Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Acha Kuvitetea hivi 'Vibabu' Mbowe na Rungwe..... yaani Watu tupo shule za Sekondari vyenyewe vipo kwenye nafasi Ya Mwenyekiti..! Tukapiga hatua Vyuo bado vipo Palepale...!

Tumebangaliza Wee mtaani na bahasha Za Vyeti kutafuta kazi hapa na pale na Sasa Tupo sehemu tunapiga Mzigo..!

Kutahamaki Bado hivi Vizee Vipo pale pale..! Hivi Katiba Zao huko Zinasemaje jama.?
Madai ya Katiba mpya ni Bora Yangeanzia ndani Ya Vyama..!

Haiwezekani Wewe uwe na Kiongozi tena nafasi M/kiti hujui Ukomo wa Nafasi Hiyo ni lini...? Watu wanapokezana vijiti Yeye Kavimba tu...!
Uliza nini Kimefanyika nitiririke kile ambacho tangu Uhuru watangulizi Walijitahidi kufanya wakapata changamoto ya Panya buku.....
Povu likishapoa yafaa ujibu hoja kwa kutuwekeae kapicha japo kamoja ka kiwanda
 
Amesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.

Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.

Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!

Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647

View attachment 2224648
Wakimuonesha kiwanda hata kimoja Hashimu Rungwe nitawaona wana maana sana.
 
Acha Kuvitetea hivi 'Vibabu' Mbowe na Rungwe..... yaani Watu tupo shule za Sekondari vyenyewe vipo kwenye nafasi Ya Mwenyekiti..! Tukapiga hatua Vyuo bado vipo Palepale...!

Tumebangaliza Wee mtaani na bahasha Za Vyeti kutafuta kazi hapa na pale na Sasa Tupo sehemu tunapiga Mzigo..!

Kutahamaki Bado hivi Vizee Vipo pale pale..! Hivi Katiba Zao huko Zinasemaje jama.?
Madai ya Katiba mpya ni Bora Yangeanzia ndani Ya Vyama..!

Haiwezekani Wewe uwe na Kiongozi tena nafasi M/kiti hujui Ukomo wa Nafasi Hiyo ni lini...? Watu wanapokezana vijiti Yeye Kavimba tu...!
Uliza nini Kimefanyika nitiririke kile ambacho tangu Uhuru watangulizi Walijitahidi kufanya wakapata changamoto ya Panya buku.....
Mkuu hili povu lote si ungelitimia kuonyesha kiwanda kimoja tu?
 
Viko wapi ?
Shida nchi hii ina vilaza wengi wa siasa. Ingia google tafuta viwanda vilivyojengwa 2016 - 2018 kwa mkoa wa dsm tu. Usiende pwani na mikoa mingine. Dsm tu. Na nikukumbeshe tu kiwanda cha gsm magodoro ni zao hilo hilo la miaka hiyo.
 
Kuna vitu watu weusi tunatakiwa tujue
Wengi wetu wanapenda maisha Mazuri
Wanashindwa kutambuwa maisha Mazuri uletwa Na maendeleo ya vitu kwanza
Kwasababu vitu ndivyo vitakavyo kufanya upande maendeleo au vitu ndivyo vinaleta maendeleo ya watu
Hivi Kuna faida gani ya kuwa Na mshaara mkubwa uku auna Soko , au barabara?
Alicho kuwa Na kifanya magufuli kwangu nilimpa big Up wa Africa ina bidi tujitese kwanza ili tulete maendeleo ya vitu yaani tubane matumizi
Kwa kutumikisha pesa kiujinga ujinga kupandisha mishaara uku pesa za kujenga hospital tuna zikosa
Maendeleo ya vitu ndo Yana pandisha uchumi wa inch Na kuleta maendeleo ya watu
Miongoni mwa watu walimjaza Hayati ujinga upo kwenye hilo kundi, unaamini katika shida tu kwa kigezo cha kujenga.
Nyinyi ndio mliomkabdhi Magufuli akili zenu mkabaki na mafuvu tu madhara yake mkampa kichwa kuwa ili uendelee ni lazima uwe na shida kubwa na kuwamyima Watumishi wako haki zao za msingi kumbe huo ulazima haupo.
Hoja hii ni ya kijinga mno, hebu fikiria huyo aliyekataa kupandisha mishahara aliajiri watumishi wangapi wa afya au hata walimu? Huyu aliyepandisha mshahara kaajiri Walimu wangapi na wa afya wangapi na je hajajenga madarasa na vituo vya afya?
 
Lete picha za kikwete akizindua mradi wa mabasi ya mwendo kasi! Huyo zungukuku wako hana lolote!,,,,,
Kwani mradi wa mabasi ya mwendokasi ulianza kujengwa lini na nani akiwa serikali? Au hata hiyo terminal 3 ilianza kujengwa lini?
 
Miongoni mwa dhambi kubwa sana CCM wameitenda na Mungu atawaadhibu kwa hili ni kitendo chao cha kutomuambia ukweli Hayati Magufuli.
CCM ni kundi la watu wa motoni kabisa, wakiwa wanajua Mwenzao anapuyanga, na haki za watu kuishi zinadhurumiwa hadharani, wao waliamua kumsifia kwa kila jambo. Miongoni mwa watu wanaostahili adhabu ni Wazir wa viwanda katika utawala wa Hayati, akiwa anajua bado hakuna viwanda, huyu mtu aliamua kusimama hadharani na kuutangazia ulimwengu kuwa tuna viwanda zaid ya 100 kila wilaya...kibaya zaid akashangiliwa ndani ya Bunge tukufu.
Lala salama Magufuli, ulipata bahati mbaya sana ya kuishi na kundi la wanafiki na wewe ukashindwa kugundua mapema.
Mim siwezi kumlaumu Hayati hata kwa bahati mbaya kwakuwa hawezi kunijibu, ila hawa wahuni walioko hai Mungu aingilie kati tu kama aliyofanya kwa wale wa kabla yetu.
 
Kwani Magufuri ndiye alikuwa anajenga hivo viwanda?au yeye alikuwa akiamashisha wawekezaji wawekeze ktk ujenzi wa viwanda,kitu ambacho alifanikiwa ingawa ameacha havijaanza kufanya kazi
Kwa hiyo miaka 6 alihamasisha vikajengwa 3? 😆😆😆😆

Mbona mama kahamasisha na Sasa kuna ma mia ya viwanda yanajengwa? Mtu wenu alikuwa dishi yule👇

Screenshot_20220327-172335.png


Screenshot_20220513-160416.png


Screenshot_20220513-104418.png
 
Amesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.

Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.

Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!

Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647

View attachment 2224648
Ahsante mzee Rungwe, yaani tulikuwa mazoba kweli. Viwanda vinafunguliwa mara mbili mbili. Tumeona viwanda alivyofungua Kikwete vinafunguliwa tena. Kweli tuonyesheni viwanda vilivyojengwa na Magufuli
 
Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.

Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
Jjbu hoja za mzee rungwe Acha kupuyanga.
 
Back
Top Bottom