Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Hassan Mwakinyo apoteza kwa T.K.O dhidi ya Liam Smith | M&S Bank Arena | Liverpool

Nisaidieni kunijuza vitu viwili.
Nahitaji kujua kiasi cha pesa (kwa Dollar) atacho zawadiwa mshindi?

Na hivi ni kweli Smith keshawahi uwa watu wawili ulingoni?

Maana simulizi ninazo pata mtaani nashindwa kuamini.

Yote kwa yote namtakia ushindi Mtanzania mwenzangu kiroho safi.
 
nipo upande wake Mwakinyo, namuombea ashinde.

Ila ajue tu, baadhi ya watz wanaomba apotezee hili pambano. Wanadai kijana ana nyodo sana, anajisikia sana, ana majivuno sana na kadhalika.

Wamepanga kumgeuza kibonzo kwa mwezi mzima kwenye mitandao ya kijamii.
 
Kila la heri ila inatakiwa awe makini yule bondia ni mzoefu halafu ni sugu katika hayo mapambano aliyopigwa lipo na lile alilopigana na Canelo sasa fikiria mtu mpaka kapambana na Canelo c mchezo
Nasikia mchizi (smith) ana vichwa viwili ulingoni, nikweli au wanatishia kujamba tu.
 
Kocha ya uzalendo, lakini mimi ni shabiki lia lia wa mwakinyo.
Sema ana ile style ya kutenga mpinzani napiga tumbo weeee yeye ametenga tu, siikubali aisee
Atakua kachanjia muko (uchawi huu watu wa tanga wanaupenda sana)

Ukichanjia muko hata upigwe ngumi za tumbo kiasi gani haziingii, tumbo linakua kama ubao.
 
Huyu Liam aliwahi kuchezo na Canelo mwaka 2016.. ila alicheze KO hatari sana
 
Nisaidieni kunijuza vitu viwili.
Nahitaji kujua kiasi cha pesa (kwa Dollar) atacho zawadiwa mshindi?

Na hivi ni kweli Smith keshawahi uwa watu wawili ulingoni?

Maana simulizi ninazo pata mtaani nashindwa kuamini.

Yote kwa yote namtakia ushindi Mtanzania mwenzangu kiroho safi.
Hapana mzee ngumi siku hizi pesa ni makubaliano before hata hujapanda ulingoni kulingana na ukubwa (status) ya bondia mwenyewe haijalishi atapigwa au kushinda

Zawadi ya mshindi kwenye ngumi ni mkanda ila pesa sio zawadi ni makubaliano ya kimkataba kabla hata ya pambano
 
Nisaidieni kunijuza vitu viwili.
Nahitaji kujua kiasi cha pesa (kwa Dollar) atacho zawadiwa mshindi?

Na hivi ni kweli Smith keshawahi uwa watu wawili ulingoni?

Maana simulizi ninazo pata mtaani nashindwa kuamini.

Yote kwa yote namtakia ushindi Mtanzania mwenzangu kiroho safi.
Hio ya smith kuua watu wawili ulingoni, haipishani Sana na story za Mohamed Ali kupigana mkono mmoja ukiwa umefungwa pingu. Na alikua akipiga ngumi mpk nondo inapinda.

Tumetoka mbali aisee.
 
Hio ya smith kuua watu wawili ulingoni, haipishani Sana na story za Mohamed Ali kupigana mkono mmoja ukiwa umefungwa pingu. Na alikua akipiga ngumi mpk nondo inapinda.

Tumetoka mbali aisee.
Duh, kumbe hata ile ya Mohammed Ali ilikua chai?
Kweli tume toka mbali.
 
Mwakinyo anakunja kiasi gani kwenye hili pambano?
Ndilo swali la msingi ninalo hitaji kujua, maana huku mtaani tunaongopeana kua mshindi atalamba Dollar Million 120 huku atakae pigwa atalamba Dollar Milion 80.

Tena wananadai akishinda pambano hili, anampita utajiri Akon.
 
Ndilo swali la msingi ninalo hitaji kujua, maana huku mtaani tunaongopeana kua mshindi atalamba Dollar Million 120 huku atakae pigwa atalamba Dollar Milion 80.

Tena wananadai akishinda pambano hili, anampita utajiri Akon.
Dolla Million 120 unajua Ni sawa na karibu Tsh. Bill 280 mkuu?
 
Hahahaa, huo ni uongo. Unaijua dola milioni 120 ama 80 wewe
Ndilo swali la msingi ninalo hitaji kujua, maana huku mtaani tunaongopeana kua mshindi atalamba Dollar Million 120 huku atakae pigwa atalamba Dollar Milion 80.

Tena wananadai akishinda pambano hili, anampita utajiri Akon.
 
Back
Top Bottom