Ibra tiger
JF-Expert Member
- Aug 31, 2019
- 294
- 707
Utakuta mtu kama huyo eti kasoma mpaka chuo kikuu inasikitisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utuache sisi tunayoipenda israelSema utalipenda sio tutalipenda. Jiongelee wewe mwenyewe.
Eti taifa teule, dini zimepumbaza sana watu.
Hii imeendaWewe ni mtumwa wa kifikra. Baba yako aliuza ng'ombe akapeleka ng'ombe mwingine shuleni.
Vutulo. 🤣Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Kwann allah aumbe nguruwe halafu muhamad kisa yy hakuwa na uwezo wa kumiliki akukataze ww kulaNilisoma kuhusu Zionist antisemitism. Kuna watu wanawachukia mno mayahudi lakini wanaliunga mkono taifa la kizayuni. Na wakati mwengine wanaliunga mkono taifa hilo kwa kusukumwa na chuki kwa mayahudi. Wakati dola la kizayuni linaundwa katika ardhi ya Palestine, baadhi ya waliounga mkono kuundwa taifa hilo ni watu wenye chuki kwa mayahudi na ambao wanataka mayahudi waondoke kwenye nchi zao (hasa Ulaya) waende mashariki ya kati. Yaani ni kama wanataka kuondoa kero kwao kuipeleka kwa waarabu na waislam.
Kuna wakristo katika nchi za kimagharibi ambao wanaliunga mkono taifa la kizayuni lakini hawawapendi mayahudi, wanaliunga mkono kwa sababu wanaaamini kukusanyika kwa mayahudi katika mashariki ya kati kutaharakisha kuja kwa Yesu ambapo watapigana na mayahudi na wengine na kuwalazimisha kuwa wakristo.
Wakati nasoma uzi huu nikakumbuka hicho kitu.
Ukisoma Zionist antisemitism utaelewa huu upendo wa kinafiki kwa mayahudi na taifa la kizayuni, kuwa imekuwaje tena wakati "ndugu" zao walikuwa wakiwachinja miaka yote halafu ghafla wanaanza kuwapenda!
Na mazayuni wa kiyahudi pia wanawatumia hao hao wanaowachukia kwa maslahi yao na wakijua kuwa mazayuni wa kimagharibi hawawapendi. Mazayuni wa kiyahudi wanawatumia na kuwaunga mkono mazayuni wa kimagharibi na wengine na ilhali wanajua kuwa wao (mayahudi) sio wakweli na wanawajaza tu wenzao lakini wanawaunga mkono kwa sababu wana faida katika malengo yao ya kizayuni. Na mayahudi wanaamini kabisa masihi wao (wa uongo) hatokuja mpaka ulimwengu wa kikristo uanguke. Na wakipata nguvu wakristo watahukumiwa na kuuawa kwa kosa la upagani.
Allah awanusuru ndugu zetu ambao wamepata mtihani wa kunasa katikati ya vitimbi vya "ndugu" hawa wawili wanaochukiana mno lakini wanatumiana kwa gharama ya damu za ndugu zetu.
Ukiwaangalia juu juu kama wanapendana kweli vile.
Usiseme mataifa sema afrika, maana base ya ukristo imebaki kua afrika tu, huko wazungu hadi mapadri sahivi wanakosa wanakuja kuchukua wa huku, Afrika ndo sehemu pekee ambapo ukristo ndo umebaki kua na nguvu huko kote unakufa hata ulipotokea, na sababu kubwa huku watu wanathamini vya wageni hasa imani kuliko vya kwao, maeneo mengine ya dunia watu wanarudi kwenye asili zao hata hao wazunguKuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Na kuna tofauti pia waisraeli na wayahudiLete hiyo tofauti.
Lete hiyo tofauti upewe majibu mbona hujiamini.?Na kuna tofauti pia waisraeli na wayahudi
Acha bangi allah si MunguNilisoma kuhusu Zionist antisemitism. Kuna watu wanawachukia mno mayahudi lakini wanaliunga mkono taifa la kizayuni. Na wakati mwengine wanaliunga mkono taifa hilo kwa kusukumwa na chuki kwa mayahudi. Wakati dola la kizayuni linaundwa katika ardhi ya Palestine, baadhi ya waliounga mkono kuundwa taifa hilo ni watu wenye chuki kwa mayahudi na ambao wanataka mayahudi waondoke kwenye nchi zao (hasa Ulaya) waende mashariki ya kati. Yaani ni kama wanataka kuondoa kero kwao kuipeleka kwa waarabu na waislam.
Kuna wakristo katika nchi za kimagharibi ambao wanaliunga mkono taifa la kizayuni lakini hawawapendi mayahudi, wanaliunga mkono kwa sababu wanaaamini kukusanyika kwa mayahudi katika mashariki ya kati kutaharakisha kuja kwa Yesu ambapo watapigana na mayahudi na wengine na kuwalazimisha kuwa wakristo.
Wakati nasoma uzi huu nikakumbuka hicho kitu.
Ukisoma Zionist antisemitism utaelewa huu upendo wa kinafiki kwa mayahudi na taifa la kizayuni, kuwa imekuwaje tena wakati "ndugu" zao walikuwa wakiwachinja miaka yote halafu ghafla wanaanza kuwapenda!
Na mazayuni wa kiyahudi pia wanawatumia hao hao wanaowachukia kwa maslahi yao na wakijua kuwa mazayuni wa kimagharibi hawawapendi. Mazayuni wa kiyahudi wanawatumia na kuwaunga mkono mazayuni wa kimagharibi na wengine na ilhali wanajua kuwa wao (mayahudi) sio wakweli na wanawajaza tu wenzao lakini wanawaunga mkono kwa sababu wana faida katika malengo yao ya kizayuni. Na mayahudi wanaamini kabisa masihi wao (wa uongo) hatokuja mpaka ulimwengu wa kikristo uanguke. Na wakipata nguvu wakristo watahukumiwa na kuuawa kwa kosa la upagani.
Allah awanusuru ndugu zetu ambao wamepata mtihani wa kunasa katikati ya vitimbi vya "ndugu" hawa wawili wanaochukiana mno lakini wanatumiana kwa gharama ya damu za ndugu zetu.
Ukiwaangalia juu juu kama wanapendana kweli vile.
Tofauti , Israel ni nchi na wayahudi ni watu , Israel kuna waarabu, wayahudi warusi wamarekani waethipia nkNa kuna tofauti pia waisraeli na wayahudi
Tatizo nyinyi wakristo mnajichanganya wenyewe Kwanza kabisa Mungu hafahamu kuhusu taifa la Israel. Mungu anawafahamu wana wa Israel ambapo ni wana wa Yakubu waliogawanyika katika makabila 12, wanaisrael ndio ni kweli waliahidiwa ardhi na waamrishwa waipiganie wakamwambia Musa hawawezi kuingia katika ardhi kuna watu wenye nguvu wamo hivyo Musa na Mungu wake ndio waipiganie hio ardhi sio waoKuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Huna akili hata chembe. Na hujui hata ulisemalo. Uongo unaoandika hapa ni ule ulidanganywa na mood. Hakuna myahudi anaitwa yakubu.Tatizo nyinyi wakristo mnajichanganya wenyewe Kwanza kabisa Mungu hafahamu kuhusu taifa la Israel. Mungu anawafahamu wana wa Israel ambapo ni wana wa Yakubu waliogawanyika katika makabila 12, wanaisrael ndio ni kweli waliahidiwa ardhi na waamrishwa waipiganie wakamwambia Musa hawawezi kuingia katika ardhi kuna watu wenye nguvu wamo hivyo Musa na Mungu wake ndio waipiganie hio ardhi sio wao
Pale wakalaniwa Mungu ndio adhabu ikatoka ya kuranda nyikani kwa miaka 40. Huwezi kula keki yako na bado ukaendelea kuwa nayo matendo yao ndio yaliyo wafanya walaaniwe, kama kuabudu ndama na kuuua mitume wa Mwenyezi Mungu.
Japo wapo wayahudi wema katika yale makabila 12 ambao wanamwamini Mungu mmoja.
Uvamizi wa ardhi kwa mara nyingine huo umefanywa na Zionist Ile sect ya uyahudi iliyoasi na yenye laana ya Mwenyezi Mungu ambao ndio wanafanya uharibifu na ufisadi kinyume na maagizo ya Allah na ndio wajiundia taifa lao wanaliita Israel ndio kundi lililo shikilia uovu na kukufuru toka kipindi cha nabii Sulemani na wanamiliki makundi yenye nguvu kama fremason, iluminati bone and skul etc
Wao ni uovu tu hakuna jema wanalofikiri dhidi ya binadamu na kwa kuchunguza imegundulika na wafanya mambo ya kishenzi hadi dhulma kwa maiti ya kutumia viungo na uchafu mwingine mwingi uasherati na kuweka makao makuu ya ushoga tel aviv. ..
Ref Quran 5;19-78
Tokea lini Mungu akawapenda Mashoga?
Ni Taifa teule la Marekani sio la Mungu
Kwani post yangu Ina uhusiano na dini yoyote?