Omusolopogasi
JF-Expert Member
- Aug 31, 2017
- 7,101
- 18,051
Mi nafikiri kwa "busara yako kubwa", ungemjibu Mzee Rungwe kwa kutaja viwanda alivyojenga Magufuli katika miaka yake 5. Badala yake unatoa lawama ambazo hazina msingi. Jibu hoja kwa hoja, siyo porojo.
Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake