Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

Hashimu Rungwe: Magufuli alikuwa anaimba viwanda lakini hakujenga hata kimoja

..
Kwaio kile kiwanda cha ngozi cha magereza kule kwa shemeji zangu Moshi alijenga Rungwe?
Kiwanda cha Sare za Jeshi kurasini, kiwanda cha maji JKT?
Na hivi vyote vinafanya production.
Km hamna taarifa ni bora mue mnakaa kimya.
1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
Kiwanda cha viatu cha Gereza Kuu Karanga, Moshi kilizinduliwa rasmi Juni 3, 1977 na Rais wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu, Julius Kambrage Nyerere.
SOURCE: Boya hapa.
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
Maji yanazalishwa na SUMA JKT kampuni ambayo ipo kabla hujatoka Kolomije na kuingia mjini!!
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Kipo sehemu gani

Nimesoma uzi wote lakini huu ujumbe kenge wa bluu "vyeti feki, watumbuliwa kazi na mafisadi waliokuwa wamezibiwa mianya ya madili na Mwamba JPM" wameupita kama vile vipofu
emoji23.png
emoji28.png
Sijaupita, kwahiyo acheni uongo!
 
1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Au navyo vimeletwa wakati wa Mama!!
Kwa nini kwenye kampeni awamu ya pili wimbo wa Tanzania ya viwanda ulikufa? Uliwahi msikia Jiwe akijinadi kwa viwanda?

Kwa miaka 6 alijenga viwanda 3 tuu sio? 😂😂
 
1.Kiwanda cha viatu cha Magereza Kilimanjaro
KAMISHNA Jenerali wa Magereza nchini, Phaustine Kasike ameridhishwa na maboresho yanayoendelea ya usimikaji wa mashine mpya katika Kiwanda cha zamani cha viatu cha Gereza Kuu Karanga Moshi. Kiwanda cha viatu cha Gereza Kuu Karanga, Moshi kilizinduliwa rasmi Juni 3, 1977 na Rais wa awamu ya kwanza wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati Baba wa Taifa Mwalimu, Julius Kambrage Nyerere.
SOURCE: Boya hapa.
2.Kiwanda Cha maji ya kunywa cha JKT
Maji yanazalishwa na SUMA JKT kampuni ambayo ipo kabla hujatoka Ngudu na kuingia mjini!!
3.Kiwanda cha dawa za viatu cha Kangaroo (Bagamoyo)
Kipo sehemu gani
 
Mtu yuko huko mpwapwa atajua kuwa mkoa wa pwani kuna viwanda vingi sana vingi vimejengwa wakati wa JPM wanakalia sasa uchwara za huyo babu!

Tuliwahi kuomba sana picha ya hivyo viwanda wakati ukiwa jela. Hakuna picha hadi ulivyotoka jela sasa, tukasema Dar haina viwanda 1,000+ lakini vinafahamika, inakuwaje hivyo vinavyozidi 1,000 havionekani?! Kutetea legacy ni kutaka kuabika tu, kwakuwa ww upo lete picha ya viwanda na mahali vilipo hapo Pwani tufanye royal tour ya kuona hivyo viwanda.
 
Acha uongo!, JPM alikuwa chuma haswa!, ili ujue alikuwa na akili sana yule mtu! Kwani mama alikuwa ziarani Tanga kipindi JPM anafari, viwanda alivyokuwa anafungua vilijengwa na huyo Rungwe?
Ila asiadae watu, wizara ya viwanda BRELA na taasisi zote zinazohusika na viwanda akatembelee huko watampa takwimu

Kwani ili kujua kuna simba na yanga ni lazima uende TFF upewe taarifa? Hivyo viwanda viko sehemu ya siri?
 
Asante Mungu unatupenda watanzania kutuondolea wasiojulikana na kutuondolea bosi wao[emoji120]
 
Dah...Kwa Umri Wake Yule Mzee hakika ilikuwa ndo awe Mfano wa Wapinzani Makini, Lkn Kila nikimwangalia Sioni Uwakilishi Wa Upinzani makini...!

Nadhani hata Yeye Mwenyewe Kajiweka Kundi La Upinzani Wa jokes ndo Mana Kwenye Kampeni zake Alikuwa anatembea na MAHOTIPOTI Ya Ubwabwa.

Yawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
Rungwe hakusema kwenye utawala wa magufuli hakuna kilichofanyika bali amesema hakuna kiwanda kilichojengwa
 
Huyo mzee Anazeeka,hata sisi Sote Tutazeeka isipokuwa yeye Anazeeka Vibaya..!

Anayo sifa Ya Kung'ang'ania Nafasi Kama Rafiki Yake Mbowe...... Hivi mmeshamuuliza 2025 Atagombania tena Uraisi na Zile Sera Zake Za 'Ubwabwa'..
Weka basi angalau picha ya kiwanda kimoja.
 
Huyu mwamba mbona lawama kama zote, alipwaya wapi
Jiwe baada ya kuona limeshindwa kujenga kiwanda hata kimoja. Likaja na usanii wa kuzindua viwanda ambavyo vipo vinaoparate. Awamu ya tano imeiludisha sana nchi nyuma
 
Kwa nini kwenye kampeni awamu ya pili wimbo wa Tanzania ya viwanda ulikufa? Uliwahi msikia Jiwe akijinadi kwa viwanda?

Kwa miaka 6 alijenga viwanda 3 tuu sio? 😂😂
Kwani Magufuri ndiye alikuwa anajenga hivo viwanda?au yeye alikuwa akiamashisha wawekezaji wawekeze ktk ujenzi wa viwanda,kitu ambacho alifanikiwa ingawa ameacha havijaanza kufanya kazi
 
Back
Top Bottom