Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Hasira baada ya Quran kuchomwa nje ya msikiti Sweden

Hicho si kitabu tuu, wanaweza print kingine . Huwezi ona huu upuuzi kwenye ukristo hata wachome bible mia huwezi ona kelele hizi.

Sent from my Pixel 3a using JamiiForums mobile app
Kupiga kelele na kutokupiga kelele inategemea unavyo VALUE hicho kitu...
Na ili u-value inategemea umuhimu wa hicho kitu ktk maisha.
Thamani ya QURAN kwa muislamu ni tofauti kabisa kwa thamani ya Biblia kwa mkristo..

Nadhani yaweza kuwa ngumu kuelewa ninachosema unless kwa mtu anayeisoma na kuikubali QURAN...kwa hiyo sio sahihi kulinganisha hivi vitu viwili ktk hisia za wahusika...

Ni kama ilivyo nyumba pia za ibada.

Kupuuzia vinapoharibiwa hivyo vitu 2, sio kipimo eti cha ustaarabu, bali ni kiwango cha VALUE + IMPACT katika maisha yake ya jumla na ya kila siku.

Utashangaa hisia endapo KARIBA ya nchi ilkirushwa hadharani kwa kudhalilisha, au Kiongozi wa nchi akitusiwa,, au alama yoyote ya utaifa ikidhihakiwa raia husika huweza hata kuandamana, au nchi na nchi kuvunja hata ubalozi n.k...kwa nini ? Kwa sababu hilo kwao lina VALUE.

Lakini Biblia yaweza kuchezewa wala watu washistuke/kasirika ...kwa nini? VALUE ktk nafsi husika.

Kwa hiyo issue sio kujificha ktk kivuli cha USTAARABU ...but VALUE + IMPACT
 
Wanajua Mungu wetu hayuko kwenye kitabu, na wala hataki tumpiganie maana ana Nguvu za kujitetea yeye.
Nataka nione mfano wewe amka asubuhi jumapili nenda pale St Peters chukua Bible anza kuchoma moto wakati waumini wanatoka kusali ili tuthibitishe kuwa sisi wakristo hatuna shida na suala hilo. Au niwekee hapa tukio moja tu la kuchoma biblia in a public in reality lililotokea huko ulaya au hata hapa Tanzania maana mimi sijawahi kuona. Kila siku nasikia ni waislamu tu wenzangu mkichangia mnasema Bible zinachomwa kila siku ni wapi huko zinapochomwa?
 
Nataka nione mfano wewe amka asubuhi jumapili nenda pale St Peters chukua Bible anza kuchoma moto wakati waumini wanatoka kusali ili tuthibitishe kuwa sisi wakristo hatuna shida na suala hilo. Au niwekee hapa tukio moja tu la kuchoma biblia in a public in reality lililotokea huko ulaya au hata hapa Tanzania maana mimi sijawahi kuona. Kila siku nasikia ni waislamu tu wenzangu mkichangia mnasema Bible zinachomwa kila siku ni wapi huko zinapochomwa?
Kwanza RC hawatumii Biblia
 
Shida ya waislamu ni jazba wanakurupuka ni rahisi sana kuingia mitego ya adui.
Mbona Biblia zinachomwa moto chanwa na waabudu shetani wala ukuti Mkristo Hata ana habari nao.
Waislamu wanamkimbiza kichaa uchi.
Kupuuza kuna gharimu nini.wamebipiwa wamepiga
 
Mimi vitendo hivi naviona kama vinawaondoa watu miaka ya giza na kuwaleta kwenya miaka ya sasa. Kuna watu bado wapo vifungoni sana na wapo miaka ya 1400 huko.
Sasa hivi wataanza kuzoea na soon wataanza kujicheka
Ondoa nzi usoni
 
Lakini huyo si ni muislamu? Nadhani kwa nchi za Ulaya swala la mtu kuwa na dini ni swala la mtu binafsi.
Lakini mbali na hilo nchi za Ulaya zimeshaachana na dini kabisa! Hazina hofu ya Mungu kwa sababu ya kiburi cha Sayansi na technology.
Kama zimeruhusu ushoga kinyume na mapenzi ya Mungu sembuse kuruhusu watu kuchoma vitabu vya dini?
 
Lakini huyo si ni muislamu? Nadhani kwa nchi za Ulaya swala la mtu kuwa na dini ni swala la mtu binafsi.
Lakini mbali na hilo nchi za Ulaya zimeshaachana na dini kabisa! Kama wameruhusu ushoga kinyume na mapenzi ya Mungu sembuse kuruhusu watu kuchoma vitabu vya dini?
wapi wamesema ni muislamu? kisà ni mwarabu? toa tongotongo mbwa ķoko we
 
Kuna katoto kaliikojolea au kuichoma? Hii mada itakuwa humu.

Vitabu vya Mungu viheshimiwe.
 
ila waarabu kwa kupenda kulia lia, the problem is, they worship a weaker god...
Lakini mama Samia akiteuwa muislam wakristo wanapiga kelele nao pia. Azam akiweka vipindi vya kislam mtu atakuja JamiiForums kulalamika.

Kila upande unalalamika kivyake lakini hivi kuna muislam aliewahi kuchoma biblia moto?.
Kama hapana kwanini mtu wa dini nyengine ifanye au nchi ya Sweden ikubali kuwepo siku maalum ya kuchomwa moto Quran?.
 
Lakini mama Samia akiteuwa muislam wakristo wanapiga kelele nao pia. Azam akiweka vipindi vya kislam mtu atakuja JamiiForums kulalamika.

Kila upande unalalamika kivyake lakini hivi kuna muislam aliewahi kuchoma biblia moto?.
Kama hapana kwanini mtu wa dini nyengine ifanye au nchi ya Sweden ikubali kuwepo siku maalum ya kuchomwa moto Quran?.
Kijana una upeo mdogo sana... Soma tena nilichoandika halafu Soma ulichojibu...
 
Back
Top Bottom