Hassan Said(26), Askari Magereza Ukonga, ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti

Hassan Said(26), Askari Magereza Ukonga, ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti

Ndugu wa Hassan wamtafute huyo dada waombe msamaha haraka kabla mambo hajaharibika. Tena waende na hela nzuri.
Uzuri huyo dada ni mtu mzima atawaelewa kama watatoa hela nzuri pamoja na matibabu.
 
Kwa haraka haraka. Kuna uwezekano huyu mwanamke alikuwa ana mahusiano na hawa vijana na alikuwa akiwatumia kwasababu zake binafsi kitendo kilichosababisha wamuundie tukio la kumuingilia kinguvu ili kumkomoa. Hii ni theory tu lakini.

Wanaume huwa wanafanya mrejesho wao wa hasira physically zaidi na si emotional. Mwanaume akimchukia mwanamke au akitaka kuwa mkorofi huwa anafanya kwa matendo yanayoumiza mwili mfano kupiga, kushambulia kwa silaha au kuua kabisa.

Ila mwanamke huwa uchokozi, ushambuliaji wake hufanya kwa njia ya hisia. Yaani anafanya matendo yanayoshambulia hisia mfano kucheat, kulaghai, kupumbaza, na vinginevyo.

So ni wakati jamii sasa kuanza kuwafundisha watoto wa kike na wa kiume mipaka ili kupunguza matukio kama haya.

Watoto wa kike ukiwa una date na wanaume wawili au zaidi tegemea wakijua ni umewashambulia kisaikolojia na kukurudi itategemea na watakavyojiskia kukufanya. Mwanaume kakuita mtoko usiende na kundi la mashosti kimkomoa hapo unatangaza vita, maana unamwambia kuwa yeye ni mjinga kukujali na kukupa nafasi na ndio maana huwa wanakuja kuwabadilikia baadae analala hadi na marafiki zako hao hao.

Au unatoka na wanaume wawili wakija kujua automatically umewaona wao ni wajinga na ukiwakuta ambao ni fyatu kama huyu askari na mwenzake matokeo ni hivi wanakufanyia matukio ya kudhalilisha mwili na kufedhehesha akili yako.

So watoto wakike be very very very careful, hawa madogo wa siku hizi wa kiume si kama sisi kaka zao ambao tulikuwa magentlemen..... Sisi tulikuwa wazee wa kupotezea mwanamke kazingua tunapiga chini tunawinda mpya. Ila hawa madogo wa sasa wamekua wakihubiriwa haki sawa tokea chekechea hawaonagi kwa reasoning wao wanajibu mashambulizi ya mwili.

Kuna tukio moja niliingilia pale Moshi, dogo kamkuta girlfriend wake na kashkaji kengine. Kashkash ni akamtoa nje kumfokea nilistukia ghafla binti amerushwa mtama akatulia bega aisee.... Nikasema watoto wa kiume wa kizazi ni mtihani.
 
Kwa haraka haraka. Kuna uwezekano huyu mwanamke alikuwa ana mahusiano na hawa vijana na alikuwa akiwatumia kwasababu zake binafsi kitendo kilichosababisha wamuundie tukio la kumuingilia kinguvu ili kumkomoa. Hii ni theory tu lakini...
Uchambuzi mzuri sana. Huyu mwanamke ndugu na marafiki wamtafute wayamalize kabla hayajafika mahakamani. Ni mtu mzima mwenzao.
 
Kutaka kujinyonga itatumika kama sehemu ya ushahidi kwamba ametenda tukio.

Hata hivyo inaonyesha yeye ni mfuata mkumbo na siyo mzoefu wa tukio kama hilo ndiyo maana guilty consciousness ikakick in mpaka akataka kujiua.

Ingekua mbele wangemuahidi lighter sentence kufanikisha kumkamata huyo jamaa mwingine ila bongo hamna hilo, watakukabidhi kwa nyampala utasema hadi usiyoyajua.
 
Siro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
 
Mi nahisi walikubaliana kwa malipo fulani.ila hao askari hawakuweza kumlipa pesa waliyokuwa wamekubaliana.

Swali la msingi alijuaje aliyembaka ni askari? Inamaana walikuwa wanajuana kabla ya hapo
 
Siro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
Hamza
 
Hakuna watu mamafia wana roho za kikatili kama askari magereza... siku nimeingia kwenye kumi na nae zao ningekua boya boya sina elimu daaah was...ng wangenizingua sana
 
Sawa tu kutumia nguvu,madem wengi hawana shobo na hao wavaa ugolo.
 
1630686431806.png
 
Pombe Kali feki. Mara zote hizo pombe ukinywa nyigi zinakata fyuzi. Kuna Dogo aliwahi kumkata makofi Bosi wake kwenye tafrija ya wafanyakazi.
Tupe muendelezo😅 reaction yake kesho yake ilikuwaje mlipomsimulia ? Na je hakufukuzwa kazi ?
 
Hapa huyu Dada akibeba SMG na kuwasaka askari magereza litaibuka libaba kubwajinga na kubwatuka 'huyu dada alikuwa ni gaidi alijifunzia kwenye danguro'
huo ni ugaidi.

kitendo cha kuua kwa mlengo wa kufikisha ujumbe au kulipa kisasi kwa kudhamiria,ni ugaidi.
 
Siro anajisikiaje kuwa kama mlezi wa Askari kama Hawa?
Anajisikiaje jeshi la Police kuwa na watumishi wa aina
Juzi Handeni wameshika wanawake leo dar wamebaka na kufanya binti wa watu kinyume!
Hawa Askari na Hamza nani ni Gaidi zaidi?
ushakurupuka tayari,kama kawaida ya side effects za ulanzi chupa ya tatu.
 
Pombe Kali feki. Mara zote hizo pombe ukinywa nyigi zinakata fyuzi. Kuna Dogo aliwahi kumkata makofi Bosi wake kwenye tafrija ya wafanyakazi.
boss alijichanganya.

anyway hawana boss hao,wana viongozi wao wa kazi.
 
Back
Top Bottom