Hassan Said(26), Askari Magereza Ukonga, ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti

Hassan Said(26), Askari Magereza Ukonga, ashikiliwa kwa tuhuma za kubaka na kulawiti

Ukiwa askari alafu hujui kutongoza....lazima jinai zikuandame.
 
Huyo dada aliwalia vyao nini ?

Any way Pole bim dada

Ova
 
HUYU ALIYEKUWA AKIJALIBU KUJINYONGA, ALITAKIWA ASAIDWE HIYO AZMA YAKE.KUPUNGUZA GHARAMA NA MUDA WA KESI NA GHARAMA ZA KUTUNZA MFUNGWA
 
KKKMMMMQQQQ anyongwe sijui nina nini na hawa majamaa..
 
Safi sana ingependeza sana Kama askari magereza na askari polisi wakae jela Kama miezi sita kabla ya kupewa kazi,hii itasaidia sana kwa maaskari hao kutowabambikia kesi raia na pia kutowatesa wafungwa kwa kuwa watakuwa wanayajua mabaya na mazuri ya jela.
Nalog off
 
Back
Top Bottom