Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
MATAGA unganisheni nguvu tuwatambue mmoja moja. Achana na story za nyuma ya keyboard. Kwa sasa ni kiroboto moja tuu ndo amejitokeza hadharani!
 
1640545258718.jpeg
 
Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.

[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mbona saizi yupo chato anaendelea kuoza mkuu
 
Back
Top Bottom