Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Uchambuzi mzuri sana. Huyu mwanamke ndugu na marafiki wamtafute wayamalize kabla hayajafika mahakamani. Ni mtu mzima mwenzao.Kwa haraka haraka. Kuna uwezekano huyu mwanamke alikuwa ana mahusiano na hawa vijana na alikuwa akiwatumia kwasababu zake binafsi kitendo kilichosababisha wamuundie tukio la kumuingilia kinguvu ili kumkomoa. Hii ni theory tu lakini...
HamzaSiro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
Tupe muendelezo😅 reaction yake kesho yake ilikuwaje mlipomsimulia ? Na je hakufukuzwa kazi ?Pombe Kali feki. Mara zote hizo pombe ukinywa nyigi zinakata fyuzi. Kuna Dogo aliwahi kumkata makofi Bosi wake kwenye tafrija ya wafanyakazi.
Tanga kulitokea nn mkuuJeshi limetuangusha sana awamu hii. Juzi tu hapa imetokea huko mkoa wa Tanga leo tena hili.
huo ni ugaidi.Hapa huyu Dada akibeba SMG na kuwasaka askari magereza litaibuka libaba kubwajinga na kubwatuka 'huyu dada alikuwa ni gaidi alijifunzia kwenye danguro'
ushakurupuka tayari,kama kawaida ya side effects za ulanzi chupa ya tatu.Siro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
boss alijichanganya.Pombe Kali feki. Mara zote hizo pombe ukinywa nyigi zinakata fyuzi. Kuna Dogo aliwahi kumkata makofi Bosi wake kwenye tafrija ya wafanyakazi.