Kilimbatz
JF-Expert Member
- Sep 15, 2020
- 4,331
- 5,865
Tusubiri tuone atatokaje piaSasa mbona Mwakinyo anaingia kinyonge kiasi hiki?
Asichane mikeka ya wauni.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tusubiri tuone atatokaje piaSasa mbona Mwakinyo anaingia kinyonge kiasi hiki?
Asichane mikeka ya wauni.
Utakuwa hujamsoma vizuri mzunguMzungu hamjui mwakinyo vizuri. Subiri gemu ianze
Awe makini tu isije pepea nusu mlingoti akishindwa Aache sisi wakamaria kupoteza kwetu ni kawaida tutatafuta mitaji mingine lian Smith sio wa kipolepoleBendera imepeperushwa ulingoni.
Mkuu unaangalia via Azam HD au kwa mtandao kupitia simu?Sasa mbona Mwakinyo anaingia kinyonge kiasi hiki?
Asichane mikeka ya wauni.
Sio mbaya, hahaahhMiluzi mingi banda umiza, mzungu kakalishwa KO nini huko?
Hata miye nataka kujuaMbona nasikia banda umiza wanashangilia sana, kuna nini huko?
Ukiona sekunde unasikia miluzi anza ku imagine ule ukimya unaodumu zaidi ya dakikaMbona nasikia banda umiza wanashangilia sana, kuna nini huko?