assadsyria3
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 6,905
- 4,054
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.
Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.
Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.
Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.
Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki