Eric Cartman
JF-Expert Member
- May 21, 2009
- 11,966
- 11,218
Yana mwisho, ata Magufuli alikuwa na aibu zake kwa mafisadi; he wasn’t perfect sana sana katuonyesha vijana mafisadi mnaweza yamudu mbeleni.
Kwenda mbele ni mtindo wa S.A baada ya uhuru na watesi wao tubu yaishe.
Tanzania ya kesho aitokubali wanaodhani wanahati miliki ya nchii.
Mtazamo wa Polepole ndio wa vijana wa leo; it’s enough of this nonsense.
Yaani fala kama Nape atumudu kesho over my dead body.
Huu ndio mwisho wa wahuni with or without Magufuli.
Kwenda mbele ni mtindo wa S.A baada ya uhuru na watesi wao tubu yaishe.
Tanzania ya kesho aitokubali wanaodhani wanahati miliki ya nchii.
Mtazamo wa Polepole ndio wa vijana wa leo; it’s enough of this nonsense.
Yaani fala kama Nape atumudu kesho over my dead body.
Huu ndio mwisho wa wahuni with or without Magufuli.