Hata iweje tutalipenda taifa la Israel (taifa teule)

Hata iweje tutalipenda taifa la Israel (taifa teule)

Umetoa hoja nyepesi!
Katika Agano Jipya Taifa Teule ni Kanisa la Mungu ulimwenguni,ndiyo Taifa Takatifu,(1Petro2:9-10),(Ufunuo1:5-6)
Liombee Kanisa la Mungu ulimwengu,alilinde na azidi kulitakasa.
Ombea Amani kote duniani! Israel na Palestina,Congo,Syria,Somalia,Ukraine na Russia,nk
Mwombe Mungu kwa ajili ya Taifa lako la Tanzania kama wewe ni Mtanzania,1Timotheo2:1-2
 
MUNGU KUNA WAKATI ANAKUWA MNAFIKI SANA,MARA AFICHE HIKI MARA KILE.SASA SIJUI NI YEYE AU HAWA WAJIPACHIKAO UNABII.maana taifa lake linatumia risasi mbaya halijiamini na halimuamini hata YEYE.
 
Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.

Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.

Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa

Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.

Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.

Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.

Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.

Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa

Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Vutulo. 🤣
 
Nilisoma kuhusu Zionist antisemitism. Kuna watu wanawachukia mno mayahudi lakini wanaliunga mkono taifa la kizayuni. Na wakati mwengine wanaliunga mkono taifa hilo kwa kusukumwa na chuki kwa mayahudi. Wakati dola la kizayuni linaundwa katika ardhi ya Palestine, baadhi ya waliounga mkono kuundwa taifa hilo ni watu wenye chuki kwa mayahudi na ambao wanataka mayahudi waondoke kwenye nchi zao (hasa Ulaya) waende mashariki ya kati. Yaani ni kama wanataka kuondoa kero kwao kuipeleka kwa waarabu na waislam.

Kuna wakristo katika nchi za kimagharibi ambao wanaliunga mkono taifa la kizayuni lakini hawawapendi mayahudi, wanaliunga mkono kwa sababu wanaaamini kukusanyika kwa mayahudi katika mashariki ya kati kutaharakisha kuja kwa Yesu ambapo watapigana na mayahudi na wengine na kuwalazimisha kuwa wakristo.

Wakati nasoma uzi huu nikakumbuka hicho kitu.

Ukisoma Zionist antisemitism utaelewa huu upendo wa kinafiki kwa mayahudi na taifa la kizayuni, kuwa imekuwaje tena wakati "ndugu" zao walikuwa wakiwachinja miaka yote halafu ghafla wanaanza kuwapenda!

Na mazayuni wa kiyahudi pia wanawatumia hao hao wanaowachukia kwa maslahi yao na wakijua kuwa mazayuni wa kimagharibi hawawapendi. Mazayuni wa kiyahudi wanawatumia na kuwaunga mkono mazayuni wa kimagharibi na wengine na ilhali wanajua kuwa wao (mayahudi) sio wakweli na wanawajaza tu wenzao lakini wanawaunga mkono kwa sababu wana faida katika malengo yao ya kizayuni. Na mayahudi wanaamini kabisa masihi wao (wa uongo) hatokuja mpaka ulimwengu wa kikristo uanguke. Na wakipata nguvu wakristo watahukumiwa na kuuawa kwa kosa la upagani.

Allah awanusuru ndugu zetu ambao wamepata mtihani wa kunasa katikati ya vitimbi vya "ndugu" hawa wawili wanaochukiana mno lakini wanatumiana kwa gharama ya damu za ndugu zetu.


Ukiwaangalia juu juu kama wanapendana kweli vile.
Kwann allah aumbe nguruwe halafu muhamad kisa yy hakuwa na uwezo wa kumiliki akukataze ww kula
 
  • Kicheko
Reactions: 511
Kaulimbiu ya uyahudi ili kuitawala dunia kiimani.Watu wakiwajua wazungu watajua Siri na unafiki wao pia.
 
Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.

Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.

Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa

Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.

Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.

Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.

Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.

Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa

Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Usiseme mataifa sema afrika, maana base ya ukristo imebaki kua afrika tu, huko wazungu hadi mapadri sahivi wanakosa wanakuja kuchukua wa huku, Afrika ndo sehemu pekee ambapo ukristo ndo umebaki kua na nguvu huko kote unakufa hata ulipotokea, na sababu kubwa huku watu wanathamini vya wageni hasa imani kuliko vya kwao, maeneo mengine ya dunia watu wanarudi kwenye asili zao hata hao wazungu
 
Level ya ujinga aliyonao mtoa mada ni ya kusikitisha
 
Nilisoma kuhusu Zionist antisemitism. Kuna watu wanawachukia mno mayahudi lakini wanaliunga mkono taifa la kizayuni. Na wakati mwengine wanaliunga mkono taifa hilo kwa kusukumwa na chuki kwa mayahudi. Wakati dola la kizayuni linaundwa katika ardhi ya Palestine, baadhi ya waliounga mkono kuundwa taifa hilo ni watu wenye chuki kwa mayahudi na ambao wanataka mayahudi waondoke kwenye nchi zao (hasa Ulaya) waende mashariki ya kati. Yaani ni kama wanataka kuondoa kero kwao kuipeleka kwa waarabu na waislam.

Kuna wakristo katika nchi za kimagharibi ambao wanaliunga mkono taifa la kizayuni lakini hawawapendi mayahudi, wanaliunga mkono kwa sababu wanaaamini kukusanyika kwa mayahudi katika mashariki ya kati kutaharakisha kuja kwa Yesu ambapo watapigana na mayahudi na wengine na kuwalazimisha kuwa wakristo.

Wakati nasoma uzi huu nikakumbuka hicho kitu.

Ukisoma Zionist antisemitism utaelewa huu upendo wa kinafiki kwa mayahudi na taifa la kizayuni, kuwa imekuwaje tena wakati "ndugu" zao walikuwa wakiwachinja miaka yote halafu ghafla wanaanza kuwapenda!

Na mazayuni wa kiyahudi pia wanawatumia hao hao wanaowachukia kwa maslahi yao na wakijua kuwa mazayuni wa kimagharibi hawawapendi. Mazayuni wa kiyahudi wanawatumia na kuwaunga mkono mazayuni wa kimagharibi na wengine na ilhali wanajua kuwa wao (mayahudi) sio wakweli na wanawajaza tu wenzao lakini wanawaunga mkono kwa sababu wana faida katika malengo yao ya kizayuni. Na mayahudi wanaamini kabisa masihi wao (wa uongo) hatokuja mpaka ulimwengu wa kikristo uanguke. Na wakipata nguvu wakristo watahukumiwa na kuuawa kwa kosa la upagani.

Allah awanusuru ndugu zetu ambao wamepata mtihani wa kunasa katikati ya vitimbi vya "ndugu" hawa wawili wanaochukiana mno lakini wanatumiana kwa gharama ya damu za ndugu zetu.


Ukiwaangalia juu juu kama wanapendana kweli vile.
Acha bangi allah si Mungu
Na kuwaita wayahudi mayahudi inaonyesha wazi una chuki nao na hiyo chuki umelishwa toka kwenye satan verse inayo itwa quran tukutu.
 
  • Thanks
Reactions: 511
Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.

Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.

Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa

Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.

Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.

Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.

Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.

Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa

Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Tatizo nyinyi wakristo mnajichanganya wenyewe Kwanza kabisa Mungu hafahamu kuhusu taifa la Israel. Mungu anawafahamu wana wa Israel ambapo ni wana wa Yakubu waliogawanyika katika makabila 12, wanaisrael ndio ni kweli waliahidiwa ardhi na waamrishwa waipiganie wakamwambia Musa hawawezi kuingia katika ardhi kuna watu wenye nguvu wamo hivyo Musa na Mungu wake ndio waipiganie hio ardhi sio wao

Pale wakalaniwa Mungu ndio adhabu ikatoka ya kuranda nyikani kwa miaka 40. Huwezi kula keki yako na bado ukaendelea kuwa nayo matendo yao ndio yaliyo wafanya walaaniwe, kama kuabudu ndama na kuuua mitume wa Mwenyezi Mungu.
Japo wapo wayahudi wema katika yale makabila 12 ambao wanamwamini Mungu mmoja.

Uvamizi wa ardhi kwa mara nyingine huo umefanywa na Zionist Ile sect ya uyahudi iliyoasi na yenye laana ya Mwenyezi Mungu ambao ndio wanafanya uharibifu na ufisadi kinyume na maagizo ya Allah na ndio wajiundia taifa lao wanaliita Israel ndio kundi lililo shikilia uovu na kukufuru toka kipindi cha nabii Sulemani na wanamiliki makundi yenye nguvu kama fremason, iluminati bone and skul etc

Wao ni uovu tu hakuna jema wanalofikiri dhidi ya binadamu na kwa kuchunguza imegundulika na wafanya mambo ya kishenzi hadi dhulma kwa maiti ya kutumia viungo na uchafu mwingine mwingi uasherati na kuweka makao makuu ya ushoga tel aviv. ..

Ref Quran 5;19-78
 
Tokea lini Mungu akawapenda Mashoga?

Ni Taifa teule la Marekani sio la Mungu
 
Tatizo nyinyi wakristo mnajichanganya wenyewe Kwanza kabisa Mungu hafahamu kuhusu taifa la Israel. Mungu anawafahamu wana wa Israel ambapo ni wana wa Yakubu waliogawanyika katika makabila 12, wanaisrael ndio ni kweli waliahidiwa ardhi na waamrishwa waipiganie wakamwambia Musa hawawezi kuingia katika ardhi kuna watu wenye nguvu wamo hivyo Musa na Mungu wake ndio waipiganie hio ardhi sio wao

Pale wakalaniwa Mungu ndio adhabu ikatoka ya kuranda nyikani kwa miaka 40. Huwezi kula keki yako na bado ukaendelea kuwa nayo matendo yao ndio yaliyo wafanya walaaniwe, kama kuabudu ndama na kuuua mitume wa Mwenyezi Mungu.
Japo wapo wayahudi wema katika yale makabila 12 ambao wanamwamini Mungu mmoja.

Uvamizi wa ardhi kwa mara nyingine huo umefanywa na Zionist Ile sect ya uyahudi iliyoasi na yenye laana ya Mwenyezi Mungu ambao ndio wanafanya uharibifu na ufisadi kinyume na maagizo ya Allah na ndio wajiundia taifa lao wanaliita Israel ndio kundi lililo shikilia uovu na kukufuru toka kipindi cha nabii Sulemani na wanamiliki makundi yenye nguvu kama fremason, iluminati bone and skul etc

Wao ni uovu tu hakuna jema wanalofikiri dhidi ya binadamu na kwa kuchunguza imegundulika na wafanya mambo ya kishenzi hadi dhulma kwa maiti ya kutumia viungo na uchafu mwingine mwingi uasherati na kuweka makao makuu ya ushoga tel aviv. ..

Ref Quran 5;19-78
Huna akili hata chembe. Na hujui hata ulisemalo. Uongo unaoandika hapa ni ule ulidanganywa na mood. Hakuna myahudi anaitwa yakubu.

Screenshot_20240414-195046~2.png
 
Back
Top Bottom