Hata Hayati Magufuli alilazimishwa na wao wenyewe kuwanyorosha

Hata Hayati Magufuli alilazimishwa na wao wenyewe kuwanyorosha

Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
Hivi wewe unaishi dunia ya wapi? Yaani mbunge kupewa haki yake kikatiba ni hisani ya kiongozi wa nchi?
 
Amewapa, amewapa, amewapa!!!

Huyo ni sawa na karani aliyeajiriwa kugawa ujira wa wafanyakazi wa Kampuni.

Ni HAKI Yao, na ni pesa za umma Kutoka Kodi za wananchi!!

Yeye binafsi analipwa na wananchi!!
Umeonaeeeeeee?
 
Yaani kaimalisha mpaka ndoa zao, huyo lisu kuolewa na bwana la kizungu au lema kusafisha mavi ya wazee huku anamendewa na midume ya ki canada
Unadhani wewe ulivyokuwa umeolewa mombasa ndiyo kila mtu awe na tabia zako za kuliaibisha taifa?
 
Kuwauzia Waarabu urithi wetu na kusahau thamani yetu na vizazi vijavyo iwe ni shukrani kwa kiongozi ambaye haoni mbali?Hata kama wema utalipwa hapa hapa duniani na ubaya vile vile utalipwa hapa hapa duniani.
Haya MACHAWA NI ADUI NAMBARI MOJA WA TAIFA LETU
 
Wewe ni zaidi ya mpiga zumari
1166044487.jpg
 
Unadhani wewe ulivyokuwa umeolewa mombasa ndiyo kila mtu awe na tabia zako za kuliaibisha taifa?
Mbowe ana mume ati, lema ana mchumba canada, lisu ndiyo kabisa analelewa huko ulaya. [Haya yote tunawatukana kwa sababu wao ndiyo waliendekeza siasa za hivyo, yaani walileta siasa za dharau/kejeli na hata kwenye ukweli walijaribu kutafuta upenyo ili watoke, ndiyo maana hata sisi tutawaita kengeza, punga etc]. Njia pekee na mbowe na vibaraka wake wamuombe msamaha Dkt Kikwete na Dkt Magufuli ili tuwasamehe ili turudi kwenye ajenda za maendeleo. Zaidi ya hivyo bora na wao wafe tu ka alivyokufa Dkt Magufuli.
 
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
Hayo yote uliyo yataja na kuyaorodhesha yalikuwa kwa hisani yake binafsi au kwa katiba/sheria za JMT?
 
Kumbe ndiyo maan watu tuliokuwa tunawafuatilia humu kwa michango yao madbubuti wameikimbia jf. Ukiangalia lugha zinazotumiwa na wachangiaji humu unaona kumbe kuna watu humu siyo mature au wanateswa na njaa ya matumbo au walikosa malezi ya wazaz wao wakaambulia makuzi tu au wanamahaba niue na vyama vyao au ni machawa. Hivi vyama vya siasa vilivyounda vikundi vya vijana wa hovyo hovyo kwa kuwatetea wanasiasa njaa au kutetea vyama vyao vya kitapeli ndiyo wanafanya Watanzania hawaendelei. Nawachukia sn hawa vijana maan wamekuwa na matusi na lugha za hovyo humu jf sababu ya kutetea mabwanyeye wao. Ili nchi iendelee hawa wanatakiwa wanyooshwe kwanza.
 
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
Nchi ya Tanzania ni ya Watanzania wote. Mtu kuikimbia nchi yake kwa kuhofia kuuawa kisa kuwa na mawazo tofauti na watawala, sababu ya uongozi na siasa chafu, ni aibu ya nchi husika. Alichokifanya Mh. Samia kilisaidia kumjenga kisiasa zaidi. Hii ni kama ilivyotokea wakati wa utawala wa aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Salmin Amour, alitesa wapinzani mpaka kuwazushia kesi ya uhaini. Kesi ambayo hata mwanasheria wake mkuu aliiponda, na Salmin akashupaza shingo na kumtimua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Alipomaliza muda wake, aliingia Aman Karume akaifutilia mbali kesi hiyo, sifa zote zikaenda kwake Mh. Karume.

Nahitimisha kwa kusema Rais ni raia kama raia wengine. Kinachomtofautisha ni ulinzi na matumizi ya vyombo vya Dola ambavyo kwa udhaifu wa katiba yetu wakati mwingine vinajikuta vinatumika kiasiasa.

Haiwezekani kulinganisha tabia za Wakenya na Tanzania. Siasa za Kenya bado zinakabiliwa na wingu la ukabila na vurugu kutokana na asili yao.

Issue hii ya bandari imepewa nguvu kutokana na ubabe na unafiki wa bunge letu na baadhi ya viongozi wa CCM na mawakala wao.

Unakuta mtu kama Rostam Aziz akiitetea Serikali, mtu aliyetamka wazi amejiondoa kwenye siasa. Wakati anajiuzuru ubunge, leo amejitosa kuitetea Serikali kwenye mkataba wa bandari.

Ipo shida gani kuzijibu hoja kwa ustaarabu zilizoibuliwa? Hukumu ya Mbeya, majaji wanasema bunge halihusiki na makubaliano. Kinachokwenda bungeni ni mkataba. Huoni hii ni aibu kiasi hata kama mahakama imesema haioni shida kwenye mkataba, lakini imeasaidia kuonyesha nia ovu kwenye huu mkataba. Mahakama inashangaa kipengele kinachozuia mahakama zetu kushughulikia migogoro kama ilivyoelekezwa kwenye sheria ya maliasili ya 2017. Bado huoni kuna shida mahali? Tunaheshimu maamuzi ya mahakama, japo hatuamini uwezo wao kwenye kesi zinazoihusu Serikali. Siyo ajabu mahakama ya rufaa ilisita kutoa uamuzi kwenye kesi ya mgombea mwenza (Rev. ,Mtikila), tena ikiwa full benchi majaji saba wakiongozwa na Jaji Mkuu Augustine Ramadhani (RIP), mpaka kuwaalika marafiki wa mahakama Pro.. Kabudi na Prof. Mwaikusa (RIP) mwishoni. Uamuzi eti ni kesi ya kisiasa, hoja ipelekwe bungeni. Ni mahakama ya Afrika ndiyo ilimpa ushindi Mtikila japo alikuwa ameshakufa.
 
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
Wanyooshwe tuu hakuna namna
 
Nchi ya Tanzania ni ya Watanzania wote. Mtu kuikimbia nchi yake kwa kuhofia kuuawa kisa kuwa na mawazo tofauti na watawala, sababu ya uongozi na siasa chafu, ni aibu ya nchi husika. Alichokifanya Mh. Samia kilisaidia kumjenga kisiasa zaidi. Hii ni kama ilivyotokea wakati wa utawala wa aliyekuwa Rais wa Zanzibar, Salmin Amour, alitesa wapinzani mpaka kuwazushia kesi ya uhaini. Kesi ambayo hata mwanasheria wake mkuu aliiponda, na Salmin akashupaza shingo na kumtimua Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG). Alipomaliza muda wake, aliingia Aman Karume akaifutilia mbali kesi hiyo, sifa zote zikaenda kwake Mh. Karume.

Nahitimisha kwa kusema Rais ni raia kama raia wengine. Kinachomtofautisha ni ulinzi na matumizi ya vyombo vya Dola ambavyo kwa udhaifu wa katiba yetu wakati mwingine vinajikuta vinatumika kiasiasa.

Haiwezekani kulinganisha tabia za Wakenya na Tanzania. Siasa za Kenya bado zinakabiliwa na wingu la ukabila na vurugu kutokana na asili yao.

Issue hii ya bandari imepewa nguvu kutokana na ubabe na unafiki wa bunge letu na baadhi ya viongozi wa CCM na mawakala wao.

Unakuta mtu kama Rostam Aziz akiitetea Serikali, mtu aliyetamka wazi amejiondoa kwenye siasa. Wakati anajiuzuru ubunge, leo amejitosa kuitetea Serikali kwenye mkataba wa bandari.

Ipo shida gani kuzijibu hoja kwa ustaarabu zilizoibuliwa? Hukumu ya Mbeya, majaji wanasema bunge halihusiki na makubaliano. Kinachokwenda bungeni ni mkataba. Huoni hii ni aibu kiasi hata kama mahakama imesema haioni shida kwenye mkataba, lakini imeasaidia kuonyesha nia ovu kwenye huu mkataba. Mahakama inashangaa kipengele kinachozuia mahakama zetu kushughulikia migogoro kama ilivyoelekezwa kwenye sheria ya maliasili ya 2017. Bado huoni kuna shida mahali? Tunaheshimu maamuzi ya mahakama, japo hatuamini uwezo wao kwenye kesi zinazoihusu Serikali. Siyo ajabu mahakama ya rufaa ilisita kutoa uamuzi kwenye kesi ya mgombea mwenza (Rev. ,Mtikila), tena ikiwa full benchi majaji saba wakiongozwa na Jaji Mkuu Augustine Ramadhani (RIP), mpaka kuwaalika marafiki wa mahakama Pro.. Kabudi na Prof. Mwaikusa (RIP) mwishoni. Uamuzi eti ni kesi ya kisiasa, hoja ipelekwe bungeni. Ni mahakama ya Afrika ndiyo ilimpa ushindi Mtikila japo alikuwa ameshakufa.
Hongera sana mwananchi mzalendo kwa kuchangia kizalendo.
 
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
Hata viongozi nao kama wanapewa heshima lakini hawaheshimu katiba ndio hao katika nchi zingine wanakula [emoji379] mchana kweupe.

It's win win situation, kama kimoja mkikifanya halali basi mjue hata cha pili nacho kitakuwa halali
 
Amewapa Pesa za ruzuku
ameruhusu mikutano
ameahidi kuwapa katiba mpya
amewaruhusu kurudi nchin toka mafichoni
baadhi wamelipwa malimbikizo yao
amekubali Maridhiano.

Lakini wapi hawaridhiki, wanamtusi na kumkejeli sasa Imetosha badilikikeni viongozi wazuri kugeuzwa wabaya na watu wenyewe kila ck kutukana na kukejeli then utalipwa ubaya in return.

Makamu wa Rais Kenya aliwaambia waandamanaji mlitaka polisi wawabusu kwenye maandamano, haiyumkiniki
KWA MUJIBU WA KATIBA AU MATAKWA YAKE?
 
Amewapa, amewapa, amewapa!!!

Huyo ni sawa na karani aliyeajiriwa kugawa ujira wa wafanyakazi wa Kampuni.

Ni HAKI Yao, na ni pesa za umma Kutoka Kodi za wananchi!!

Yeye binafsi analipwa na wananchi!!
Mbona awamu iliyopita hamkupewa kama ni haki yenu?
 
Ni HAKI ilocheleweshwa.

Yule ni Mwajiriwa tu, pesa ni zetu wananchi.
 
Back
Top Bottom