Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣 Naunga mikono hoja.Kuna mengi mnaweza msingizia Rais nikanyamaza. Nikasemehe. Lakini hili la kusema ana maono.... Hapana hapa mnamkosea sana.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.
Chawa na mtu mwenye sifa ya kujua kusoma na kuandika huwezi kuelewa.Mbona hata sijaelewa ulichoandika? Hivi hata wewe ukisoma unaweza kuelewa ulichokiandika na ujumbe unaotaka kuufikisha kwa wasomaji? Kweli wewe ni chizi maarifa kama lilivyo jina lako.
💪💪💪💪Ungeweza kuelewa ningejitoa JF na Kujiua maana nami ningeanza kuona ubongo umekufa.
😂😂😂😂😂kuna UVCCM watampelekea hii wakimwambia"mama ona watu wanavyokutetea jamii forums"
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Achana na hayo matamko. Pata ardhi kwa kufuata Sheria ya Ardhi ya Tanzania na Kanuni zake." Kuanzia Sasa ni marufuku Kununua ardhi isiyopimwa. Ardhi itauzwa na afisa ardhi tu" unadhani matamko kama haya atampenda nani? Ni wapi wamepima kijijini kwako? Afisa ardhi utampata wapi kijijini na kwa gharama Gani? Madhaifu mengi ya serikali hii jaman. Bora aende zake tu huyo anaumiza wananchi
Hivi huoni kwamba wewe ndio utaenda motoni Kwa kumchukia Rais bila sababu za msingi?Kuna mengi mnaweza msingizia Rais nikanyamaza. Nikasemehe. Lakini hili la kusema ana maono.... Hapana hapa mnamkosea sana.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.
Sikujua kuna watu wanatumia masabuli kufikiria kiasi hiki. Unaleta Dini. We una Dini? Mbwah tu wewe Dini umeletewa baada ya kutawaliwa ukaambiwa sasa ubadili na Dini ufuate ya Mabwana zako. Una akili hata kidogo ndo maana nimegundua kumbe nguruwe atakuwa ndugu yako ndo maana..... Wewe hujui hata Dini yangu unakimbilia kuzungumzia Dini....Angalienj chuki za vijana wako hata wewe ni mmoja wapo ,yule aliyemsema kwa mlengo wa dini na kudai kwamba kukubali kuolewa kama mke wa nne ni ujinga ,ni matusi zaidi.
Enyi wagalatia punguzeni chuki, hamkuwahi kumpenda muislamu mnashindwa tu kutangaza vita.
Tuko tayari kwa lolote !!
.
Wewe utaenda motoni kwa unafiq. Tena motoni utakuwa kuni. Unamsemea uongo waziwazi kabisa tunakuona. Umejawa chuki mpaka unaanza kumsemea vibaya. Unamsingizia kuwa na maono huoni hata aibu.... Toka lini ana maono? Wewe utakuwa failure tu ndo maana hujielewi. Mwache samia ale nchi mpaka 2030 usimpe kazi ya kufikiria ukadhani ni rahisi kwa kila mtu.Hivi huoni kwamba wewe ndio utaenda motoni Kwa kumchukia Rais bila sababu za msingi?
Narudia kukwambia hapa hakuna Rais yeyote hapa Tanzania Kwa waliopitwa ukimtoa Nyerere anaweza Mikoa Samia sio tuu Kwa utekelezwaji wa mambo Bali Maono.
Mfano mdogo tuu ni Maono yake kwenye swala la Elimu,bila utashi wake wa Kisiasa kinachoitwa mitaala mipya asingeruhusu.
Na mfano mwingine ni Maono yake kwenye Kilimo na Nishati safi 👇
Video: Rais Samia Kuifutia Tanzania & Afrika Aibu ya Njaa.Anatekeleza Maono Ya Baba wa Taifa ya Kilimo Kwa Vitendo.
Toka baada ya uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania na Afrika imekuwa zinapata aibu kutokana na Njaa. Njaa inadhalilisha utu wa mtu na kushusha heshima ya mtu na Taifa.Tanzania na Afrika zimekuwa kwenye aibu hiyo Kwa takribani miaka 60 Baada ya uhuru licha ya Waasisi Wetu kuwa na dhamira njema...www.jamiiforums.com
Hata ungemchukia Samia Kwa kiwango Cha Kujiua lakini haiwezi kuondoa ukweli kwamba ameirudisha Taifa kwenye mstari.
Hata wewe hukuzaliwa shoga na chizi ni ujinga tu kichwani kwako...Mtu mjinga kama wewe hauna haki hata ya kuandika huku.Sikujua kuna watu wanatumia masabuli kufikiria kiasi hiki. Unaleta Dini. We una Dini? Mbwah tu wewe Dini umeletewa baada ya kutawaliwa ukaambiwa sasa ubadili na Dini ufuate ya Mabwana zako. Una akili hata kidogo ndo maana nimegundua kumbe nguruwe atakuwa ndugu yako ndo maana..... Wewe hujui hata Dini yangu unakimbilia kuzungumzia Dini....
Halafu ungeficha upumbavu wako. Unasema kuwa yeye kukubali sijui nini ni nini.... Wewe una phd ya unafiqAngalienj chuki za vijana wako hata wewe ni mmoja wapo ,yule aliyemsema kwa mlengo wa dini na kudai kwamba kukubali kuolewa kama mke wa nne ni ujinga ,ni matusi zaidi.
Enyi wagalatia punguzeni chuki, hamkuwahi kumpenda muislamu mnashindwa tu kutangaza vita.
Tuko tayari kwa lolote !!
.
Oooooh.... Wewe umezaliwa kabisa hivyo? Hongera nimeandika sasa rudi kinyuma nyume..... Uje umetawaza kabisa ukae utulie.Hata wewe hukuzaliwa shoga na chizi ni ujinga tu kichwani kwako...Mtu mjinga kama wewe hauna haki hata ya kuandika huku.
Kaandike kwa wajinga wenzio.
Kama wazazi wako tu wapumbavu , ndio tatizo la wajinga kuzaa ona sasa mtoto mjinga ..Halafu ungeficha upumbavu wako. Unasema kuwa yeye kukubali sijui nini ni nini.... Wewe una phd ya unafiq
Narudia kukwambia unaweza adhibiwa kabla na ukakoma kama Jiwe alivyoadhibiwa.Wewe utaenda motoni kwa unafiq. Tena motoni utakuwa kuni. Unamsemea uongo waziwazi kabisa tunakuona. Umejawa chuki mpaka unaanza kumsemea vibaya. Unamsingizia kuwa na maono huoni hata aibu.... Toka lini ana maono? Wewe utakuwa failure tu ndo maana hujielewi. Mwache samia ale nchi mpaka 2030 usimpe kazi ya kufikiria ukadhani ni rahisi kwa kila mtu.
Unatoa uzoefu wako......... 🤣Kama wazazi wako tu wapumbavu , ndio tatizo la wajinga kuzaa ona sasa mtoto mjinga ..
Unachafua taaisisi ya Urais wewe Chawa.Narudia kukwambia unaweza adhibiwa kabla na ukakoma kama Jiwe alivyoadhibiwa.
Mimi sio mjinga na Wala Huwa sitegei kuambiwa Bali nafuatiliaga mambo.
Narudia kukwambia Rais wa maana Tzn imepata baada ya Nyerere ni Samia.
Na mfano mzuri huu hapa 👇
View: https://youtu.be/cko82ib-Ndk?si=8dWgBxYoWO4Y3H2S
Nakupa onyo usimtaje Mungu kwenye ego na chuki zako binafsi Kwa Rais
Niite chawa ila ndio nakwambia hivyo hivyo chuki zako Kwa Rais usizifungamanishe na Mungu utalaaniwa na Kufa kama Mwendazake.Unachafua taaisisi ya Urais wewe Chawa.
Hamnazo hapa utasanda.!!Unatoa uzoefu wako......... 🤣
Kuna mengi mnaweza msingizia Rais nikanyamaza. Nikasemehe. Lakini hili la kusema ana maono.... Hapana hapa mnamkosea sana.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.