Hasira yatawala Moscow baada ya NATO kuiruhusu Ukraine kushambulia ndani ya Russia kwa silaha za NATO

Mkuu uko sahihi!
Kitu ambacho nimeona NATO walifanya ni kupima Defensive Systems za Russia! Sasa hivi zile S400 ambazo Russia ilijivunia hazina efficiency yo yote!
Mfano ziliwekwa pale Crimea zilipigwa na storm shadow na drones na sasa pale Russia Navy inapigwa vizuri tu.
 
Uko sahihi. Na kwa kuongezea, Marekani na Ulaya siku zote wamekuwa wakitaka kuidhoofisha Russia ili kuleta Amani Ulaya na duniani. Kilichokuwa kinasubiriwa ni kisingizio. Na bila kujua Putin na Russia yake wakaingia kichwakichwa.
 
Russia mlisema ataichukua Ukraine in 2 weeks, miaka mingapi sasa😂
 
Uko sahihi. Na kwa kuongezea, Marekani na Ulaya siku zote wamekuwa wakitaka kuidhoofisha Russia ili kuleta Amani Ulaya na duniani. Kilichokuwa kinasubiriwa ni kisingizio. Na bila kujua Putin na Russia yake wakaingia kichwakichwa.
Huwezi kuitafuta amani ya Dunia kwa kumchokoza Dubu.
Amani ya kweli itspatikana kwa maridhiano
 
Huwezi kuitafuta amani ya Dunia kwa kumchokoza Dubu.
Amani ya kweli itspatikana kwa maridhiano
Ngoja wamchokoze tuone. Taarifa za Pentagon zinasema wanatarajia Vita vya Ukraine vichukue zaidi ya miaka kumi na wamejiandaa. Huyo Dubu at survive!?
 
Putin ni muoga na dhaifu, anaigopa Nato. Putin ana mikwara kibao lakini action sifuri.
 
Putin anapukuchuliwa kidogo kidogo!

Maumivu yake ataanza kuyapata baada ya miaka kama 5 inayokuja
 
Urusi anatafuta nini Ukraine kwanini asirudi kwake
 
Russian ndo wa kulaumiwa. Ukraine ni wa kuurumiwa tu, kuwa na jirani mkorofi kama Russia ni changamoto. Russia amegombana na majirani zake wengi.
NATO kuzuia ukraine kumshambulia ndani ya Russia ni ujinga. Yahani Russia wnaorganise majeshi na silaha kisha kuzileta mpakani wanaangaliwa tu, kisha wanavuka mpaka na kuanzia kuwaua ndo mnaanza kujibu?. Tena wakati mwengine Russia anawaua wa Ukraine bila kuvuka mpaka!.
 
Uko sahihi. Na kwa kuongezea, Marekani na Ulaya siku zote wamekuwa wakitaka kuidhoofisha Russia ili kuleta Amani Ulaya na duniani. Kilichokuwa kinasubiriwa ni kisingizio. Na bila kujua Putin na Russia yake wakaingia kichwakichwa.
Naam, japo nachelea kuamini kuwa amani ya dunia inahatarishwa na Russia.
 
Russia hairudi nyuma! Inaendelea na offensive kama kawaida.
 
Fact:
Kwani Russia akipiga Nuclear Ukraine, unadhani West watafanya nini? ,
Jibu ni hakuna watakachofanya zaidi ya makelele
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…