Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyu jamaa alikuwa katili mnoHayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
MATAGA unganisheni nguvu tuwatambue mmoja moja. Achana na story za nyuma ya keyboard. Kwa sasa ni kiroboto moja tuu ndo amejitokeza hadharani!Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Kumbe na yeye alilalama kutaka kuuwawa?Sasa,nongwa inaanzia wapi wengine wakitoa shuhuda zao?Nao waachwe waseme yote.Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Una maanisha wahuni kama Sabaya, Musiba, Makonda & Co.ni wahuni ndio wanamkumbuka kwa maovu ya kutengeneza
Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.
Kwanini wahuni waliotaka kumuua hawakukamatwa.Hayati Dr John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.
Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.
Tuungane kukemea wahuni.