Hassan Mwakinyo kwa kutua kwako bungeni umejitafutia laana ya bure kabisa

Hassan Mwakinyo kwa kutua kwako bungeni umejitafutia laana ya bure kabisa

Bunge siyo chombo cha kikashifu hata kama yanayoendelea bungeni,siyo hayaridhishi.
Hili la siku hizi siyo Bunge,halina hadhi ya bunge,labda kongamano la walevi wa ccm,Mbunge/waziri anasema watu kupigwa na kufia kwenye vituo vya polisi ni sawa kwa vile kuna wanaofia viwandani wakifanya mapenzi!! Hilo ni bunge au takatak
 
Hili la siku hizi siyo Bunge,halina hadhi ya bunge,labda kongamano la walevi wa ccm,Mbunge/waziri anasema watu kupigwa na kufia kwenye vituo vya polisi ni sawa kwa vile kuna wanaofia viwandani wakifanya mapenzi!! Hilo ni bunge au takatak
Mmmmh kwahiyo bondia kakosea kukubali wito
 
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !

Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?

Majuto ni mjukuu .
Chuki zenu za kisiasa haziwezi kuharibu Maisha yake ya Ngumi. Pambaneni na halizenu msijaribu kuwatisha vijana wanao liletea taifa sifa.
 
Nimekudharau sana bwana mdogo kwa kurubuniwa kizembe sana na kukubali kuingia mkenge wa kutua ndani ya bunge la Tanzania , umebugi sana !

Bunge la Tanzania halijawahi kusaidia mwanamichezo yeyote yule mahali popote nchini Tanzania , Matumla , Cheka walipigwa laana baada ya kukubali kuingia kwenye bunge lisilopenda michezo , labda nikunong'oneze hata huyu mkimbiaji Simbu kwa kuingia kwake bungeni kishajitia mkosi ambao hatakuja tena kunyakua medali hata ya kifuu cha nazi , jaribu kutafakari kabla ya kuamua , hivi ni nani aliyewahi kukujua kutoka ndani ya bunge la Tanzania , kwani ngumi umeanza jana ? hivi mnakuwa mmepofushwa vipi hadi kujipendekeza kwa watu wasiowajali hata chembe ?

Majuto ni mjukuu .
Kwa utashi wake asingeweza kwenda ila kwa ajili ya future yake amekubali kutii mamlaka kwa kwenda... Angekaidi vikwazo mbeleni na mizengwe vingeongezeka.... Waswahili wanasema tumikia kafir upate mradi wako
 
Kwan kajipendekeza mwenyew kwenda kule au kaitwa?...... Ukiitwa na spika wa bunge uende bungeni, sio ombi tena hill bali ni amri.....sasa nguvu za kukataa angetoa wapi? Na angesema kwa sababu IPI?
 
Back
Top Bottom