babukijana
JF-Expert Member
- Jul 21, 2009
- 14,478
- 18,341
Huyo ni mwehu tu kashiba biriyani ya Eid kafanya hayo mambo.
Nia ni kupewa hifadhi ya kikimbizi na wanae 10.
Nia ni kupewa hifadhi ya kikimbizi na wanae 10.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa hawa ndugu zetu sijui shida iko wapi!?? Na usikute jamaa hakuchukua cha mtu wala sio cha msikitini bali katafuta huko na kuamua kukichana watu wanalipuka kwa hasirawakichoma si unaenda kuchapisha kingine, simple. unaumia nini?
quran si mali ya mtu yeye ni mtunzaji kuna anayeimilik ndo mana ikiaribiwa watu wana react sanaKwanini Mahakama imkataze kama hiyo quran ni mali yake anayoimiliki kihalali baada ya kununua kwa hela zake?
Inashangaza saanahivi icho kitabu kikichomwa huwa wanaumia nini?
Wanathemaha huwa hakiwaki ,kwa thababu kimetelemshwahivi icho kitabu kikichomwa huwa wanaumia nini?
Inashangaza ila huko mbele watajiona kuwa walikuwa hawatumii akiliZamani walikuwa wanasema ukichoma sijui inabadilika kuwa kitu gani sijui eti kwa sababu kimeshushwa
Kikiwa chini ya possession yake ni mali yake.quran si mali ya mtu yeye ni mtunzaji kuna anayeimilik ndo mana ikiaribiwa watu wana react sana
Na hakuna litakalotokea,labda hao watu baki waamue "kumsaidia Allah"Ametaka onesha kuwa hakuna linaloweza tokea.
Hili swala wanatakiwa wawe wapole tu, Mungu mwenyewe anajua jinsi alivyolichukulia.Na hakuna litakalotokea,labda hao watu baki waamue "kumsaidia Allah"
Mmh sijaona mtu akienda mbele ya kanisa na kuchoma moto Bible. Tuseme ukweli tuna waprovoke waislamu kwa makusudi. Hivi kila mtu akiheshimu dini ya mwengine kuna shida gani?Ni muda sasa umefika wawaache wafanye watakavyo soon watachoka kuichokonoa dini ya watu. Biblia tele zinachanwa na kuchomwa moto na watu hawapigi kelele mpaka wachanaji wanajiona wajinga
Allah bila ya kupigwa jeki na waumini wake ni mwepesi zaidi ya pambaHili swala wanatakiwa wawe wapole tu, Mungu mwenyewe anajua jinsi alivyolichukulia.
Afu tatizo ni kuwa wao wanaidharau biblia wanategemea kitabu chao kitapendwa
Waislamu wanapenda kulialia mno,Biblia Kila siku zinachomwa and nobody gives a damnMmh sijaona mtu akienda mbele ya kanisa na kuchoma moto Bible. Tuseme ukweli tuna waprovoke waislamu kwa makusudi. Hivi kila mtu akiheshimu dini ya mwengine kuna shida gani?
Mbona hawachomi sasa au sisi tunaogopwa?Hicho si kitabu tuu, wanaweza print kingine . Huwezi ona huu upuuzi kwenye ukristo hata wachome bible mia huwezi ona kelele hizi.
Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kila siku zinachomwa wapi? Weka mfano binafsi nachukulia kama ni vitendo vya dharau na uchokozi tu kwanini usiheshimu dini ya mwenzako ? Christianity in a bad imageWaislamu wanapenda kulialia mno,Biblia Kila siku zinachomwa and nobody gives a damn
Wanajua Mungu wetu hayuko kwenye kitabu, na wala hataki tumpiganie maana ana Nguvu za kujitetea yeye.Mbona hawachomi sasa au sisi tunaogopwa?