Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 12,835
- 23,584
Mbona wakati wa magufuli hamkupewa hiyo haki yenu?Hivi wewe unaishi dunia ya wapi? Yaani mbunge kupewa haki yake kikatiba ni hisani ya kiongozi wa nchi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mbona wakati wa magufuli hamkupewa hiyo haki yenu?Hivi wewe unaishi dunia ya wapi? Yaani mbunge kupewa haki yake kikatiba ni hisani ya kiongozi wa nchi?
Ebu tuondolee ujinga wewe sukuma gangMbona awamu iliyopita hamkupewa kama ni haki yenu?
Hawajui hao mazwazwaNi HAKI ilocheleweshwa.
Yule ni Mwajiriwa tu, pesa ni zetu wananchi.
Umefukuza inzi wa kijaniMnajisumbua bure hapa ni mpaka 2030
Jibu swali. Kama ni Haki yenu mbona wakati wa magufuli hamkupewa? Mpaka mkageuka wakimbizi mbowe dubai, lissu ubelgijiEbu tuondolee ujinga wewe sukuma gang
Ubongo wako wa kuazima kama hata hujui haki zako kikatibaMbona wakati wa magufuli hamkupewa hiyo haki yenu?
Tanga ni PwaniKama mna agenda yenye mashiko kwann mnatoa Lugha za kugawa watu ohoo mara Watanganyika ohooo Wazanzibari Taifa hili ni moja nalo linaitwa Tanzania,Hata hivyo kwa maono niliyo nayo kuna siku watu wa Tanga na mwambao wa pwani wao nao watasema ndio Watanganyika halisi je tunao baki tutajiitaje?kwa kuwa neno Tanganyika limetokana na maneno haya na nukuu "Tanga na Nyika zake" Mwisho wa kunukuu.
Jibu swali kamanda acha kumbwera mbwera.Ubongo wako wa kuazima kama hata hujui haki zako kikatiba
Nashukuru umeniongezea kituTanga ni Pwani
Nyika ni Msitu/Vichaka
Tanga inaanzia mwambao wa Ziwa Tanganyika, Nyasa, Victoria kwa upande Magharibi.
Upande wa Mashariki ndio Tanga, Pwani, Lindi na Mtwara
Hapo kati kati ndio Nyika.
Wale ni Wazanzibari kwa sababu wanajinasibu na Uzanzibari, Wana vitu vyote vya Uzanzibari.
Mpaka Wana ajira zao na serikari yao.
Kwa nini iwe Nongwa kuuzungumzia Tanganyika?
Zanzibar iko salama lakini Tanganyika haiko salama.we poyoyo kahangaike na urithi wa kwenu, nchi yetu iko salama.
Hakika.Haya MACHAWA NI ADUI NAMBARI MOJA WA TAIFA LETU
YeahIfike mahali sote tumtetee mama,This is too much as British saying "Everything too much is harmful"