ mtangazeni marehemu kuiongoza Hezbollah!.β‘οΈHivi karibuni Hezbollah inaweza kumtangaza Hashem Safieddine kama Katibu Mkuu, akimrithi Nasrallah, NYT inaripoti.
Hashem Safieddine ni mtu mashuhuri ndani ya Hezbollah, kwa sasa anahudumu kama mkuu wa Halmashauri Kuu ya kikundi.
Yeye pia ni binamu wa Hassan Nasrallah.
Ana uhusiano wa karibu na Iran na uhusiano wa kifamiliaβmtoto wake wa kiume ameoa binti ya Qassem Soleimani, kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Iran.
Tuuuiu sasa his record duniaa khaaaaa
R.I.H in Advance!
Mpaka anaondoka atakua kashakula vichwa vya kutosha.
Hivi ni kweli huyo Nasirala mayahudi yamemuua?Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Hapana, kama ameuliwa watuonyeshe maiti na mazishi yake !Hivi ni kweli huyo Nasirala mayahudi yamemuua?
Umeongea kwa tafakuri ya kusikitisha sana.Wameshaamua kusimamia wanachokiamini, kufa kwao sio issue tena, kifupi wamechagua kufa.
Uwepo wao hao wanaoitwa magaidi tafsiri yake amani kwa Israeli haiwezi kuwepo maana magaidi Kila leo wanatafuta mbinu yakusurvive na kutimiza azma zao.
Duniani sio kila mtu ni mjinga kama sisi wengine tulivyoamua kuwa wajinga, Dunia zipo jamii au watu wasiokubali kunyanyaswa, inapofika suala la kunyanyaswa basi wao huchagua kifo.
Nyuma ya Israel kuna USA, UK na allies wengine wenye nguvu lakini nyuma ya masikini wa Palestina wamesimama wanyonge wasio na nguvu Iran, Hamas na Hizbollah lakini pamoja na unyonge wao wameamua kutochagua kupiga magoti au kuinama bali wamechagua kufia wanachokiamini.
Siku tukitaka balance of power, basi tuhakikishe Palestina wanakuwa na utawala wao, jeshi lao, na uhuru wakununua silaha, technolojia nk Kwa wakati wowote watakao kama Israeli, Iran pia asiwekewe vikwazo aachwe afanye anavyoona inafaa kama adui yake Israeli ili kuwe na balance of power halafu tuseme sasa Israeli kidume na sio style ya kuwafunga mikono wengine mikono na kumuacha Israeli atambe.
hiyo ni vita, kuna kupiga na kupigwa, ndio maana inaitwa vita. ila cha kuelewa ni kwamba, the entire hezbollah leadership command. kafuta wote kabisa, na hao waliobaki ni panya tu.Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.