Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Hata Hayati Magufuli alinusurika kuuawa mara kadhaa wahuni si watu

Watu wangapi waliuwawa kwa amri yake??

Aliambiwa mara ngapi awe mtenda haki hakusikia??

Leo hii Ben Saanane alipo anaoza na huyo boss wenu pia anaoza vile vile ndio mkumbuke duniani ni kwa kupita tu !

Poleni MATAGA zoeeni na mjuwe kufiwa kunafananaje na huyo mtu wenu hatorudi kamwe hapa hata mkatambikie MATAGA pori na Sukuma gang
Mkuu unapotaja watu wangapi wameuawa wewe kwenu aliua wangapi? Suala la kuoza hata wewe utaoza tu, na huenda sio siku nyingi, Wewe alikunyima haki gani?
Msipende kukuza vitu ambavyo havipo, embu oredhesha watu unaowajua kuwa waliuawa.
 
Back
Top Bottom