Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Hashim Safi Al din kumrithi Hassan Nasrallah kuiongoza Hezbollah. Mapambano yanaendelea

Wakati anatangulizwa atakua anasindikizwa na mashoga zaidi ya miamoja ambao nao watakua wametangulia kwa baba.
Raisi na huyu wa sasa kaenda na mashoga wangapi,,,,,,Netanyahu aje tu atangulie hata na mashoga wa huku kwanza na inajulikana wako ukanda upi
 
Yes, Jibu ninalo. Mtashangaa sana mtakapofika huko na kukuta kumbe hakuna cha mabikra wala mito ya pombe mtahuzunika sana.
Warumi waliwapiga chenga la macho wampiganie kamanda wao baadae wao wale bata sistine chapel
 
🚨
Breaking: Israel eliminated Hassan Khalil Yassin, who replaced Hassan Nasrallah hours ago.This breaks the Guinness world record for the shortest tenure as the head of a terrorist organization.
 
Wasafi classic anakuja......huyu hawajamfanyia Installation ya pdidy operating system kweli
🚨
Breaking: Israel eliminated Hassan Khalil Yassin, who replaced Hassan Nasrallah hours ago.This breaks the Guinness world record for the shortest tenure as the head of a terrorist organization.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Ingekua vema ungesema Hashim ameingizwa katika orodha ya watu watakaouawa na mazayuni.
 
⚡️Hivi karibuni Hezbollah inaweza kumtangaza Hashem Safieddine kama Katibu Mkuu, akimrithi Nasrallah, NYT inaripoti.

Hashem Safieddine ni mtu mashuhuri ndani ya Hezbollah, kwa sasa anahudumu kama mkuu wa Halmashauri Kuu ya kikundi.

Yeye pia ni binamu wa Hassan Nasrallah.

Ana uhusiano wa karibu na Iran na uhusiano wa kifamilia—mtoto wake wa kiume ameoa binti ya Qassem Soleimani, kamanda wa zamani wa Kikosi cha Quds cha Iran.
😃😃😃 mtangazeni marehemu kuiongoza Hezbollah!.

R.I.H Hashim
 
Wameshaamua kusimamia wanachokiamini, kufa kwao sio issue tena, kifupi wamechagua kufa.

Uwepo wao hao wanaoitwa magaidi tafsiri yake amani kwa Israeli haiwezi kuwepo maana magaidi Kila leo wanatafuta mbinu yakusurvive na kutimiza azma zao.

Duniani sio kila mtu ni mjinga kama sisi wengine tulivyoamua kuwa wajinga, Dunia zipo jamii au watu wasiokubali kunyanyaswa, inapofika suala la kunyanyaswa basi wao huchagua kifo.

Nyuma ya Israel kuna USA, UK na allies wengine wenye nguvu lakini nyuma ya masikini wa Palestina wamesimama wanyonge wasio na nguvu Iran, Hamas na Hizbollah lakini pamoja na unyonge wao wameamua kutochagua kupiga magoti au kuinama bali wamechagua kufia wanachokiamini.

Siku tukitaka balance of power, basi tuhakikishe Palestina wanakuwa na utawala wao, jeshi lao, na uhuru wakununua silaha, technolojia nk Kwa wakati wowote watakao kama Israeli, Iran pia asiwekewe vikwazo aachwe afanye anavyoona inafaa kama adui yake Israeli ili kuwe na balance of power halafu tuseme sasa Israeli kidume na sio style ya kuwafunga mikono wengine mikono na kumuacha Israeli atambe.
 
Katika taarifa iliyotolewa hivi punde kutoka vyanzo nchini Iran Hashim anatajwa kuwa tayari jina lake limethibitishwa na shura ya maulamaa kama mrithi wa Hassan Nasrallah. Muda wowote atatangazwa. Huyu ni second in command. Hezbollah hawapoi ni bandika bandua.
View attachment 3109630
NB. Hii nafasi Kila member wa Hezbollah alikuwa anaomba Mungu amsaidie aweze kuipata.
Hivi ni kweli huyo Nasirala mayahudi yamemuua?
 
Wameshaamua kusimamia wanachokiamini, kufa kwao sio issue tena, kifupi wamechagua kufa.

Uwepo wao hao wanaoitwa magaidi tafsiri yake amani kwa Israeli haiwezi kuwepo maana magaidi Kila leo wanatafuta mbinu yakusurvive na kutimiza azma zao.

Duniani sio kila mtu ni mjinga kama sisi wengine tulivyoamua kuwa wajinga, Dunia zipo jamii au watu wasiokubali kunyanyaswa, inapofika suala la kunyanyaswa basi wao huchagua kifo.

Nyuma ya Israel kuna USA, UK na allies wengine wenye nguvu lakini nyuma ya masikini wa Palestina wamesimama wanyonge wasio na nguvu Iran, Hamas na Hizbollah lakini pamoja na unyonge wao wameamua kutochagua kupiga magoti au kuinama bali wamechagua kufia wanachokiamini.

Siku tukitaka balance of power, basi tuhakikishe Palestina wanakuwa na utawala wao, jeshi lao, na uhuru wakununua silaha, technolojia nk Kwa wakati wowote watakao kama Israeli, Iran pia asiwekewe vikwazo aachwe afanye anavyoona inafaa kama adui yake Israeli ili kuwe na balance of power halafu tuseme sasa Israeli kidume na sio style ya kuwafunga mikono wengine mikono na kumuacha Israeli atambe.
Umeongea kwa tafakuri ya kusikitisha sana.

Unachomaanisha ni kwamba Hamas, Hezbola na Iran wapo kuwasaidia Palestina wanaonyanyaswa.

Swali la kujiuliza,

Ni kweli Palestina wananyanyaswa?
Ni nani alieanza kumchokoza mwenzie kwny vita vya gaza?

Nani alikuwa mchokozi dhidi ya hamas na sasa dhidi ya hezbolaa?

Mtu unaweza kusema unachagua kufa kuliko kunyanyaswa kumbe ni wewe mwenyewe unatafuta sababu maksudi, ili yapatikane mapigano ufe, kwa kuwa unaamini kufa ni thawabu.
 
Hezbollah Huwa hawafichi taarifa .hii wametangaza wenyewe official tofauti na Israel Leo asubuhi kapigwa ballistic missiles Tel Aviv kazuia media zisitowe taarifa.
hiyo ni vita, kuna kupiga na kupigwa, ndio maana inaitwa vita. ila cha kuelewa ni kwamba, the entire hezbollah leadership command. kafuta wote kabisa, na hao waliobaki ni panya tu.
GYkIBqlXUAApQf1.jpeg
 
Back
Top Bottom