Alivaa moka?Sasa Mwakinyo naye hivyo viatu alivyo vitumia leo si ndivyo alikuwa anatumia mazoezini.
Ila sio mbaya kapata experience kupigana ktk ulingo mkubwa, ila huyu mzungu wa kawaida hana maajabu.
Kwa hisani ya Google translate.Smith as confused as us all
"I don't know what happened. I didn't really do too much early on because Hassan was wild, I'm a bit gutted I never gave the fans a proper finish but it's out of my hands.
"He said he slipped, he just quit, it doesn't take a genius to work that out. I said about the sparring story, I knew he had it in him."
strong and dangerous wa mwaka 2018 sio sasa acheni kujipa matumaini ya kipuuziHapana.. hata commentators walikuwa wanasema He is strong and dangerous.
Mmoja kasema mimi sio muelewa saana wa haya mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]nawasikiliza wachambuzi wa azam wanaongea utumbo[emoji1787]
hawakubali kama kinyo kazidiwa kaamua kusalenda
Sent from my Infinix X683 using JamiiForums mobile app
Hakunaga bondia hapo mnahangaika bure aliotea zali ile game ikamtoaSema kama vipi tu aombe marudiano afu aje bongo nasi tum revenge
Kabisa linafuatiwa na Azeez vs PetersGame La Natasha Jonas Nadhani ndio Game Bora Tulio Enjoy
Usimsahau na the current Tanzania finest MandongaTwaha Kiduku Ataongea [emoji2357][emoji2357][emoji2357][emoji2357]
Jamaa nimemsikia, sijui ameenda kufanya nini studioMmoja kasema mimi sio muelewa saana wa haya mambo [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Nahisi vile viatu vina telez,ndio maana mguu ukashtuka. Ila mzungu wa kawaida tena kama zile round za mwamzo kwangu Mwakinyo ndiye alikuwa vizuri.Alivaa moka?
Isije ikawa walimuwekea mbigili kwenye viatu na kadri anavyozidi kukanyaga chini ndio ile miba inapanda juu na kumletea damage ambayo imetuacha watu njia panda tulivyomuona akiseleleka
Huyo mzungu mwenyewe umeona ngumi zake.Sio mzungu dhaifu kiasi chakusema kambi yake inunue mechi.Hizo zitakua stori za vijiwe vya draft.Nasikia Mwakinyo kauza mechi, kahaidiwa pesa ndefu sana na hiyo timu ya Smith
kabisa ni wa pro mwakinyo alitaka kuwaka ila black pale akambinyia jicho akakaushaKaa kimya hujui boxing. Hujaona uhuni uliofanyika pale?
Alivaa moka?
Isije ikawa walimuwekea mbigili kwenye viatu na kadri anavyozidi kukanyaga chini ndio ile miba inapanda juu na kumletea damage ambayo imetuacha watu njia panda tulivyomuona akiseleleka
Big Brother Africa (BBA)Tanzania mchezo gani tutauweza ?
Radio MariaUmesikia kutoka wapi...