Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Sasa Mwakinyo naye hivyo viatu alivyo vitumia leo si ndivyo alikuwa anatumia mazoezini.

Ila sio mbaya kapata experience kupigana ktk ulingo mkubwa, ila huyu mzungu wa kawaida hana maajabu.
Alivaa moka?

Isije ikawa walimuwekea mbigili kwenye viatu na kadri anavyozidi kukanyaga chini ndio ile miba inapanda juu na kumletea damage ambayo imetuacha watu njia panda tulivyomuona akiseleleka
 

Smith as confused as us all​

"I don't know what happened. I didn't really do too much early on because Hassan was wild, I'm a bit gutted I never gave the fans a proper finish but it's out of my hands.
"He said he slipped, he just quit, it doesn't take a genius to work that out. I said about the sparring story, I knew he had it in him."
Kwa hisani ya Google translate.

Sijui nini kilitokea. Sikufanya mapema sana kwa sababu Hassan alikuwa mkali, nimechoka kidogo sikuwahi kuwapa mashabiki umaliziaji ipasavyo lakini imetoka mikononi mwangu. "Alisema aliteleza, aliacha tu, haihitaji fikra kulifanyia kazi hilo. Nilisema kuhusu kisa cha sparring, nilijua alikuwa nacho.
 
Alivaa moka?

Isije ikawa walimuwekea mbigili kwenye viatu na kadri anavyozidi kukanyaga chini ndio ile miba inapanda juu na kumletea damage ambayo imetuacha watu njia panda tulivyomuona akiseleleka
Nahisi vile viatu vina telez,ndio maana mguu ukashtuka. Ila mzungu wa kawaida tena kama zile round za mwamzo kwangu Mwakinyo ndiye alikuwa vizuri.
 
Alivaa moka?

Isije ikawa walimuwekea mbigili kwenye viatu na kadri anavyozidi kukanyaga chini ndio ile miba inapanda juu na kumletea damage ambayo imetuacha watu njia panda tulivyomuona akiseleleka

Mbigili [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom