Hata Hayati Magufuli alilazimishwa na wao wenyewe kuwanyorosha

ila huoni nia njema ya taifa lenye watu wenye staha na kuheshimiana mkatofautiana kwa hoja bila matusi au kuvunja heshima za watu
Kwa jinsi mnavyoingia madarakani kwa njia za kihayawani, sijui unapata wapi nguvu ya kusema mna staha.
 
Acha wamnange tu kwsbb ht yeye alianza kuungana nao hapo mwanzo kunamnaga mtangulizi wake. Kila speech ilikuwa lazima amnange.
Ukiona hashtag zinatembea Twitter ujue kumekwiva.....nasikia leo watatu wamedakwa! Haya twenzetu tukapush #free somebody πŸ˜„πŸ˜„
 
Nchi ya kitu kidogo, nchi ya watu wadogo
 
Kuwauzia Waarabu urithi wetu na kusahau thamani yetu na vizazi vijavyo iwe ni shukrani kwa kiongozi ambaye haoni mbali?Hata kama wema utalipwa hapa hapa duniani na ubaya vile vile utalipwa hapa hapa duniani.
we poyoyo kahangaike na urithi wa kwenu, nchi yetu iko salama.
 
Wewe utakuwa ukurutu na sio chawa, Hayo yote uliyoyaandika yapo kwenye katiba ya nchi na sio upendeleo, wala Rais Samia hajampa mtu yoyote, suala la katiba ni la wananchi, siku zinakuja wananchi watapewa heshima yao.
 

Hiyo ndio faida ya kiongozi kuwa mpole na Skyrim. NI hatari Sana, hizi chokochoko zilizoruhusiwa, tutarajie mpasuko na balaa kubwa la Taifa letu, Muda si mrefu kama hazikutafutiwa dawa.

Watu wanapinga uwekezaji WA Bandari, kuna wengine mbumbumbu hawajui, lakini wengine wanajua kabisa kuwa serikali itakosa mamilioni ya pesa, raia watakosa maelfu ya ajira, lakini wanapinga Tu, Kwa sababu ya kuwatetea wachache wanaohisi kitumbua chao kitaingia mchanga.

Wengine wanapinga Kwa kutafuta mtaji wa wapiga Kura 2025, Kwa sababu wanakipaji cha kuwaaminisha watu uongo.

Hii haitofautiani na watu walivyoaminishwa Libya enzi za Gaddafi. Watu waliaminishwa Gaddafi NI Dikteta, muuaji hafai, watu wakaingia mtaani, wakapigana mpaka wakamuua, Leo wanajuta juto la shetani, lakini ndio too late.

Wengine wanapinga Kwa sababu Tu NI waarabu NI waislamu, Tusifikie huko, waislamu na wakristo WA Tanzania NI kama ndugu WA baba mmoja.

Wanataka kutugombanisha Tu. Mimi NI muislanu, naupenda uislamu na najivunia kuwa muislanu, lakini asilimia 95 ya marafiki zangu WA dhati NI wakiristo.. Wajinga wachache wanadhani wanaweza kutugombanisha. Kwa uwezo wa Allah washindwe na walegee.
 
Hao ni wezi wa fadhilia, bila kuunda majanga hawajuwi siasa kabisa.

Hivi wewe umeshawahi kuona sera yao?

ACT ni professionals, wana sera na plan kabisa ya vipi wataiendesha nchi wakishika wao.


Mimi namshauri msajili wa vyama aifute tu chadema. Siyo chama cha siasa hicho. Siasa ipi wanayoifanya? Hicho ni chama cha wapigaji tu.
 
Vyote amefanya kwa mujibu wa sheria na sio hisani.
 
Ukimpa paka Maziwa, atadai na visheti.
 
Hivi kwanini ni halali mzanzibari kujitambulisha Kama mzanzibari ila haramu mtanganyika kujitambulisha Kama mtanganyika. Maana Tanzania ni jina la muungano ila sio jina la asili.
 
Ifike mahali sote tumtetee mama,This is too much as British saying "Everything too much is harmful"
Soon wanachokitafuta watakipata,uchaguzi ni 2025 wao washaanza kampeni na matusi juu,ndio naona umuhimu wa magu alipowaambia mambo watayafanya kipindi cha uchaguzi,sijawahi kuona upinzani wa kufanya mikutano ya hadhara kama hii nje ya kipindi cha uchaguzi,mama anawalea hawa jamaa ifike afanye kama alivyofanya magufuli
 
Acha wamnange tu kwsbb ht yeye alianza kuungana nao hapo mwanzo kunamnaga mtangulizi wake. Kila speech ilikuwa lazima amnange.
Alikua hajui kama wale jamaa ni mbwa na mbwa akikuzoea atakufuata mpaka msikitini πŸ˜€
 
Hisia nyingi kuliko facts
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…