Capt Tamar
JF-Expert Member
- Dec 15, 2011
- 12,340
- 16,383
Hili la siku hizi siyo Bunge,halina hadhi ya bunge,labda kongamano la walevi wa ccm,Mbunge/waziri anasema watu kupigwa na kufia kwenye vituo vya polisi ni sawa kwa vile kuna wanaofia viwandani wakifanya mapenzi!! Hilo ni bunge au takatakBunge siyo chombo cha kikashifu hata kama yanayoendelea bungeni,siyo hayaridhishi.
Mmmmh kwahiyo bondia kakosea kukubali witoHili la siku hizi siyo Bunge,halina hadhi ya bunge,labda kongamano la walevi wa ccm,Mbunge/waziri anasema watu kupigwa na kufia kwenye vituo vya polisi ni sawa kwa vile kuna wanaofia viwandani wakifanya mapenzi!! Hilo ni bunge au takatak
Angewaambia yuko busy na mazoezi ya kukinukisha na Mayweather pale USOfcoz, kuukataa mwaliko wa Bunge Si jambo la busara hata kidogo
Chuki zenu za kisiasa haziwezi kuharibu Maisha yake ya Ngumi. Pambaneni na halizenu msijaribu kuwatisha vijana wanao liletea taifa sifa.Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?
Majuto ni mjukuu .
Sina habari na bondia mimi,nazungumzia bunge!Mmmmh kwahiyo bondia kakosea kukubali wito
Mada haizungumzii bunge,inamzungumzia hassan mwakinyoSina habari na bondia mimi,nazungumzia bunge!
Angalia tena niliye m-quote alikuwa anaongelea nini!Mada haizungumzii bunge,inamzungumzia hassan mwakinyo
Sasa wewe mbuzi bavicha imeingiaje hapaBavicha banaaaa!
Wanamtukana Dogo kwenda Bungeni wakati Wabunge wao nao Ni sehemu ya Bunge
Mlikuwa wàpi kumkaribisha kabla ya pambano hili haki akiwa ameshiriki mengine mengiChuki zenu za kisiasa haziwezi kuharibu Maisha yake ya Ngumi. Pambaneni na halizenu msijaribu kuwatisha vijana wanao liletea taifa sifa.
Kwa utashi wake asingeweza kwenda ila kwa ajili ya future yake amekubali kutii mamlaka kwa kwenda... Angekaidi vikwazo mbeleni na mizengwe vingeongezeka.... Waswahili wanasema tumikia kafir upate mradi wakoNimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !
Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?
Majuto ni mjukuu .
Bungeni utakaribishwa uki ifanya vizur.Mlikuwa wàpi kumkaribisha kabla ya pambano hili haki akiwa ameshiriki mengine mengi
Tafiti hupingwa na tafiti mpya .Chuki zenu za kisiasa haziwezi kuharibu Maisha yake ya Ngumi. Pambaneni na halizenu msijaribu kuwatisha vijana wanao liletea taifa sifa.
Hatujawahi kuandika uongo mkuu .kuna ukweli fulani mbona wanamichezo wengi wanapoingia bungeni ndo mwanzo wa kuboronga?
Mwankinyo akikosa mapambano ya Kimataifa ajue mchawi wake ni Siasa za CCMYametimia ! Mungu ibariki jf
😆😆😆 asije kusema hatukumwambiaKaburi lililotitia limefukuliwa