Infropreneur
JF-Expert Member
- Aug 15, 2022
- 9,830
- 20,686
Mamako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna anaekukataza kuamini unachofundishwa na kuamini.Quran 5:69 wahahudi, wakristo wanaingia peponi mimi
naamini dini yangu inachonifundisha kitabu changu nachokiamini hakina shaka quran 2;2
Yawezekana basi huijui dini yako maana allah wako ndie kakuagiza kupitia kwa mtume wake. Bora leo umenithibitishia kuwa Allah na mtume wake ni waislamu wasio na akili. Ila wewe uliefata mafundusho yao ndie mwenye akili.Hakuna Muislam timamu anaemchukia myahudi hao ni wenzetu katika imani shida yetu sisi ni Zionist na sio wayahudi wote ni Zionist. Elewa Hilo
Wewe ndio kichwa kibovu aya hapo inazungumzia unbelievers. Je wayahudi wote ni unbelievers? Au wakristo wote ni unbelievers? Sisi hatuna shida na believers ndio maana nikakwambia wewe umekwama na unasapport Zionist movement hongera kwa hilo. Dini yangu nimeambiwa ndio ya Mungu anaitaka quran 3;85 sasa kwanini nisijivunie? Sisi hatuna tabu na nyie ila mradi mnamuamini Mungu mmmojaYawezekana basi huijui dini yako maana allah wako ndie kakuagiza kupitia kwa mtume wake. Bora leo umenithibitishia kuwa Allah na mtume wake ni waislamu wasio na akili. Ila wewe uliefata mafundusho yao ndie mwenye akili.
- Allah is an enemy to unbelievers. - Sura 2:98
- Fight against them until idolatry is no more and Allah's religion reigns supreme. (different translation: ) Fight them until there is no persecution and the religion is God's entirely. - Sura 2:193 and 8:39
- Make war on them until idolatry is no more and Allah's religion reigns supreme - 8:39
- Fight unbelievers who are near to you. 9:123
Hujapata soma ya kwamba hata Yesu alisema ufalme utaondolewa (Israel) na kupewa taifa lingine.Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Mungu ni yule yule ewe mhyahudi. Alafu Mungu aliwaahidi wayahudi ardhi ambayo waliikataa kama nilivoanisha hapo juu hakuwaahidi taifa sasa na waislam wote tukisema twende Makkah ndio maeneo yetu au kila dini imijivisha utaifa na kwenda kuvamia hivi dunia itakalika? Tumia logic usispoti tu uhuni kisa walijinasibisha na maandiko nyie mnaunga tuMasikini.
Unbeliever ni mtu asieamini. Myahudi haamini allah na mkristo haamini allah.
Kama unabisha lete ushahidi wa maandiko kama unao, utuonyesha kuwa wanamwamini allah. We don't even know him/her.
Kama wayahudi ni Zionist, basi na waislam ni terrorist.
Mstari huo unakukataa ukisoma kuanziaUnasoma maandiko kuelewa au unasoma kama gazeti tu?
Je una maanisha Yesu alikuja kutengua ahadi za Mungu kwa watu wake akaleta mpya?
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wawezao kutoa matunda yake.” [ 44 “Na ambaye ataanguka kwenye jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagika sagika.”]
45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Yesu anawalinganisha viongozi wa kidini wa Israeli na wapangaji , akisema ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwao . Yesu anajitambulisha katika zaburi kuhusu jiwe lililokataliwa na wajenzi lakini lililochaguliwa na Bwana kuwa jiwe kuu la pembeni. Wote wanaomkataa wataanguka kwenye jiwe la pembeni au litawaangukia na kuwaponda. Hakumaanisha Ufalme kuondolewa katika Taifa la Israeli.
Yesu mwenyewe aliwaambia wayahudi mnaabudu msichokijua (Yohana 4:22) na hakuwaambia kwann kasema ivyo ndivyo ilivyo hata sasa wengi wanaabudu wasichokijua.Unasoma maandiko kuelewa au unasoma kama gazeti tu?
Je una maanisha Yesu alikuja kutengua ahadi za Mungu kwa watu wake akaleta mpya?
Matayo 21:43-45
Neno: Bibilia Takatifu
43 Kwa hiyo ninawaambia, Ufalme wa Mungu utaondolewa kwenu na watapewa watu wawezao kutoa matunda yake.” [ 44 “Na ambaye ataanguka kwenye jiwe hili atavunjika vipande vipande, lakini yule litakayemwangukia atasagika sagika.”]
45 Makuhani wakuu na Mafarisayo waliposikia mifano yake, walitambua kuwa alikuwa akiwasema wao.
Yesu anawalinganisha viongozi wa kidini wa Israeli na wapangaji , akisema ufalme wa Mungu utachukuliwa kutoka kwao . Yesu anajitambulisha katika zaburi kuhusu jiwe lililokataliwa na wajenzi lakini lililochaguliwa na Bwana kuwa jiwe kuu la pembeni. Wote wanaomkataa wataanguka kwenye jiwe la pembeni au litawaangukia na kuwaponda. Hakumaanisha Ufalme kuondolewa katika Taifa la Israeli.
Ooh Haleluya!Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Mungu wa Ibrahim na Musa na Yesu ndio huyo huyo Mungu wetu sisi utake ni hivyo ukatae ni hivyoMungu si yule yule.
Allah ni muungu wa wakureshi wapagani, hawezi kuwa Mungu.
Wapi Mungu aliahidi ardhi wakaikataa? Lete andiko hapa yasiwe maneno matupu.
Wakati anawaahidi ardhi walikuwa kama nani?
Hakuna kitabu kinaitwa maandiko 19:30, utakuwa umechanganyikiwa.
Yesu gani alisema hayo ili hali quran haina yesu una isa? Na babae twamjua
Kuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa
Mungu wa Israel ni USKuna Siri kubwa Sana Kati ya taifa la Israel na Ukristo. Ukweli ni kwamba wa Israel hawaupendi Ukristo na wanamkana Yesu Kristo. Wamekengeuka.
Ni ukweli usiopingika kwamba Ushoga Israel umeshamiri Sana.
Ni kweli wa Israel wanawanyanyasa Sana wa kristo. Wanafanya hayo kwa kutojuwa
Pamoja na hayo yote, Israel Kama taifa, limefichwa habari za Yesu Kristo na Mungu Mwenyewe. Hayo yote yameelezwa kwenye Biblia waziwazi.
Hapo mbele kidogo wa Israel watabadilika na kumkiri Yesu.
Sasahivi habari za Yesu tumefunuliwa mataifa mengine ndiyo maana Yesu anahubiriwa kwetu.
Shetani analijuwa hilo kwamba wa Israel watamkiri Yesu ndiyo maana anataka kuliangamiza. Shetani anatumia viongozi mbali mbali kutaka kuliangamiza taifa la Israel.
Cha ajabu, Mungu analitumia taifa la Marekani kulilinda taifa la Israel. Ndiyo maana Mungu analibariki Sana taifa la Marekani. Lina nguvu kubwa za kiuchumi na kijeshi.
Ukiwa unashiriki kuliombea taifa la Israel, unafanya kazi ya Mungu. Utabarikiwa
Na hayo ndiyo maagizo ya Mungu. Tuacheni na Israel Yetu. Ni Mambo ya ndani, sio rahisi mukaelewa