Uchaguzi 2020 Hata CHADEMA wasiposhirikiana na ACT-Wazalendo, bado CCM itapigwa chini. Membe na Lissu “watakula vichwa vingi” vya wanachama wa CCM

Ndio muungane sasa ili mpate kula nyingi zaidi ili hata wakiiba ishindikane kufikia lengo
Hili nalo ni la muhimu. Unajuwa wanaweza kuwa na ushirikiano mzuri tu kama kweli wana nia ya kuiondoa ccm madarakani siasa za Taifa hili zibadilike moja kwa moja kwa uzuri lakini.
 
Hili nalo ni la muhimu. Unajuwa wanaweza kuwa na ushirikiano mzuri tu kama kweli wana nia ya kuiondoa ccm madarakani siasa za Taifa hili zibadilike moja kwa moja kwa uzuri lakini.
Ndio hivyo mkuu ila cha ajabu vyama vyote vya upinzani vimesha onyesha tamaa ya kuweka mgombea kutoka kwenye chama chao. Hii haitawasaidia
 
Ndio hivyo mkuu ila cha ajabu vyama vyote vya upinzani vimesha onyesha tamaa ya kuweka mgombea kutoka kwenye chama chao. Hii haitawasaidia
Hata wakiweka, lakini wakubaliane kushirikiana siyo mbaya. Kwasababu mimi ninaamini kabisa kuwa kura za upinzani zote kwa ujumla, zinazidi zile za ccm. Kwanza mwaka 2015, chadema walioata kura milioni 6 za mgombea wa urais.
 
Mkuu ahsante kwa nondo ya moto.
Huu ni uchambuzi mahiri ambao unazungumzia hali halisi ya uchaguzi ujao na madhaifu yake kwa pande zote, pia tutegemee nini kama mapungufu hayo yataachwa kama yalivyo bila kurekebishwa.

Mchango wako umenikumbusha enzi za JF ya GT waliobobea. Big up!
 
Lazima mkuu! Kama kukiwepo na dalili kidogo tu za uchaguzi huru, siyo siri ccm itameguka kabla hata ya uchaguzi mkuu. Wait and see!
Uchaguzi uliopita wa serikali za mitaa,umeifanya Jumuiya ya Kimataifa iitolee macho TZ,
Madhila aliyofanyiwa TL ya kupigwa risasi, bila uchunguzi Wala kuwatafuta waliotaka kumuua yameifanya Jumuiya ya kimataifa yatamani kuja kushuhudia Uchaguzi na hasa TL ikigombea,
Mateso ya wapinzani ya Mara kwa Mara yanaifanya Jumuiya ya Kimataifa kutaka kuja kushuhudia uchaguzi,
Utekaji,upigaji na kupotezwa kwa baadhi ya wananchi,waandishi na wanasiasa Ni mambo mageni yanayowavutia jumiya ya Kimataifa kuona Hali ikitendeka katika Uchaguzi wa mwaka huu.
Wafanyakazi,wakulima na wafanyakazi wa nchi hii wamepitia wakati mgumu kuliko wakati wowote ule tangu nchi hii ipate uhuru.
WanaCCM hawana Raha,wapinzani hawana raha,wawekezaji hawana Raha,wanasiasa hawana Raha na hata VIONGOZi wa Dini hawana Raha.
Mabalozi wa nchi wahisani ambao kwa Sasa wanaitwa Mabebebru wameshatoa matamko juu ya Uchaguzi huru.
Uchaguzi wa mwaka huu utakua wa kipekee zaidi.
Tutegemee CNN,BBC, ALJAZEERA,nk. kuweka kambi hapa.
 
Tusubiri tuone hicho "kipigo kitakatifu" kamanda. Hakuna haja ya kuandikia mate wakati wino upo.
Wewe si unafurahia tume hii iliyopo? That is what you’re banking on, not a free and fair election.
 

Mkuu hebu weka hesabu hapa jinsi ACT na Chadema watakavyo ishinda CCM? Hivo kweli ACT waweke mgombea na Chadema waweke mgombea na CCM waweke mgombea halafu nani atakuwa mshindi?
Hebu bwana Mushi hebu nipe Hesabu jinsi Sisiemu watakavyo angushwa!
 
jmushi ;
Saharavoice kaangalia uhalisia siwezi kumlaumu ila mtungi upasukia mlangoni!
Mama akijiamini mtungi umefika anajikwaa kidogo tuu biashara imekwisha.
Kujiamini kwingi ni weakness!!
 
Tufanye mtashinda uchaguzi mwaka huu bila tume huru. Hongereni sana
 
Hivi wananchi waichague chadema kwa lipi hasa? kile chama kinasubiri kuzikwa tu October 2020
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…