Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 22,719
- 40,739
Mzee Rungwe ni Wakili Msomi sio kama yule fascist tapeli,muuaji aliekufa na PhD fake ya maganda ya korosho.Akili timamu ni za Rungwe kweli? Tusiabishe watu wenye akili timamu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mzee Rungwe ni Wakili Msomi sio kama yule fascist tapeli,muuaji aliekufa na PhD fake ya maganda ya korosho.Akili timamu ni za Rungwe kweli? Tusiabishe watu wenye akili timamu
Kafa na PhD fake kwa kuendekeza tiba fake ya kujifukizaaliekufa na PhD fake y
Issue ni kutaja hata kiwanda kimoja, ndiyo tutajua tatizo la Rungwe kama ni umri au upinzani wa hovyo! Kaeleza jambo rahisi sana kulithibitisha.Dah...Kwa Umri Wake Yule Mzee hakika ilikuwa ndo awe Mfano wa Wapinzani Makini, Lkn Kila nikimwangalia Sioni Uwakilishi Wa Upinzani makini...!
Nadhani hata Yeye Mwenyewe Kajiweka Kundi La Upinzani Wa jokes ndo Mana Kwenye Kampeni zake Alikuwa anatembea na MAHOTIPOTI Ya Ubwabwa.
Yawezekana Hakuna Kiwanda Kilichokamilika...Lkn ni Kweli Vyote vilivyokuwepo kwenye Ilani ya chama Hakuna kilichokamilika...!
Ipo haja Kuomba Mungu wakati Unazeeka Uzeeke Vizuri.
TISS amejaza WASUKUMA balaa, nasikia ilifika kipindi akikutana nao ikulu wanaongea kilugha chao. Yaani mama asafishe hizo idara ziwe kama zamani.Kweli kabisa, alisimamisha ajira kwa miaka sita, lakini rekodi zinaonyesha alikuwa anajaza watu wa Chato katika usalama(bila shaka mama atawaondoa) na nafasi nyeti serikali.
Tulikuwa na mtu wa hovyo sana
Sana mkuu #kazi iendeleeSisi tunazungumza uongo wa magufuli aliyetawala kwa miaka mitano bila viwanda alivyokuwa akivitaja kila kukicha lakini utekelezaji zero. Mama mwaka mmoja ajira tele,mishahara juu, mikopo elimu ya juu nafuu na wanufaika wameongezeka maradufu, maelfu yä wafanyakazi wamepandishwa madaraja, mambo yä kpatana kiasi Cha kulipa ili kesi ifutwe na mkurugenzi wa mashtaka hakuna tena kitu hicho, mabenki yalikuwa taabani hayakuwa na fedha za kukopesha, basi yote hayo hamuoni kwamba nchi Sasa iko kwenye mikono salama bado tu mnamtaja Mtu ambaye alitutoa kabisa kwenye reli.
Nawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake
1.Kiwanda cha viatu cha Magereza KilimanjaroTaja jina la kiwanda na bidhaa zinazotengenezwa hapo!!
Lakini Tanzania iliingia uchumi wa kati
Na cha mshikishwa ukuta tundu lisu kikifika mtafanyaje?Tunashukuru kifo cha dikteta shetani magufuli.
Clip please tuwekee, hii kitu muhimu sanaAmesema anaomba aoneshwe hata kiwanda kimoja kilichojengwa na serikali ya Magufuli.
Amesema utawala wake ndiyo umesababisha ukame wa ajira kwa vijana mpk kuibuka kwa panyaroad.
Legacy kwisha! Kwisha kabisaaaa!
Chanzo: Hashimu Rungwe anahojiwa startv muda huu.
View attachment 2224647
View attachment 2224648
Wewe hauaminiki unaloliandika JFKweli kabisa, alisimamisha ajira kwa miaka sita, lakini rekodi zinaonyesha alikuwa anajaza watu wa Chato katika usalama(bila shaka mama atawaondoa) na nafasi nyeti serikali.
Viongozi wetu wanapenda kwenda Ulaya kushangaa tu maghorofa yaliyojengwa na mababu wa hao jamaa waliotuibia miongo kwa miongo.Kuna vitu watu weusi tunatakiwa tujue
Wengi wetu wanapenda maisha Mazuri
Wanashindwa kutambuwa maisha Mazuri uletwa Na maendeleo ya vitu kwanza
Kwasababu vitu ndivyo vitakavyo kufanya upande maendeleo au vitu ndivyo vinaleta maendeleo ya watu
Hivi Kuna faida gani ya kuwa Na mshaara mkubwa uku auna Soko , au barabara?
Alicho kuwa Na kifanya magufuli kwangu nilimpa big Up wa Africa ina bidi tujitese kwanza ili tulete maendeleo ya vitu yaani tubane matumizi
Kwa kutumikisha pesa kiujinga ujinga kupandisha mishaara uku pesa za kujenga hospital tuna zikosa
Maendeleo ya vitu ndo Yana pandisha uchumi wa inch Na kuleta maendeleo ya watu
Stupid, Nasema ukweli. Huyu atakumbukwa kwa kusema ukweli. Akina. Mdude wangeandika haya yote na yatazidi kuandikwa zaidi kuhusu mauaji yaliyofanywa na JiweNawasikitikia Sana wajukuu zake maana kumuita Babu mtu kama huyu ni aibu, ninachojua mpaka mtu astahili kuitwa Babu anatakiwa kuonesha kiwango cha hekima na busara kisichotiliwa shaka.
Mzee Rungwe leo kadhalilisha wazee wenye rika Kama lake bora angekaa kimya tusingejua uzee wake