HEKIMA KWANZA
JF-Expert Member
- Mar 31, 2015
- 2,942
- 3,937
Desparate!Amesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
Mtu anaomba kura kupitia ubwabwa uadhani anayo akili huyo.
#MaendeleoHayanaChama
Mzee Rungwe ana IQ kubwa sana pengine kuliko hata ukoo au familia yako ..hebu jibu hoja zake achana na personal attack..!Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
Tuoneshe kiwanda alichojenga Magufuli. Vinginevyo huna uhalali wa kumnanga mzee Hashimu RungweYawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
CHAUMA Hoyee!Dah...Kwa Umri Wake Yule Mzee hakika ilikuwa ndo awe Mfano wa Wapinzani Makini, Lkn Kila nikimwangalia Sioni Uwakilishi Wa Upinzani makini...!
Nadhani hata Yeye Mwenyewe Kajiweka Kundi La Upinzani Wa jokes ndo Mana Kwenye Kampeni zake Alikuwa anatembea na MAHOTIPOTI Ya Ubwabwa.
Yawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
Sasa umechangia nini juu ya hoja ya Rungwe? Kwa uchangiaji huu, isije ikawa wewe hata wanao wataona shida kukuita Baba.Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
Mzee wa UbwabwaAmesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
Tuoneshe kiwanda alichojenga Magufuli. Vinginevyo huna uhalali wa kumnanga mzee Hashimu Rungwe
Kafa hadi rahaWewe uliyefaulu umejenga viwanda vingapi kaka poa?
Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?Mzee Rungwe ana IQ kubwa sana pengine hata ukoo au familia yako yako..hebu jibu hoja zake achana na personal attack..!
Itakuwa Babu Magu.Babu Magu au Babu Rungwe??!!
Wewe ndiyo mpumbavu kama hukubaliani na anayosema Hashim RungweRungwe ni sehemu tu ya wazee wengi wapumbavu ktk nchi yetu. Apuuuzwe.
Hapo ndo umejibu hoja ya mzee? Onyesha kiwanda alichojenga Magufuli.Huyo mzee Anazeeka,hata sisi Sote Tutazeeka isipokuwa yeye Anazeeka Vibaya..!
Anayo sifa Ya Kung'ang'ania Nafasi Kama Rafiki Yake Mbowe...... Hivi mmeshamuuliza 2025 Atagombania tena Uraisi na Zile Sera Zake Za 'Ubwabwa'..
Sisi tunazungumza uongo wa magufuli aliyetawala kwa miaka mitano bila viwanda alivyokuwa akivitaja kila kukicha lakini utekelezaji zero. Mama mwaka mmoja ajira tele,mishahara juu, mikopo elimu ya juu nafuu na wanufaika wameongezeka maradufu, maelfu yΓ€ wafanyakazi wamepandishwa madaraja, mambo yΓ€ kpatana kiasi Cha kulipa ili kesi ifutwe na mkurugenzi wa mashtaka hakuna tena kitu hicho, mabenki yalikuwa taabani hayakuwa na fedha za kukopesha, basi yote hayo hamuoni kwamba nchi Sasa iko kwenye mikono salama bado tu mnamtaja Mtu ambaye alitutoa kabisa kwenye reli.Sawa serikali ya samia itajenga na kuzalisha ajira mamilioni
Acha uwongo. Hicho kiwanda kilijengwa na serikali? Kinaitwaje?Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Taja jina la kiwanda na bidhaa zinazotengenezwa hapo!!Mwaka 2018 tarehe 02 mei Hayati Magufuli alifungua kiwanda kikubwa Sana kule Iringa na siku hiyo nilikuwepo ,nimekupa mfano hai kabisa. Haya huyo Babu anaposema uongo anamaanisha nini?
Uchumi wa kati ya makalio?Lakini Tanzania iliingia uchumi wa kati
Yule jamaa yenu hakuna mtu mwenye akili timamu hata mmja anamsemea vizuri ππππAmesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647
View attachment 2224648
Tena Sana au unataka tukuoneshe?Sawa serikali ya samia itajenga na kuzalisha ajira mamilioni
Legacy ziiiiiiiiiiio III!!!!!!!Yule jamaa yenu hakuna mtu mwenye akili timamu hata mmja anamsemea vizuri ππππ