Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Mje basi majirani mtusaidie na sisiKenya umaskini upo ndio ila sio Kama huko Tanzania
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mje basi majirani mtusaidie na sisiKenya umaskini upo ndio ila sio Kama huko Tanzania
Hivi Manzese na Mbagala unazionaje? Zile siyo slums kama za NairobiSlums ipo kwenye majiji yote makubwa yenye population density kubwa kama Nigeria ipo Makoko Slum pia Johannesburg slums ipo pia. Lakini maisha ya watu wanaoishi kule yana nafuu kuliko wanaoishi Manzese, Mbagala na kwingineko. Mathare kule wapo wasomi wengi tuu.
Naunga mkono hoja yako.Kenya mpaka uwe na hali ya ahueni aisee lazima umepigika mno, Kenya kukuta vijana ni matajiri au viongozi wa ngazi za juu serikalini au kwenye organizations ni ngumu sana, Tanzania ukienda maeneo ya Iringa kule matajiri wengi sana ni vijana wadogo from early 20s wamepata pesa kwenye miti, avocado's etc
Ukienda kanda ya ziwa vijana wengi sana ni matajiri wamepata pesa kwenye madini, uvuvi, wtc
Ukienda kaskazini utakutana na vijana wengi wanamiliki expedition companies na tour operators wametajirika ni vijana wadogo yaani kila eneo Tanzania kuna fursa ya mtu yeyote kufamikiwa tofauti na monopolised Kenya, waliofanikiwa ndio wataendelea kufanikiwa na maskini wanazidi kua fukara.
Slam kwenye jiji kama Nairobi ni kielelezo cha kwanza kutambua umasikini wa nchi hiyo.Usichukue slum kama kigezo tuu cha kutathmini umaskini, je Watanzania wengapi hapa Dar hawana hata pa kulala wanalala barabarani na kwenye vituo vya mabus.
Wangapi wametajirika kupitia hizo fursa, mbona kila awamu watu wanarudi nyuma kua masikini acheni propaganda watanzania sie nimasikini wakutupwa gusa hizo aridhi kama utafungwa kwa kuvamia hifidhi za kiba za taifa........Naunga mkono hoja yako.
Angalau Tanzania kuna fursa kwa kada mbalimbali kutajirika tofauti na ilivyo Kenya.
Kenya ardhi yote imetwaliwa na watu wachache wenye uwezo, ni ngumu kwa jamii nyingine kupata chochote kupitia ardhi hiyo.
Tanzania ni jitihada zako ndizo zitakufanya uwe lofa milele au usogee hatua kadhaa mbele.
Kuna ardhi ipo ipo tu kuanzia Lindi mpaka Ruvuma, Itigi mpaka Tabora.
Kariua mpaka Uvinza.
Sikonge mpaka Mlele.
Hata kabla hatujafikiria kilichomo chini ya ardhi hiyo, kilimo tu kinaweza kubadilisha maisha ya watu wetu.
Nenda Njombe, Mafinga, Madibira, Makete, Wanging'ombe, Kapunga, ukaone vijana walivyowekeza kwenye kilimo cha parachichi, mpunga, Vitunguu nk.Wangapi wametajirika kupitia hizo fursa, mbona kila awamu watu wanarudi nyuma kua masikini acheni propaganda watanzania sie nimasikini wakutupwa gusa hizo aridhi kama utafungwa kwa kuvamia hifidhi za kiba za taifa........
Werevu sana wa kuji BRAND, LAKINI KENYA MASIKINI SANA SANA.Katika nchi maskini duniani LDC kwa Africa Mashariki, ni Kenya tu ndio haipo.
Umeliweka vizuri sana Mkuu. Watu wanasubiri kuwekewa hela mfukoni na Serikali. Hapo ndipo wanapoteaNaunga mkono hoja yako.
Angalau Tanzania kuna fursa kwa kada mbalimbali kutajirika tofauti na ilivyo Kenya.
Kenya ardhi yote imetwaliwa na watu wachache wenye uwezo, ni ngumu kwa jamii nyingine kupata chochote kupitia ardhi hiyo.
Tanzania ni jitihada zako ndizo zitakufanya uwe lofa milele au usogee hatua kadhaa mbele.
Kuna ardhi ipo ipo tu kuanzia Lindi mpaka Ruvuma, Itigi mpaka Tabora.
Kariua mpaka Uvinza.
Sikonge mpaka Mlele.
Hata kabla hatujafikiria kilichomo chini ya ardhi hiyo, kilimo tu kinaweza kubadilisha maisha ya watu wetu.
Hii ni kweli , Tz vijana wadogo wanapiga pesa kuliko huko kenya kumiliki ardhi ni ishu ....Kenya pesa ipo ila inatajirisha wanasiasa na wageni .Kenya mpaka uwe na hali ya ahueni aisee lazima umepigika mno, Kenya kukuta vijana ni matajiri au viongozi wa ngazi za juu serikalini au kwenye organizations ni ngumu sana, Tanzania ukienda maeneo ya Iringa kule matajiri wengi sana ni vijana wadogo from early 20s wamepata pesa kwenye miti, avocado's etc
Ukienda kanda ya ziwa vijana wengi sana ni matajiri wamepata pesa kwenye madini, uvuvi, wtc
Ukienda kaskazini utakutana na vijana wengi wanamiliki expedition companies na tour operators wametajirika ni vijana wadogo yaani kila eneo Tanzania kuna fursa ya mtu yeyote kufamikiwa tofauti na monopolised Kenya, waliofanikiwa ndio wataendelea kufanikiwa na maskini wanazidi kua fukara.
Acha kujidanganya na matakwimu mkuuKatika nchi maskini duniani LDC kwa Africa Mashariki, ni Kenya tu ndio haipo.
Wengi wanaona Watanzania ni legelege au hawatambui haki zao ndiyo maana hawachukui hatua dhidi ya maamuzi ya wanasiasa. Wanatamani vijana wetu wangekuwa kama vijana wa Gen Z wa Kenya ambao kwa siku mbili wameteketeza mali zenye thamani ya mamilioni kwa hasira za financial bill 2024.
Matajiri wanne nchini Kenya, utajiri wao unazidi karibu nusu ya wakenya wote(40%) wakichanganywa kwa pamoja. Matajiri hao wana utajiri unaofikia Ksh. bilioni 333( Tsh. trilioni 6.26).
Utafiti unaonesha ukuaji wa tofauti kati ya walio nacho na wasio nacho ambapo wakenya 130 matajiri zaidi wanamiliki mali sawa na 70% bajeti ya Kenya kwa mwaka. Matajiri watano zaidi nchini Kenya ni Merali, Shah, Bedi, Kenyatta na Mahendra wakiwa na utajiri wa jumla ya dola za kimarekani 3.2.
View attachment 3027359
Baada ya hapo ongeza na Manu Chandaria, Moi family, William Ruto & Associates
Wakenya wengi wanaishi chini ya dolla moja, pesa yao kuipata ni kazi. Karibu na Nairobi CBD kuna makazi ya slums 3 Kibera, Mathare na Makuru kwa Njenga ambazo zinaishi watu zaidi 2.5 Milioni.
View attachment 3027353
Umaskini huu na tofauti ya kipato ndiyo unatia hasira kwa vijana mpaka hawafikiri mara 2 whether wachome bunge au magari ya Seikali.
View attachment 3027354
Wanaota ndoto, hakuna serikali itakuwekea pesa mfukoni kirahisi hivyoUmeliweka vizuri sana Mkuu. Watu wanasubiri kuwekewa hela mfukoni na Serikali. Hapo ndipo wanapotea
Hapana mkuu umasikini unakwenda mbali zaidi.Kama ni umasikini Tanzania ndo ingekua ya kwanza kuandamana, wewe angalia wadamanaji vijana wameva vizuri hata kupita waalimu wa Tanzania,