Mnafiki Wa Kujitegemea
JF-Expert Member
- Dec 30, 2022
- 3,751
- 6,337
Mnafiki Wa Kujitegemea,hilo la utani umelitoa wapi wewe?๐๐๐๐ Wewe ni Mnafiki Wa Kujitegemea au ni Mtani wa Taifa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnafiki Wa Kujitegemea,hilo la utani umelitoa wapi wewe?๐๐๐๐ Wewe ni Mnafiki Wa Kujitegemea au ni Mtani wa Taifa?
Nakupongeza kwa kuandika vizuri hilo neno la mwisho mkuu.Halafu ungeficha upumbavu wako. Unasema kuwa yeye kukubali sijui nini ni nini.... Wewe una phd ya unafiq
Anamtania mama kwani yeye ni mtani wa Taifa?
Narudia kukwambia unaweza adhibiwa kabla na ukakoma kama Jiwe alivyoadhibiwa.
Mimi sio mjinga na Wala Huwa sitegei kuambiwa Bali nafuatiliaga mambo.
Narudia kukwambia Rais wa maana Tzn imepata baada ya Nyerere ni Samia.
Na mfano mzuri huu hapa ๐
View: https://youtu.be/cko82ib-Ndk?si=8dWgBxYoWO4Y3H2S
Nakupa onyo usimtaje Mungu kwenye ego na chuki zako binafsi Kwa Rais
That is not the problem. The problem is Socratic. The philosophers don't like politics because it is too lowly and in so doing they let lowly people rule. We should ask some philosopher to volunteer and show the way like sometimes they do appear. No body knows when Tanzania shall have another chance!Yafaa uwaulize hao watu kwamba ana maono gani??
Huenda pengine kweli ana maono.
Kumbuka, hata kubomoa nchi nako pia ni maono, ingawaje ni maono hasi.
"The problem of Africans, those with ideas have no power, and those with power have no ideas."
Endelea kutumia mavideo yako. Yani chawa kaona round about ndio ananitumia kunishawishi kuwa Rais ana maono. Acheni unafiki.
Niite chawa ila ndio nakwambia hivyo hivyo chuki zako Kwa Rais usizifungamanishe na Mungu utalaaniwa na Kufa kama Mwendazake.
Samia sio wa kumlinganisha na watu wasio na akili elewa Hilo
View: https://youtu.be/gMFxl1cwhgI?si=zezBdnecMriPOLEP
Huwa nawaweza Kwa kitu Kimoja tuu facts,nyie tafuteni wajinga wenzenu ndio muhadithiane porojo.
Sikiliza Shangwe Kwa mama kwa kuifungua Tabora
View: https://youtu.be/03wQeToSjfE?si=y5KH15L9RQZWglqp
Mmmh duuhHivi huoni kwamba wewe ndio utaenda motoni Kwa kumchukia Rais bila sababu za msingi?
Narudia kukwambia hapa hakuna Rais yeyote hapa Tanzania Kwa waliopitwa ukimtoa Nyerere anaweza Mikoa Samia sio tuu Kwa utekelezwaji wa mambo Bali Maono.
Mfano mdogo tuu ni Maono yake kwenye swala la Elimu,bila utashi wake wa Kisiasa kinachoitwa mitaala mipya asingeruhusu.
Na mfano mwingine ni Maono yake kwenye Kilimo na Nishati safi [emoji116]
Video: Rais Samia Kuifutia Tanzania & Afrika Aibu ya Njaa.Anatekeleza Maono Ya Baba wa Taifa ya Kilimo Kwa Vitendo.
Toka baada ya uhuru wa Tanganyika na baadae Tanzania na Afrika imekuwa zinapata aibu kutokana na Njaa. Njaa inadhalilisha utu wa mtu na kushusha heshima ya mtu na Taifa.Tanzania na Afrika zimekuwa kwenye aibu hiyo Kwa takribani miaka 60 Baada ya uhuru licha ya Waasisi Wetu kuwa na dhamira njema...www.jamiiforums.com
Hata ungemchukia Samia Kwa kiwango Cha Kujiua lakini haiwezi kuondoa ukweli kwamba ameirudisha Taifa kwenye mstari.
Kati ya wewe na hao wanaomshukuru Rais kuwafungulia Barabara unadhani nani ni mpumbavu?Tabora ilifungwa? Heeeh.... Kumbe kweli wewe kilaza
Nilijua tuu baada ya kukuaibisha na ground fact sheet lazima utanue goli ๐๐Chawa mwenye njaa akitegemea teuzi. Ninyi huwa hamna akili kabisa
Wewe utakuwa mpumbavu. Tabora barabara zimetengenezwa lini? Nyie si huwa mnamshukuru hata mvua ikinyesha? Mbona tumeshawazoea chawa siku zote hamjiamini na mnajipendekeza kwa kila jambo mpaka mnadharaulikaKati ya wewe na hao wanaomshukuru Rais kuwafungulia Barabara unadhani nani ni mpumbavu?
Watu wenye akili wanapoongea kuhusu akili kubwa ya Samia wapumbavu kama wewe muwe mnafunga Hilo karo lenu.Wewe utakuwa mpumbavu. Tabora barabara zimetengenezwa lini? Nyie si huwa mnamshukuru hata mvua ikinyesha? Mbona tumeshawazoea chawa siku zote hamjiamini na mnajipendekeza kwa kila jambo mpaka mnadharaulika
We sijui kabila gani ? Maana sijaelewa unapoandika ....ana maono.... Au unamaanisha Hana maono..Kuna mengi mnaweza msingizia Rais nikanyamaza. Nikasemehe. Lakini hili la kusema ana maono.... Hapana hapa mnamkosea sana.
Mlisema haijengi nchi, nchi haina uelekeo nikanyamaza. Nikasema anyway watu husema kile wanachoona wakifananisha na uzoefu wao. Mkasema anauza nchi nikanyamaza. Nikasema moyoni anyways.
Leo kweli kuna mtu anasema Samia ana Maono. Kweli tumefikia hatua hii akina Lucas mwashambwa ? Ninyie mnapaswa mnyongwe.... "
Akumulikaye mchana usiku atakuchoma moto"
Ninyi ni watu wabaya kabisa na mnatumia uhuru wa kuongea vibaya kumtukana Samia kuwa ana maono. Mnatumia uhuru huo kumsingizia kuwa ana maono. Mtaenda motoni kweli nawaambia.
Watu wenye akili wanapoongea kuhusu akili kubwa ya Samia wapumbavu kama wewe muwe mnafunga Hilo karo lenu.
Mama Yuko kazini
View: https://www.instagram.com/p/C1KPzgBoLZo/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
Kama wewe mpumbavu ukisifiwa unakuwa shoga ni wewe na familia Yako ya mashoga.Wapumbavu kama nyie ndo huwa mnaambiwa ili msifiwe mkubali kuwa mashoga.... Ndo haya mnayopigia upatu. Hao West wanaangalia ninyi mnaendana na matakwa yao. Sishangai sasa hamwezi kemea ushoga ili msifiwe
Kama wewe mpumbavu ukisifiwa unakuwa shoga ni wewe na familia Yako ya mashoga.
Wenye akili wakiongea kuhusu Samia takataka kama wewe unafunga karo lako.
View: https://twitter.com/mamayukokazini/status/1738138241444786221?t=YBD_YpQS9U0h2kLaWsm4Mw&s=19