Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Kuna wakati human nature inatisha sana - literally. Najaribu sana kuelewa Magufuli alichowapa wafuasi wake. Bado sijaelewa watu wanawezaje kuwa na utiifu wa kiasi hicho kwa binadamu mwenzao. Tena wengine unaona kabisa hawana material benefit yoyote kwa mtu huyo mtata.

Hawasikii wala hawaelewi kitu mbele ya huyo mtu (marehemu). Nina dada yangu mke wa mtu. Kilio alichoangusha siku ya tangazo la kifo cha Magufuli ni “epic”. Wiki nzima alikuwa kaputi. Kazini kwake (an international NGO) ilibidi tutoe uongo apewe sick leave. Shemeji yangu akawa anang’aa macho tu. Ninavyowafahamu wanawake, I felt very sad him - ni kama kuibiwa kitu cha thamani sana - nafsi ya mtu wako.

Baadaye kumhoji ilikuwaje akadai ni “mstuko wa roho” tu kila akiikumbuka sura na sauti ya baba yule! Ni msiba huu. A real tragedy 🙁.

Wako wengi nchini wa jinsia zote. Hapa JF ndio wamejaa. Akitajwa vibaya tu jinsi wanavyohamaki na kujibu unayafeel maumivu yao. Unaweza hata kuvisikia vilio na maombolezo yao toka ndani kabisa ya nafsi zao!

I really pray for their true healing from the inexplicable trauma. Kupona kwao ni kwa faida yetu wote. Angalau tuweze kurejea kwenye mijadala ya kawaida ya jukwaa la siasa.
 
Na ndio hawa wanapambana kumchafua unknowing jabali tulimpenda sana na anaendelea kuishi mioyoni mwetu.

Angalia aina ya watu wanaomchukia, kina Judge Werema ambao walikuwa wanufaika wa ufisadi kama Escrow, n.k.

#kataawahuni
Alishindwa nini kuwafungulia mashtaka ya huo ufisadi.

Kesi za ufisadi zikifunguliwa kwa haki kwenye nchi hii , 70% ya viongozi watakutwa na makosa ya ufisadi na ulaji wa Rushwa uliokubuhu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
jamani naomba mniombee,
mbona mm mnataka kunipa miaka 5pekee!!??

Kauli fikilishi Sana,huyu mwamba alijua Jambo,kosa alilofanya alishindwa kuweka hadharani,ukimya ukamponza!! r.i.p
Alijua miaka mitano amefanya utumbo mwingi ndio maana akaandaa jeshi kubwa kuwahi kutokea la kumsaidia kuiba kura chini ya usimamizi wa mtutu wa bunduki.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hayati Dkt. John Pombe Magufuli aliwahi kunukuliwa kuwa alinusurika kuuawa kwa sumu mara kadhaa.

Yote haya yanaweza kuakisi kazi za WAHUNI.

Tuungane kukemea wahuni.
Mkwere siyo binadamu
 
Kuna wakati human nature inatisha sana - literally. Najaribu sana kuelewa Magufuli alichowapa wafuasi wake. Bado sijaelewa watu wanawezaje kuwa na utiifu wa kiasi hicho kwa binadamu mwenzao. Tena wengine unaona kabisa hawana material benefit yoyote kwa mtu huyo mtata.

Hawasikii wala hawaelewi kitu mbele ya huyo mtu (marehemu). Nina dada yangu mke wa mtu. Kilio alichoangusha siku ya tangazo la kifo cha Magufuli ni “epic”. Wiki nzima alikuwa kaputi. Kazini kwake (an international NGO) ilibidi tutoe uongo apewe sick leave. Shemeji yangu akawa anang’aa macho tu. Ninavyowafahamu wanawake, I felt very sad him - ni kama kuibiwa kitu cha thamani sana - nafsi ya mtu wako.

Baadaye kumhoji ilikuwaje akadai ni “mstuko wa roho” tu kila akiikumbuka sura na sauti ya baba yule! Ni msiba huu. A real tragedy [emoji853].

Wako wengi nchini wa jinsia zote. Hapa JF ndio wamejaa. Akitajwa vibaya tu jinsi wanavyohamaki na kujibu unayafeel maumivu yao. Unaweza hata kuvisikia vilio na maombolezo yao toka ndani kabisa ya nafsi zao!

I really pray for their true healing from the inexplicable trauma. Kupona kwao ni kwa faida yetu wote. Angalau tuweze kurejea kwenye mijadala ya kawaida ya jukwaa la siasa.
Mimi mmojawao nililia kiume kwa machozi tu bila kupiga kelele wala kuzimia!

Itoshe kusema JK, Magufli na Samia ndiyo marais niliwaona nikiwa na Akili zangu timamu! Ila Magufuli kwangu amebaki kuwa Rais bora sana na kama haitoshi tangia 2016 nilikuwa namuweka kwenye maombi yangu kwa Mungu.

Sijamuona Nyerere ila nathubutu kusema kwa kadri nilivyomsoma Nyerere na Sokoine basi Magufuli alikuwa ndani yao. Zawadi pekee niliyopa Hayati nimeweka picha ndani kwangu kama kimbukumbu na nathubutu kusema tena na tena nchi za Africa ili ziendelee zinawahitaji mtu kama Magufuli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Alijua miaka mitano amefanya utumbo mwingi ndio maana akaandaa jeshi kubwa kuwahi kutokea la kumsaidia kuiba kura chini ya usimamizi wa mtutu wa bunduki.

Sent using Jamii Forums mobile app
Tuwe Serious kidogo! Hivi ni kweli unaamini Lissu angemshinda Magufuli 2020? Dkt Slaa aliyekajipatia umaruufu tu chini ya serikali iliyokajaa ufisadi ya Jakaya hujaona ndiyo kwa Magu ambae aligusa watu wa chini kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tuwe Serious kidogo! Hivi ni kweli unaamini Lissu angemshinda Magufuli 2020? Dkt Slaa aliyekajipatia umaruufu tu chini ya serikali iliyokajaa ufisadi ya Jakaya hujaona ndiyo kwa Magu ambae aligusa watu wa chini kabisa!

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama unaamini Lissu hasingeweza kumshinda Magufuli, unaweza kunipa sababu ya Magufuli kutumia wizi wa kura sambamba na kuwatisha wasimamizi wa uchaguzi kwa bunduki wapike matokeo ili kukipendelea chama chake cha mafisadi papa duniani ?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wakati wa kampeni akawa anawalalamikia hvi

"Mwinyi mlimpa miaka 10, Mkapa miaka 10, mzee Kikwete miaka 10, mbona mimi mnataka kuniipa mi5 pekee? Wahuni si watu, hivi walimpa mingapi kweli?
Kumbe huwa wanapangiwa na wanapangwa, inaonesha alilazimisha
 
Alishindwa nini kuwafungulia mashtaka ya huo ufisadi.

Kesi za ufisadi zikifunguliwa kwa haki kwenye nchi hii , 70% ya viongozi watakutwa na makosa ya ufisadi na ulaji wa Rushwa uliokubuhu.

Sent using Jamii Forums mobile app
CHADEMA mlitumia zaidi ya miaka nane kutuaminisha Lowassa ni fisadi only mkaishia kumpa heshima ya juu kabisa ya kisiasa.
 
Back
Top Bottom